Tundu Lissu kutoa mada siku ya Katiba (Katiba Day)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,670
218,173
Katiba Day ni siku ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeandaa kongamano la kujadili umuhimu wa kuwepo kwa Katiba Mpya itakayotokana na Raia wote, pamoja na mjadala huo pia kutakuwa na mjadala wa kuchagiza uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi.

Tundu Lissu atakuwa miongoni mwa magwiji watakaotoa mada.

Kongamano hilo litafanyika tarehe 1 JULY 2021.

FB_IMG_1624451562840.jpg
 
Ningependa kwenye mada yake aoneshe namna bora ya kuyahusisha makundi mengine kwenye jamii kwenye kudai Katiba Mpya.

Hii issue huko tuendako inatakiwa ifanywe ionekane ya kitaifa zaidi; kuanzia walemavu, machinga, wanamichezo, wanasiasa, viongozi wa dini, asasi za kiraia, mama lishe, wote lugha yetu iwe moja tu; Katiba Mpya.
 
Ningependa kwenye mada yake aoneshe namna bora ya kuyahusisha makundi mengine kwenye jamii kwenye kudai Katiba Mpya.

Hii issue huko tuendako inatakiwa ifanywe ionekane ya kitaifa zaidi, kuanzia walemavu, machinga, wanamichezo, wanasiasa, viongozi wa dini, asasi za kiraia, wote lugha yetu iwe moja tu; Katiba Mpya.
Hii ni MADA ya wanasiasa wanaotafuta unafuu wa kupenya kuingia IKULU.

Wananchi MADA yetu ni MAENDELEO STAHIMILIVU pamoja na huduma bora za kijamii.
 
Back
Top Bottom