kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,098
Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.
Ubaya hauna kwao.
Mwisho wa ubaya ni aibu.
Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Ubaya hauna kwao.
Mwisho wa ubaya ni aibu.
Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.