tundu lissu

  1. The Palm Tree

    VIDEO: Tundu Lissu akitoa 'central theme' ya kitabu chake na sababu za kufanyia uzinduzi wake Kenya badala ya Tanzania

    Harakati za kisiasa za Tundu A. M. Lissu sasa ziko kwenye maandishi. Kitabu chake "REMAINING IN THE SHADOWS: PARLIAMENTS AND ACCOUNTABILITY IN EAST AFRICA" kinachambua historia (history), mapungufu (weaknesses) na mazuri (strengths) ya mabunge ya nchi zote mama za Afrika Mashariki i.e Kenya...
  2. Shujaa Mwendazake

    Tundu Lissu: Kama msimamo wa Rais Samia ndio huu, tujiandae kwa mapambano makali na magumu mbeleni

    "Kama msimamo wa Samia Suluhu Hassan ndio huu aliousema juzi, maana yake ni kwamba tujiandae kwa mapambano makali na magumu mbeleni. Huyu mama ni Magufuli wa kike, kwa hii kauli yake kuhusiana na haki za vyama vya siasa na katiba mpya ni anataka kuendeleza Umagufuli bila Magufuli mwenyewe...
  3. Memento

    Kwa wapenda mageuzi wote inahitajika nguvu na akili kidogo tu tuweze kushinda, tumuunge mkono Lissu

    Baada ya jana Rais kuulizwa maswali ya kimtego na kuyajibu kiholela, ni dhahiri inahitajika nguvu kidogo tu kupata yale tuliyoyapigania kwa miaka mingi. Hadi sasa raisi kishaonyesha hana nguvu ya kuzuia wananchi wanachodai na tayari kishaanza kuchoka. Tusipotumia nguvu na akili kidogo kwa huyu...
  4. Analogia Malenga

    Tundu Lissu: Nitarudi nyumbani ikiwa Rais Samia ataahidi kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani

    Aliyekuwa mgombea wa urais wa Tanzania mwaka 2020 kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema kwa sasa CHADEMA agenda yao kuu ni Katiba Mpya ambayo wataendelea kupambania kama chama. Aidha amesema mapambano ya Katiba Mpya anaweza kuyafanya nchini ikiwa Rais Samia atamuita na umhakikishia usalama...
  5. Shujaa Mwendazake

    Lissu: Samia Suluhu Hassan has finally revealed her true colors

    "Samia Suluhu Hassan has finally revealed her true colors. It's Magufulism without Magufuli & it's unacceptable. We can't, & we won't, accept the continuation of the illegal ban on lawful political activity imposed by the departed dictator. She'd be denounced & openly opposed!"- Tundu Lissu
  6. JF Member

    Tundu Lissu: Atakayefanya usaliti hata kama ni mkubwa, tutamshughulikia

    Moja kati ya maelezo ya Lissu wakati akihojiwa na kituo cha Habari huko nchini Kenya alieleza kwamba atakae fanya usaliti hata uwe mkubwa aina gani tutakushughulikia. Maelezezo haya yalitokana na kile kinachoonekana kwamba wale wabunge 19 wamesaliti Chadema na wameshawashughulikia. Haraka...
  7. lee Vladimir cleef

    Tundu Lissu ndiye mtu Jasiri zaidi Tanzania tangu tupate Uhuru

    Nchi yetu pendwa, kipenzi cha nchi nyingi duniani, kilimbilio la watu wote waliokua wakikandamizwa kwenye nchi zao hakuwahi kutawaliwa na Rais wa ajabu kama Magufuli. Rais ambaye hakuwapenda raia wake, hakusikiliza tulio hai, akitoa matamko ya kudhalilisha na kukejeli. Rais ambae hakuheshimu...
  8. The Palm Tree

    Video: Si rahisi "dictatorship regime" yoyote kuruhusu watu kama hawa waishi katika nchi wanazoongoza

    Hii ilikuwa katika bunge la pili la Utawala wa Mwendazake mwaka 2017 (mwaka mmoja na nusu hivi baada ya Magufuli kuingia madarakani). Miezi michache baadaye mbele akapigwa risasi kadhaa ili afe. Hakufa. Ukiitazama na kusikiliza madini kama haya toka kwa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida...
  9. W

