Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa lao baadhi ya kauli alizowahi kusema ni kama ifuatavyo
1.Alisema wazi ccm mtandao wamekuwa wakijitajirisha bila kujali maslahi ya umma.mfano kutaja kashifa ya uniform za jeshi la polisi...
Acheni hizi ghasia kwa sisi raia tunayoipenda nchi yetu kuliko viongozi. Tunalipa kodi kila siku na tungependa kuona hizi pesa zinamnufaisha kila mTanzania, sio wale wanajipendekeza na wanasiasa , bali kila mtu anufaike na hizi pesa zetu.
Taarifa mnaletewa kila siku ila mnaleta maigizo hapa...
Mgombea Urais akisema kwa kinywa chake kwamba anachukia ufisadi atawashughilikia mafisadi. Watumishi wa Umma wazembe watawajibishwa na nidhamu kwa watumishi wa umma. Wakwepa kodi kukiona cha moto kulinda rasilmali za nchi huyu ana kura yangu.
Sioni mgombea anazungumzia kuku za Uchumi wa nchi...
RICHARD TURNBULL
UWEKEZAJI KWENYE MATUMIZI YA AKILI
UINUAJI WA HAKI NA SIASA ZA KUJITEGEMEA
KUHAKIKISHA RASILIMALI ZINANUFAISHA NCHI PIA
KUIMALISHA MFUMO BORA WA ELIMU NA AFYA
KUIMALISHA NA UTUNZAJI MZURI WA RELI WA BARABARA
BANDARI YA TANGA NA DAR ES SALAAM ZILIBORESHWA ZAIDI
KWA KUJALI UKUAJI...
Poleni na kifo ila mimi sijalia.
Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu.
Nalia na waTanzania walio na wanaouawa...
Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na kuendeshwa na mfumo wa kisasa wa akili bandia.
Jina lake ni Diella, linalomaanisha ‘mwanga wa jua’...
Wakuu mimi kuna kitu bado sielewi, hivi inawezekana vipi huyu mtu kuwa na kashfa mpaka watoto wake kuanikwa hadharani anaweza vipi kulinda maslahi mapana ya nchi?
Kama yeye yuko hivyo vipi hao wa chini yake hali ikoje? Ina maana huko idarani ndo kumeoza kabisa kwa viwango hivi? Hivi bado...
Ni jambo la kushangaza kumuona nje ya gereza ilhali kesi ufisadi zinaendelea. Siyo suala la kumpenda au kumchukia mwanasiasa, bali ni kuhusu kuheshimu utawala wa sheria.
Kama mtu ameshtakiwa, anapaswa kupitia mchakato mzima wa kisheria. Akiwa hana hatia, basi aachiliwe huru kwa heshima. Lakini...
Ufisadi ni kansa inayoyatafuna mataifa ya kiafrika ikiwemo Tanzania.
Fikiria fedha zilizoibiwa kupitia Kagoda, Escrow na hata hizi anazotuhumiwa Angela Kiziga. Zisingibwa na wahuni wa CCM tungekuwa na maendeleo makubwa sana.
Leo hii mgombea wa urais wa CCM yupo kimya juu ya mapambano ya...
Leo mjini Lusaka, Zambia kumekuwa na gumzo la aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Mh Joe Malanji kupatikana na hatia za ufisadi mkubwa wakati wa utawala wa hayati Edgar Lungu. Kahukumiwa miaka minne jela. Walichofanya Malanji na wenzake ni kutafuna takribani USD 11,000,000 pesa za umma zilizokuwa...
Kiuhalisia Ufisadi huu wa Leo unaoibuliwa na Mange Kimambi, Kuna uwezekano Mkubwa chimbuko lake ni Ikulu, na wahusika wa Karibu ni Waziri wa fedha na Governor wa BOT, na Kwa kiasi kikubwa Wafanyabiashara wakubwa wanahusika Kwa kukwepa Kodi kupitia Ikulu na vyombo vyake, mtu kama GSM ana tabia ya...
Habari ndio hiyo na watu waanaamua kutoa hasira zao kwa njia hiyo walionayo.
Wanaotukana matusi hayo mazito ni wachache ila sio vichaa bali wanamachungu.
Vile vile, angalieni na mjiulize wanao-comment kuunga mkono matusi hayo ni wachache?
Somo; Hawa wanaotukana na wanaochangia kuunga mkono...
Watanzania. Kuweni makini. Huyu mgombea wa CCM hajawahi kutamka neno rushwa na ufisadi uliokithiri katika nchi yetu. Mnakwenda kumchagua ki vipi? Wote Hawa mgombea na mwenza wake wamechora ramani.
Ndo maana msamiati wa ufisadi haupo kwenye vinywa vyao na hata kwenye ilani yao.
Sasa mjiulize...
Hii kampeni ya Yanga nyuma yake lipo jambo zito, lengo lao sio kupata hivyo vijisenti vyako, lengo ni kuitumia kutakatisha fedha kisha club kupata mgao wa mabilioni.
Kuanzia kwenye dirisha dogo mtashuhudia Yanga ikishusha wachezaji tegemezi toka Al Ahly, Mamelod n.k kisha watasingizia fedha za...
Hivi binadamu hawa wa Kitanzania aibu wamepeleka wapi?
Aibu hizi za wizi na ufisadi wa mali za umma kutokea katika viunga vya ofisi kuu kama unavyo wekwa wazi na mtu mwenye hadhi ya Ubalozi, Katibu wa uenezi na itikadi wa chama tawala, mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, na mtu wa karibu kabisa...
Suala la uzalendo kwa taifa ni cross cutting linalohusisha mambo mengi.
Huwa naishiwa PAWA na inaniuma sana nikiona au kusikia kuna mtu katupiga halafu ananunua gari sijui la bilioni ngapi.Au mwingine anatorosha pesa kabisa nje ya nchi.
That is not fair na mimi roho huwa inaniuma zaidi zaidi...
Nchi hii ina raisi mmoja na wabunge wasiozidi 400 ila tujiulize ina matajiri wakubwa wangapi?Ni wazi ina watu wenye mabilioni zaidi ya watu hata 20000 je NI kweli kwamba hao wote wamepata mahela hayo kwa sababu ya kuwa karibu na wanasiasa?rushwa nyingi zinafanyika level ya huku chini Kwenye...
Uchaguzi 2025 ni ufisadi mkubwa!!! yaani uchaguzi ambao kwasasa kila mtanzania anajua hautakuwa wa huru na haki.
Wagombea wanazuiwa au kufungwa!!! halafu Tume ya CCM inagawa magari kwa wagombea Uraisi bure ! kama hongo pesa za walipa kodi wakati nchi yetu ni masikini kiasi hiki.
Imefika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.