Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,670
- 218,173
Katiba Day ni siku ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeandaa kongamano la kujadili umuhimu wa kuwepo kwa Katiba Mpya itakayotokana na Raia wote, pamoja na mjadala huo pia kutakuwa na mjadala wa kuchagiza uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi.
Tundu Lissu atakuwa miongoni mwa magwiji watakaotoa mada.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 1 JULY 2021.
Tundu Lissu atakuwa miongoni mwa magwiji watakaotoa mada.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 1 JULY 2021.