tundu lissu

  1. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: "I don't want to die, I love life but they are moments when you prepare to pay the ultimate price"

    👆 Haya ni maneno ya Lissu ambayo nimeyasikia akiwa anahojiwa kwenye documentary ya bbc. Mwanadamu atabadilisha nguo, wapenzi na misimamo ila hawezi akabadilisha asili yake ndani yake.
  2. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Je, mapambano yake yamefika mbali kupita kiasi?

    Chanzo: BBC BBC Africa Eye inamwangazia kiongozi wa upinzani wa Tanzania aliyeko kizuizini, Tundu Lissu, ambaye sasa anakabiliwa na changamoto kubwa zaidi katika maisha yake ya kisiasa. Baada ya kutumia zaidi ya mwaka mmoja kizuizini kwa mashtaka ya uhaini, Lissu hapiganii tu uhuru wake bali...
  3. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: ni heri Tundu Lissu afungwe maisha jela ili tupate Katika Mpya iliyo bora, hata kuandamana kutakuwa sahihi.

    Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar zinamapungufu upande wa sifa za wagombea Urais na Ubunge hata Udiwani. Tatizo wao Chadema wanataka Katiba ya KUINGIA IKULU na CCM wanataka Katiba yakuendelea kubaki madarakani nao makapuku wenzangu wao ndio hawajui chochote zaidi ni...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Wakuu, Hili suala la Tundu Lissu limeendelea kutuchafua Tanzania Kimataifa Documentary za aina hii tushazoea kuziona zikifanyika kwenye Banana Republics kama Burundi, Sudan na kwingineko lakini leo inafanyika Tanzania Kwa Documentary kama hizi, watu kama Dangote watakuja kuwekeza Tanzania...
  5. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania BBC News Africa: Tundu Lissu: A Fight Too Far?

    Ahsante BBC. Endeleeni kumuangazia mwanga huyu dikteta muuaji Samia. Hii makala imerushwa mapema leo Jumapili, Julai 12, 2026. https://youtu.be/9V11iRcPX1A?is=XxVPX6elzuSWUZI-
  6. M

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Wakuu, Nimeona niwaletee mrejesho na uchambuzi wa waraka muhimu sana ambao umetoka leo tarehe 10 Julai 2026 kutoka kwa Kundi la Mawaziri wa Jumuiya ya Madola linaloshughulikia Demokrasia na Haki za Binadamu (CMAG - Commonwealth Ministerial Action Group). Kikao chao cha 73 kimefanyika leo kwa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo’s touching Tribute to Hon. Tundu Lissu: A Debt of Fellowship and Unbending Fortitude

    "To my learned friend and compatriot, the Hon. Tundu Lissu… .. There was a season, not so distant in memory, when I myself stood in the storm; and in that season you were among those who took up my cause, lending your learning and your labour to my defence when such service carried neither...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kapanya: Samia mwachie huru Tundu Lissu taifa inamuhitaji. Acheni kufungia Mikutano watu waseme wakombolewe

    Mwenyekiti wa CHAUMMA Jimbo la Tarime Mjini, Butiku Masaku Mwita maarufu kwa jina la Kapanya akizunguma leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche Soma pia TANZIA - Dereva wa John Heche akutwa amefariki...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Jicho la tatu: Mtindo wa Nywele wa Tundu Lissu ni kuweka kumbukumbu ya picha kuhusu tabu au maisha ya kuwa gerezani

    Watu wengi huenda hawaelewi kwanini Tundu Lissu kaamua kuwa anaingia mahakamani kwa style ile na bila shaka wengi hawapati majibu. Binafsi naamini sababu ni hizi: 1. Kuonyesha kuwa sasa anaishi maisha ya tofauti huko gerezani hata kuchana nywele ni kazi 2. Anajaribu kuonyesha umma ukatili wa...
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali ya Tanganyika ina washauri wa kisheria? Kesi ya Tundu Lissu ilipata kufutwa maanda uhaini sio kosa la wizi wa kuku

    Ukisoma ibara zote za Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kosa pekee la uhaini ambalo limetatwa kwenye katiba ni uhaini. Kwa mujibu ya ibara ya 28 (4) uhaini ndio kosa kubwa kuliko yote hapa nchini. Maana yake kama mtu ni mhaini lazima uwe na ushahidi uliokamilika kama kweli uhaini...
  11. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania "Lema hajaelewa somo" Tundu Lissu

    "LEMA HAJAELEWA SOMO" TUNDU LISSU "Huyu jamaa mbona nywele ziko safi,hajaelewa somo!?" Hajaelewa zilisikika sauti za wafuasi wa Chadema, Lema akazuga mkuu mbona unagain weight,meseji sent,je huyu jamaa asiyeelewa somo ni double agent,huyo jamaa ni nani ni Bwana Lema aliyetokea kitanashati...
  12. Vulmeko

    JamiiForums Tanzania Ubunifu wa Tundu Lissu utaleta faida au madhara kwa jamii?