    Mbowe usimfanye Tundu Lissu kuwa bidhaa

    Ndugu zangu, Aidha kwa kujua au kutokujua ndugu Lissu kageuzwa bidhaa au chanzo cha kupata hela. Kwenye miji na majiji kumeibuka mtindo wa watu wenye ulemavu au wanaoongopa ulemavu kusukumwa kwenye baisikeli za magurudumu manne na kuzunguka mitaani kuomba chochote kitu ili mradi maisha...
  10. Q

    Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini? #Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on...
  11. Erythrocyte

    Tundu Lissu kutoa mada siku ya Katiba (Katiba Day)

    Katiba Day ni siku ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeandaa kongamano la kujadili umuhimu wa kuwepo kwa Katiba Mpya itakayotokana na Raia wote, pamoja na mjadala huo pia kutakuwa na mjadala wa kuchagiza uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi. Tundu Lissu atakuwa miongoni mwa magwiji...
  12. Idugunde

    Tundu Lissu: Acheni kutunga uongo, mshaurini Rais Samia awataje na kuwakamata walionishambulia

    Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua. Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake...
  13. S

    Tundu Lissu aandika kitabu kuhusu uwajibikaji wa Mabunge ya Afrika Mashariki

    Aandika kitabu kuhusu uwajibikaji wa Mabunge ya Afrika Mashariki Cover la juu lina picha na maneno haya: Remaining in the Shadows- Parliament and Accountability in East Africa.
  14. Fundi Madirisha

    Tundu Lissu samehe, Shukuru Mungu upo hai

    Mhe Lissu tunajua kabisa kuwa waliokuumiza wako ndani ya Ardhi ya Tanzania hata kama hawapo hai. Samehe ilimradi wewe ni mzima na Mungu anakulinda kwa gharama zake yeye. Ulipigwa Risasi, Ukanyimwa pesa za matibabu, ulinyimwa mshahara, Ukanyimwa ubunge wako, Ulinyimwa uhuru wa kuishi nchini...
  15. Keynez

    Kampeni za uchaguzi wa urais za Tundu Lissu ya 2020 zitakumbukwa kwa vizazi vingi vijavyo

    Moja ya matukio makubwa yaliyowahi kutokea Tanzania ambayo vizazi vijavyo vitarudi na kuvitafakari itakuwa ni kampeni za uchaguzi wa Urais wa 2020 wa mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu. Ni kampeni iliyokuwa umegubikwa na sintofahamu nyingi, ni uchaguzi ambao ulikuwa na mchanganyiko wa...
  16. M

    Rais Samia anatekeleza sera za Tundu Lissu?

    Katika awamu hii mpya ya sita chini ya Rais wetu, Mama Samia tunaona anatekeleza baadhi ya sera za mgombea Urais wa CHADEMA, Mh. Tundu Antipas Lissu. Mojawapo wa sea hizo ni nchi kurudisha diplomasia na nchi za nje na mashirikaya kimataifa kama World Bank IMF, WHO ambazo Mwendazake aliharibu...
  17. Erythrocyte

    Godbless Lema amuomba Rais Samia kuchunguza kupotea kwa Ben Saanane na kushambuliwa kwa Tundu Lissu

    Pia ametoa dondoo za mahali pa kuanzia, ambapo aliyekuwa RPC wa Dodoma Murroto, Mbunge wa CCM Alexander Mnyeti, Paulo Makonda na Askofu Gwajima wametajwa kuweza kusaidia uchunguzi.
  18. sinza pazuri

    Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Kaka Goodluck mapenzi hayalazimishwi & uzalendo sio kuunga mkono kila kitu cha nchi yako hata kama hakistahili. @Diamondplatinumz sio Roma Mkatoliki au Ney wa Mitego au mrithi wa Bob Marley. Hajawahi kusimama kwenye haki, au kupinga maovu ya nchi hii. Mimi binafsi simuungi mkono! Lissu...
  19. technically

    Tundu Lissu: Ole Sabaya atendewe haki

    Ijapokuwa Ole Sabaya anatuhumiwa kufanya uovu mkubwa wakati akiwa DC Hai, alipaswa kufunguliwa mashtaka ya jinai kortini. Kwa TAKUKURU kumweka mahabusu kwa wiki nzima ni kukiuka sheria za nchi yetu & kuendeleza tabia ya ukiukaji wa haki za binadamu ya vyombo vyetu vya usalama!
  20. kipara kipya

    Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

    Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi. Ubaya hauna kwao. Mwisho wa ubaya ni aibu. Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Back
Top Bottom