Leo, tarehe 30 Julai 2026, Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetoa uamuzi muhimu katika shauri lililomhusisha Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) dhidi ya Tundu Antiphas Lissu. DPP alikuwa amewasilisha maombi ya kupitia upya uamuzi wa Mahakama Kuu uliokataa jaribio la upande wa mashtaka la kuwasilisha...
Tanzania kwa sasa inaviashiria vyote vya kuelekea kwenye failed state na vita ya wenyewe kwa wenyewe, anayezuia nchi hii isiingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni Tundu Lissu kwa sababu hajawahi kuwaambia Chadema watafute silaha.
Licha ya Tundu Lissu kuwa mwanasiasa machachari ila ameamua...
================
URGENT: TUNDU LISSU’S LIFE IS IN DANGER
Credible information indicates that Tundu Lissu’s life is at serious risk.
For more than 470 days, Tundu Lissu has been held in detention in Tanzania as an unconvicted prisoner, without a fair and timely resolution of his case.
His...
Shauri la Kikatiba namba 7300 la mwaka 2026 linalohusu madai ya kunyimwa faragha kwa Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, limeahirisha hadi Septamba 16, 2026 kwa ajili ya kutajwa.
Shauri hilo liliendea leo Alhamisi Julai 23, 2026 katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amerudishwa rumande baada ya kumalizika kwa usikilizwaji wa Shauri la Kikatiba kwa siku ya leo Julai 23, 2026 Shauri Na. 7300/2026 limesikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, inayoketi vikao vyake katika...
Facebook
Mhe. Brenda: Mwenyekiti Tonetone imefika Milioni 174.5 mpaka jana usiku
Mhe. Lissu : Waambie waongeze bidii, Baraza Kuu lifanyike
CHANGIA BARAZA KUU LA UMMA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba: 22606600140
Jina: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu misingi ya katiba na uhuru wa mihimili ya dola, akibainisha kuwa mahakama ni mhimili huru unaopaswa kuachwa utekeleze majukumu yake bila kuingiliwa au kujadiliwa kisheria.
Akizungumza...
Mahakama imeanza soon nawaletea Updates za kesi.
Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa mazungumzo baina ya mawakili na wateja wao.
Stay...
Kuna mambo huwa hayazuiliki. Huwa yanakuja tu au yanatokea tu kiasili.
Mapema leo wakati Mchungaji Msigwa anasalimiana na Mheshimiwa Lissu, maafande wa Magereza walishindwa kuzuia tabasamu kwenye nyuso zao.
Achana na maneno yangu. Picha huongea maneno zaidi ya elfu. Jionee mwenyewe.
Naamini...
KITUKO KILICHOTOKEA MAHAKAMANI.
Wakati Mkuu wa Gereza yaani BWANA JELA ambae ni Andrew Shabani Ntamamilo alipohojiwa na Mhe. Tundu Lissu kuhusu Kuwazuia kabisa Mawakili kama Vile Deogratias Mahinyila, Dickson Matata lakini pia viongozi wakuu wa Chama akiwemo John Heche, Makamu Mwenyekiti...
Tundu Lissu amepelekewa mihogo mikavu Mahakamani kama chakula cha mchana wakati wa kuendelea kusikilizwa kwa shauri linalohusu vikwazo vya kumwona katika Gereza la Ukonga. Shauri hilo limeendelea leo, Julai 22, 2026, katika Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam.
Fuatilia mwenendo wa Kesi: Kesi...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema waandishi wa habari wamezuiwa kuingia katika ukumbi wa Mahakama Kuu kuripoti mwenendo wa kesi inayohusu vikwazo vya kumwona Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, akiwa mahabusu.
Taarifa hiyo imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa chama...
Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa mazungumzo baina ya mawakili na wateja wao.
Pia Soma Updates: Kesi ya Mawakili wa Lissu dhidi ya Mkuu...
Nafatilia video mjomgeo zinazoruka kwenye mitandao zinazo mwonesha Tundu Lissu akiwa mahakama naona na Askari Magereza jinsi ya kike najiuliza wanafanya kwenye ulinzi wa Lissu?
Uhuu UTAWALA wa wasira na wenzake ni WA OVYO kuliko tudhaniavyo trust me.
Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Lissu Akilalamika na kumlalamikia Katibu Mkuu wake John Mnyika kuwa watu waliojitokeza ni wachache sana na kwamba inaonyesha hajafanya Hamasa ya kutosha ili watu waende kwa wingi kusikiliza kesi.
Lissu ni lazima afahamu kuwa watu wana kazi zao na...
Kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu baada ya kuingia mahakamani ambapo leo anatarajiwa kuendelea kuuliza maswali ya dodoso kwa mashahidi kwenye shauri la kikatiba na 7300/2026 lililofunguliwa Mawakili Kulwa Maduhu, Nashon Nkung na Paul Kisabo ambao...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema; "Mahakama inaendelea vizuri. Tena yeye Tundu Lissu, rafiki yangu, anaitumia mahakama kama shule ya sheria; yeye anajitetea mwenyewe. Kila siku anaweka mapingamizi, majaji wanaahirisha kwenda kutazama hicho alichokisema—ndio maana...
Flashback:
Kumbuka hili ni Shauri la kikatiba Na. 7300 lililofunguliwa na mawakili Maduhu William, Nashon Nkungu na Paul Kisabo dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza, Mkuu wa Gereza la Ukonga na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Lengo la shauri hili ni kuhoji uhalali wa Jeshi la Magereza kuzuia...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo @chadematzofficial Tundu Lissu leo Julai 21, 2026 amefikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dodoma kwa ajili ya shauri la Kikatiba kuhusu haki za Mawakili ikiwemo haki ya faragha pindi wanapomtembelea gerezani.
Shauri hilo limefunguliwa...
Wanabodi
Angalizo
Kufuatia kushuka sana kwa kiwango cha uelewa kwa wana jf wengi wa hii jf ya kisasa, naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo la msimamo wangu kuhusu hii kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu ili bandiko hili lisije kuonekana ni mimi nashabikia mtu anyongwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.