    Tundu Lissu ameamua kufuata ubunifu wa wanasiasa na viongozi kama Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Mahatma Gandhi, Muammar Gaddafi, Julius Malema, Thomas Sankara na wengine. Hao walibuni mitindo ya mavazi na mwonekano, na wafuasi wengi katika jamii zao wakawaiga. Kuna uwezekano mkubwa watu wengi...
  13. passioner255

    JamiiForums Tanzania Apreciation post for Tundu Lissu

    Kila mtu anajua kuwa sio rahis kutoa sadaka maisha yako ili mabadiliko ya watu wengi au nchi ipatikane. Lakini kuna mtu mmoja anayeitwa Tundu lisu amepigwa kwa fimbo na mateke na kila aina ya nyenzo na polisi Nk,ameonewa sana,akapigwa risasi na kunusurika kufa,pia amekamatwa mara nyingi na...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kama walikuwa wanataka kunikondesha, watafute utaratibu mwingine

    Tundu Lissu akiwa mahakamani, amesikika akisema; "Kama walikuwa wanataka kunikondesha, watafute utaratibu mwingine!" Mwenendo wa Kesi ya Uhaini >> Tundu Lissu: DPP anilipe fidia kwa taabu aliyonisababishia kwa siku 139
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: DPP anilipe fidia kwa taabu aliyonisababishia kwa siku 139

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Lissu ameiomba Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mkurugenzi wa Mashtaka DPP na amlipe fidia kwa ucheleweshaji wa shauri lake. Lissu amesema hayo mbele ya Majaji watatu wa rufani Shimiwa Mwarija...
  16. PAYE

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyopandishwa Kizimbani Mahakamani

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 3, 2026, ambapo anatarajiwa kuchuana na jopo la mawakili wa Serikali kwa hoja za kisheria wakati wa usikilizwaji wa shauri...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mwandambo: Lissu anarusha mikono mahakamani kujipa matumaini. Wanaomshangilia wanamuacha, anarudi gerezani peke yake

    Wakuu, Clemence Mwandambo anasema ishara ya kunyoosha ngumi juu inayotumiwa na Lissu akiwa kizimbani ni ishara ya kujipa matumaini tu, na kwamba kiongozi huyo anaonekana kupoteza nguvu na kuachwa peke yake wakati wa kurudishwa gerezani. "Yaani huyu jamaa ni mnyonge. Ni mtu aliyekata tamaa...
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu kuendelea kesho Julai 3, 2026

    Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuwa kesho Ijumaa, Julai 3, 2026, Mahakama ya Rufani ya Tanzania itakayosikiza jijini Dar es Salaam maombi ya marejeo Na. 7440840/2026 yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) dhidi ya Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Combo ya Tundu Lissu na John Heche kila Mtanzania sasa anaielewa na kuiishi kwa mustakabali na ustawi jumuishi wa nchi yetu pendwa Tanganyika

    Hawa magwiji wawili wa siasa na jopo lao la viongozi ndani ya CDM wamefanya CCM wote kuchanganyikiwa na kupoteza legitimacy mbele ya wananchi kwa zaidi ya asilimia 80. Ni ukweli usiopingika kwamba Chadema kwa sasa ndio chama kikuu cha siasa Tanzania na raia wanashauku na matumaini makubwa kwa...
  20. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Wanasheria wengi wa chadema na upinzani wanachangamoto ya kushindwa kutafsiri katiba ya Nchi. Imagine mwanasheria mzoefu hajui kuwa kwa Tanzania huwezi ukafanya mikusanyiko yyte bila kibali cha Polisi, hajui kuwa hiyo ni Sheria ya mikusanyiko (assembling act, ) ambayo imeainishwa kwenye katiba...
Back
Top Bottom