ufisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Kampeni ya kutakatisha fedha inakuja, ila ipo siku ufisadi wao na matumizi mabaya ya madaraka vitawekwa wazi

    Sina maneno mengi, ila niseme waacheni waendelee na maagizo yao ila wajue ipo siku kila kitu kitawekwa wazi. Pia, baadhi yao wanaweza kuja kufungwa baada ya uchunguzi kufanyika kama sio kulazimika kuomba radhi umma wa watanzania. Tuombe uzima tu kuja kuyashuhufia haya ambayo huko mbeleni...
  2. Mfilisti

    Je, ni Kweli Tumefika Mwisho wa Mapambano ya Ufisadi na Utawala Mbovu?

    Ni jambo la kusikitisha kuona jinsi wagombea wa nafasi za juu katika siasa za leo wanavyonyamazishwa au kwa Maksudi kabida kutoonyesha msimamo dhahiri kuhusu mapambano dhidi ya ufisadi na utawala mbovu. Hoja hii muhimu inapuuzwa, hakuna Mgombea yoyote mwenye kuonyesha hatua atakazo fanya...
  3. winnerian

    Kwa lugha ngumu ni kwamba: MFUMO UMEKUWA MALAYA WA UFISADI KUPINDUKIA NA KUKOSA CHEMBE YA HAKI

    Na matokeo yake hata mtu mwema aingie kwa kutumia mfumo huu, cha kwanza unamuharibu na kumfanya mtu mbaya sana. MFUMO NI MCHAFU KIASI KWAMBA HATA UWE NA NDOTO NZURI KIASI GANI, HATA UWE NA NIA NZURI KIAS GANI HUWEZI KUTENDA LOLOTE. BADILISHENI MFUMO UWE MFUMO MWEMA IBAKI KUWA NI JUKUMU LA MTU...
  4. Carlos The Jackal

    Mh Polepole yupo Sahihi, Bararabara ya Mwanza -Musoma , tangu 2021 inajengwa na Kufumuliwa ! TANROAD Kwa Ufisadi imekithiri ! Serikali imelala

    Wakuu mnaweza dhania ni maajabu au ndoto ila huo ndio Ukweli. Labda nianze Kwa kuwaliza, Huko kwenu, Bararabara za kwenu zinaweza Kukaa miaka mingapi bila Kufumuliwa na kujengwa Upya?. Sasa hao ndio CCM, na hiyo ndio Serikali ya Awamu ya Tano ya Samia alowaambia watu wale Kwa urefu wa kamba...
  5. M

    Ule ufisadi wa Richmomd,Escrow, EPA hakutakuwa na kuibua tena, mambo ni chini kwa chini

    Nchi ya Tanzania kwa sasa haina bunge, wala mahakama, Bali tuna Rais ambaye ndio Mungu wa Tanzania na Ikulu yake pendwa. Ufisadi uliofanywa kipindi cha pili cha awamu ya tano inawezekana na Mkubwa kuliko fisadi zote zilizowahi kuibuliwa na CCM wenyewe au Chadema hususani Wabunge. Mpina...
  6. Idugunde

    Mtanzania wa hali ya chini jihoji. Kama Polepole ameacha mshahara mnono kwa sababu ya CCM iliyojaa ufisadi. Wewe unafaidika na nini?

    Unafaidika na kanga? Baiskeli na Tisheti? CCM imekosa muelekeo. Tumuunge mkono shujaa wa Tanganyika Tundu Lissu Antipass tupate mabadiliko ambayo yataleta ustawi wa taifa letu
  7. M

    Dalilinya ufisadi katika ujenzi wa barabara za mwendokasi mpya: vituo vya mabasi ni vikubwa/virefu mno na viko karibukaribu

    Nimeshangazwa na ujenzi wa barabara za mwendokasi mpya zinazoendelea DSM. Unakuta vituo vya mabasi ni virefu mno, na viko karibukaribu sana. Hii inashangaza kwa sababu katika nchi ambazo zina magari marefu ya abitia hukuti mavituo makubwa na marefu namna hii. Halafu cha ajabu mavituo hayo yapo...
  8. Samia atosha tukutane2030

    Tanzania fisadi wa pesa na mali za umma anaishi kwa amani zaidi ya mtu anayekosoa viongozi

    Fisadi anaweza kulala muda wowote anaoutaka, anaweza kulala mahali popote, anaweza kutembea hadharani muda wowote bila bughuza. Ila wazee wa NO REFORMS NO ELECTION lazima watembee kwa machale makali.
  9. MamaSamia2025

    Zambia: Naibu Mkuu wa Polisi wa zamani, Charity Katanga ahukumiwa miaka mitatu jela kwa makosa ya ufisadi

    Imetokea Zambia kama ilivyoripotiwa na gazeti la Kalemba. Naibu Mkuu wa Polisi wa zamani, Charity Katanga, anatarajiwa kuanza kutumikia kifungo cha miaka mitatu leo kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Lusaka – Kitengo cha Uhalifu wa Kiuchumi na Kifedha – wa kuidhinisha hukumu na adhabu aliyopewa...
  10. G

    Sijawahi kumsikia akikemea ufisadi kwenye hotuba zake

    Tangu aingie madarakani baada ya kifo cha bwana yule, sijawahi kumsikia alikemea au akimtumbua mtu kwa sababu ya ufisadi. Katika awamu yake ufisadi umeshamiri sana. Kila mteule wake kwa sasa ni bilionea huku miradi mingi ya maendeleo ikikosa fedha. Je ukimya wake ni kukiri kuwa yeye ni Shemu ya...
  11. The Zanzibar Echo

    Trump asema kesi ya ufisadi inayomkabili Netanyahu inapaswa 'kufutwa mara moja

    Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano ametoa wito wa "kufutwa mara moja" kwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, ambayo ameitaja kuwa "haina umuhimu." "Kesi inayomkabili mtu ambaye amejitolea sana, siwezi kufikiria kwangu. Anastahili bora zaidi kuliko...
  12. Carlos The Jackal

    Huwa nawaambia RAIS SAMIA Hasomi chochote anacholetewa Mezani, yeye ni kusaini tu , Aliyefukuzwa Ukurugenzi Arusha kwa Ufisadi, Ateuliwa Tabora !!

