Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,567
- 217,914
Pia ametoa dondoo za mahali pa kuanzia, ambapo aliyekuwa RPC wa Dodoma Murroto, Mbunge wa CCM Alexander Mnyeti, Paulo Makonda na Askofu Gwajima wametajwa kuweza kusaidia uchunguzi.
Gazeti la Mwanahalisi lilimtaja wazi kabisa!MI nataka tujue Ulimboka alitekwa na akina nani? Tusitetee wanasiasa tu, ni Ujinga!
Hutaki ukweli ufahamike?Naona kiki ya Sabaya imekosa mvuto sasa wanaanzisha mpya!
Jikite kwenye madaPia tunataka kujua Chacha wangwe alikufaje?
Sirro asubiri amri kutoka juu, asije kutuletea Toyota Surf iliyo gereji akasema ndio ilimteka Ben Saanane.Nilitegemea Lema amweleze afande Sirro!
Rais ni mzima anachapa kazi - MajaliwaTunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu lisu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha jpm tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake
Issue hii iko beyond afande Sirro, kama afande angekuwa na uwezo wa kulishughulikia angekuwa kashalifanyia kazi kitambo sana na file lingekuwa lishafungwa. Review hii ipo mikononi kwa Rais Samia, kama akiamua kweli kutafuta chanzo hadi mwisho wa matukio haya basi wengi wataumbuka ambao hatukuwategemea.Nilitegemea Lema amweleze afande Sirro!
Hii inahusiana vipi na mada?Mwambieni aache kulelewa na wanaume kwanza! Badala yake yeye awe mwanaume halisi aje hapa nchini aoiganie hayo akiwa hapa nchini kwake,
Ikulu ni mzigo - NyerereRais asipokua makini anaweza kumaliza muda wake akifanyia kazi issues za wapinzani TU,
Ndio maana huwa wanasema "if you give them an inch they will ask for a mile".
Wakimaliza hili, watadai jingine na wakiona wametimiza malengo yao wataanza kumpinga.