Tumalize huu ubishi ulioenea kuwa kati ya Mwenyekiti wa ngome ya vijana ACT, Kijana machachari Abdul Nondo na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa kisiasa nani zaidi?... Mimi sina upande wowote. Tupige kura.
Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayo tarehe 30 Aprili 2026 wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha.
Niwe mkweli nipo na mama yenu namwamsha taratibuuuu!
Just imagine, kisa madaraka Tundu Lissu muda huu amekumbatia Kuta za gerezani kwa kosa la uhaini ili Hali sio muhaini.
Wewe wakili wa Serikali na majaji mnasinamia kesi yake mmekumbatia wake ZENU na waume ZENU ili ccm iebdelee kutawala...
Leo April 30, 2026, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amefikishwa tena mahakamani kuendelea na kesi yake.
Soma pia Mahakama yakataa Lissu kuunganishwa kwenye kesi ya Chadema iliyofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake
CCM wakimsimamisha Emanuel na Lissu nafasi ya urais nitaondoka na Lissu sio Emma japokua mwana ccm mwenzangu nina sababu za msingi kama tatu.
Emanuel ni mtu mwenye misimamo Ila ni mtu muoga hawezi kutoka kusimamia anachokiamini mpaka mwisho. Walivyomkata Lowasaa 2015 yeye na sophia simba ndo...
Wote tunajua baada ya kuondoka Magufuli anayeweza kutoka macho makavu na kupinga rushwa na Ufisadi akiwa macho makavu ni Tundu Antipas Lissu tu wengine hawajapata nafasi kama Makonda alivyodai.
Nashangaa nchi ambayo Ina vyombo vya usalama kama Tiss na Jeshi la wananchi...
Huu ndio utabiri wangu huku Tundu Lissu akiwa ndio mlengwa mkuu ili tu isionekane ameshinda kesi ya uhaini bali ametoka kutokana na mapendekezo ya Tume.
Pia, mtarajie habari ya maridhiano kupitiia hii tume.
All in all, wajue hatudanganyiki.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kyela, Victoria Swebe, ametoa tamko kali dhidi ya kile alichokiita "siasa za mateso" na kesi za kutengenezewa, huku akitaka mamlaka kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji nchini.
Akizungumza wilayani humo jana, Aprili 21...
Wote nimewaelewa Ila kuna mmoja hajamuelewa Mwingine kwako MangeKimambi na kaka @HecheJohn
Tusiwape Mwanya CCM kupata upenyo wa kutugawa kupitia nyufa za Majadiliano ya namna ya tunavyojadili masuala,
Kwa namna yeyote ile @TunduALissu Lissu lazima awe out na ndo suala muhimu! Tunajua...
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, huo ndio mtazamo wangu na pia ni ushauri wangu kwa chama iwapo Tundu Lissu ataachiwa kutoka gerezani.
Tundu Lissu akiwa gerzani shida, akiwa nje shida.
Mtajua hamjui.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa mwenyekiti wake, Tundu Lissu anayeshikiliwa katika Gereza la Ukonga, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakili wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Dk Lazarus Chakwera aliyemtembelea.
Itakumbukwa Aprili 10, chama hicho kilikutana...
Ndugu zangu Watanzania,
Gerezani hakunaga Ubabe hata Siku Moja, Gerezani ni Mahali pa Kurekebisha Tabia hata kwa mwenye Usugu na Nunda. Gerezani hakuzoeleki hata Siku Moja,Gerezani siyo kwa kuchezea ,Gerezani siyo Hoteli ya kitalii ,Gerezani siyo kwa kulilia ,Gerezani siyo kwa kuomba kwenda...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewasilisha orodha ya mambo saba muhimu anayoyachukulia kama msingi wa mustakabali wa demokrasia na utawala wa sheria nchini Tanzania.
Soma maamuzi ya Kesi: Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za...
Inasikitisha sana. Ona kwamba Pole Pole na Tundu Lissu, hadi leo, wanashikiliwa na Polisi kwa sababu ya kutupigania Watanzania na Tanzania kama nchi.
Sasa kweli Watanzania tumeridhika na hali ya hawa watu wawili muhimu kuwekwa ndani na sie tukaona ni sawa tu, hatutaki kufanya lolote kuwapigania...
Hivi sasa uendeshaji wa dunia umebadilika. UNO ipo lkn kama mpitishaji wa ajenda za USA
ICC ipo lkn haiwezi kuikosoa Isreal.
Vipo vyombo vya habari vikubwa kama bbc , CNN lkn vyote hivyo huvisikii kumkosoa Trump.
Yaani hivi sasa dunia inavyoendeshwa kama inaendeshwa na watu na sio mihimili...
Tulijua mmejifunza na maskio yamezibuliwa kumbe bado mna viburi na dharau kwasababu hamkujifunza October 29 suala Lissu ndo mnaenda kuzibuliwa vizuri maskio mmejaa viburi kitu ambacho hawajui October 29 hii nchi yote ilimwangiwa petrol na Lissu ni kama kiberiti Just wait
Kama wanafikiri kuwa kumweka gerezani Tundu Lissu ndiyo njia itakayowasaidia kubaki madarakani, inabidi wajihoji tena na watagundua kwamba hali hiyo ndiyo itakayo harakisha anguko lao..
Waliua waTanzania kwa kufikiri kuwa njia hiyo itawatia uoga waTanzania wasiendelee kudai HAKI yao iliyoporwa...
BARUA YA WAZI KWA JAJI MKUU WA TANZANIA KUHUSU KUHARAKISHA KESI YA TUNDU LISSU
Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Tanzania,
Ninakusalimu kwa heshima kubwa, nikitambua nafasi yako muhimu katika kusimamia utoaji wa haki nchini. Lengo la barua hii ya wazi ni kuwasilisha ombi la msingi na la haki kuhusu...
Ndugu zangu Watanzania,
Hakuna Mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kujitokeza hadharani kuanza kumtetea na kumsemea Tundu Lissu . Yule Lissu hafai hata kidogo kuwepo mitaani zaidi ya mahabusu na magerezani mpaka akili yake itakapomkaa sawa na kuomba msamaha kwa Taifa letu...
Mwanaharakati Maria Sarungi Tsehai amewalipua Watanzania kwa kile alichokiita ni kushindwa kumtetea Tundu Lissu, kiongozi ambaye amejitoa mhanga kwa miongo kadhaa kusema ukweli bila woga. Maria Sarungi amesisitiza kuwa Tundu Lissu ana rekodi ya kipekee ya utendaji isiyoyumba, na ndiyo sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.