    Mnaona MTU wenu sasa anavyoendelea kadhihirisha kua Wanaomzunguka wanamchezesha kidalo Poo watakavyo nayeye anacheza ,huku wakimsifia Mamaa mamaaa unaupigaa unaupigaaa !!. Kuna mwaka alimtumbua Mkurugenzi wa Musoma Vijijin Bwana Panela Nitu Msongela , kwa Makosa ya Utumbuaji Fedha, Usimamizi...
  13. A

    DOKEZO Ufisadi wa Ardhi Arusha: Viongozi Idara ya Ardhi wanajimilikisha viwanja kwa kisingizio cha kutoendelezwa

    Viongozi wa Halmashauri ya jiji la Arusha na Commissioner wa ardhi wanapora viwanja vya watu kwa kisingizio kuwa havijaendelezwa muda mrefu. Hayo yametokea kwa Commissioner aliehamishiwa Dodoma kwa sasa (jina: Mwamsojo) alijimilikisha viwanja 2 na afisa ardhi wake anayejulikana kwa jina la Alex...
  14. Lord Denning

    Alichofanya Abacha kwa Ken Saro Wiwa ndicho anachofanya Samia kwa Tundu Lissu. Wanigeria waliona sawa enzi zile leo ni kitovu cha Ugaidi na Ufisadi.

    Hakuna jipya chini ya jua. Huu ni msemo maarufu sana unaomaanisha hakuna kitu kinachofanyika leo duniani kwenye maisha ya kawaida ya binadamu ambacho ni kipya. Miaka ya 1990- 1997 nchini Nigeria alitokea Dikteta maarufu sana Duniani aliyejulikana kama Generali Sani Abacha. Kiongozi huyu wa...
  15. Prof_Adventure_guide

    Wabunge Wetu: Wabaki Kupongeza Ufisadi Badala ya Kuutokomeza? Ni Wakati wa Kutumia Elimu Kama Kigezo Cha Uongozi!

    Ni jambo la aibu na fedheha kubwa kwa taifa kwamba kiwango cha parliamentary competence kimeporomoka kiasi cha kushangaza. Tunaona wabunge wetu wakibakia tu clapping hands na kugonga meza kama watoto waliokosa malezi, bila kuelewa kabisa the gravity of issues zinazowasilishwa mbele yao. Imagine...
  16. S

    Taswira ya serikali ya CCM; utekaji, uuaji, kodi kupita kiasi, uonevu wa polisi, ugomvi na wachungaji, ufisadi uliokomaa, ugawaji rasilimali za taifa

    Kuna kitu nimeshindwa kabisa kuelewa sisi Watanzania ni watu wa aina gani. Tunawezaje kuona serikali ambayo imekubuhu katika utekaji, uuaji, utozaji kodi kupita kiasi, uonevu wa polisi, ugomvi na wachungaji, ufisadi uliokomaa, ugawaji rasilimali za taifa kwa wageni, udanganyfu katika uchaguzi...
  17. DuaZaMama

    Vita dhidi ya ufisadi: Mali za aliyekuwa Gavana wa Migori, Okoth Obado zenye thamani ya takriban Bilioni 8, kupigwa mnada

    Mali zenye thamani ya zaidi ya Tsh.8.5 bilioni (sawa na Ksh.428 milioni) zinazohusishwa na aliyekuwa Gavana wa Migori, Okoth Obado, na washirika wake zinatarajiwa kuuzwa kwa mnada tarehe 23 mwezi huu. Shirika la Urejeshaji Mali (Assets Recovery Agency) na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi...
  18. Carlos The Jackal

    Ni Marufuku Kwa mwanaCCM kujifananisha na Rais Traore wa Burkinafaso !! Traore anauchukia Ufisadi, Anaijenga Nchi Kwa dhati , Hateki wala kuua watu

    Traore majuzi kasema 'Naijenga Burkinafaso Kwa ajili ya wanyonge '!! Akaenda mbali zaidi, akasema 'Nauchukia Ufisadi na viongozi Mafisadi ambao wametanguliza Maisha yao mbele kuliko Raia wetu. Akasema zaidi " Lazima tuheshimu na Tulinde Maisha na Uhai wa Kila Mwanamapinduzi wa Nchi hii'...
  19. Genius Man

    Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye ni kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri.

    Nimemfuatilia hotuba zake sioni hoja za msingi wala sera zenye tija kwenye nchi yetu. Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye anaonekana kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri na kukemea mambo hayo. Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine...
  20. Prof_Adventure_guide

    Bajeti ya mwaka huu ni ya Wizi na ya kinafiki. Hizi Trilioni 49.35 zinaenda kufanyia nini?

    Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 inatuonesha dhahiri kuwa tulipigwa na kutapeliwa — jamani ebu imagine! Serikali imetangaza bajeti ya TSh trilioni 49.35, tena kwa mbwembwe zilezile za kila mwaka, kana kwamba Watanzania wote ni mabubu na vipofu wa kifikra. Hii siyo bajeti, huu ni mkakati wa...
Back
Top Bottom