tundu lissu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Leo, tarehe 30 Julai 2026, Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetoa uamuzi muhimu katika shauri lililomhusisha Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) dhidi ya Tundu Antiphas Lissu. DPP alikuwa amewasilisha maombi ya kupitia upya uamuzi wa Mahakama Kuu uliokataa jaribio la upande wa mashtaka la kuwasilisha...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wazee wa CCM na Wakuu wa Majeshi shinikizeni kuachiwa Tundu Lissu

    Tanzania kwa sasa inaviashiria vyote vya kuelekea kwenye failed state na vita ya wenyewe kwa wenyewe, anayezuia nchi hii isiingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni Tundu Lissu kwa sababu hajawahi kuwaambia Chadema watafute silaha. Licha ya Tundu Lissu kuwa mwanasiasa machachari ila ameamua...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Tundu Lissu atoa taarifa kuwa yupo katika tishio la kuuawa!!

    ================ URGENT: TUNDU LISSU’S LIFE IS IN DANGER Credible information indicates that Tundu Lissu’s life is at serious risk. For more than 470 days, Tundu Lissu has been held in detention in Tanzania as an unconvicted prisoner, without a fair and timely resolution of his case. His...
  4. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kesi ya faragha ya Tundu Lissu kuendelea tarehe 16 September, 2026

    Shauri la Kikatiba namba 7300 la mwaka 2026 linalohusu madai ya kunyimwa faragha kwa Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, limeahirisha hadi Septamba 16, 2026 kwa ajili ya kutajwa. Shauri hilo liliendea leo Alhamisi Julai 23, 2026 katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Uamuzi shauri la Kikatiba la Lissu kujulikana Septemba 16, 2026

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amerudishwa rumande baada ya kumalizika kwa usikilizwaji wa Shauri la Kikatiba kwa siku ya leo Julai 23, 2026 Shauri Na. 7300/2026 limesikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, inayoketi vikao vyake katika...
  6. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu maoni yake kuhusu michango ya Tonetone

    Facebook Mhe. Brenda: Mwenyekiti Tonetone imefika Milioni 174.5 mpaka jana usiku Mhe. Lissu : Waambie waongeze bidii, Baraza Kuu lifanyike CHANGIA BARAZA KUU LA UMMA M-Pesa Namba: 0744446969 Jina: CHADEMA HQ NMB Bank Namba: 22606600140 Jina: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
  7. R

    JamiiForums Tanzania Wasira: Nilimwambia Tibaijuka nchi lazima iendeshwe kwa mujibu wa sheria, Tundu Lissu yuko kwenye mhimili wa Mahakama

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu misingi ya katiba na uhuru wa mihimili ya dola, akibainisha kuwa mahakama ni mhimili huru unaopaswa kuachwa utekeleze majukumu yake bila kuingiliwa au kujadiliwa kisheria. Akizungumza...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya pili

    Mahakama imeanza soon nawaletea Updates za kesi. Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa mazungumzo baina ya mawakili na wateja wao. Stay...
  9. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Hata wao walishindwa kuzuia tabasamu lao!

    Kuna mambo huwa hayazuiliki. Huwa yanakuja tu au yanatokea tu kiasili. Mapema leo wakati Mchungaji Msigwa anasalimiana na Mheshimiwa Lissu, maafande wa Magereza walishindwa kuzuia tabasamu kwenye nyuso zao. Achana na maneno yangu. Picha huongea maneno zaidi ya elfu. Jionee mwenyewe. Naamini...
  10. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Bwana Jela Gereza asema hatawaruhusu viongozi wa CHADEMA kumuona Lissu sababu kesi iko mahakamani. Jaji amshangaa

    KITUKO KILICHOTOKEA MAHAKAMANI. Wakati Mkuu wa Gereza yaani BWANA JELA ambae ni Andrew Shabani Ntamamilo alipohojiwa na Mhe. Tundu Lissu kuhusu Kuwazuia kabisa Mawakili kama Vile Deogratias Mahinyila, Dickson Matata lakini pia viongozi wakuu wa Chama akiwemo John Heche, Makamu Mwenyekiti...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PICHA: Lissu apelekewa Mihogo mikavu Mahakamani kama chakula cha mchana

    Tundu Lissu amepelekewa mihogo mikavu Mahakamani kama chakula cha mchana wakati wa kuendelea kusikilizwa kwa shauri linalohusu vikwazo vya kumwona katika Gereza la Ukonga. Shauri hilo limeendelea leo, Julai 22, 2026, katika Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam. Fuatilia mwenendo wa Kesi: Kesi...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Waandishi wazuiliwa kuingia Mahakamani kesi ya Lissu

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema waandishi wa habari wamezuiwa kuingia katika ukumbi wa Mahakama Kuu kuripoti mwenendo wa kesi inayohusu vikwazo vya kumwona Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, akiwa mahabusu. Taarifa hiyo imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa chama...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa mazungumzo baina ya mawakili na wateja wao. Pia Soma Updates: Kesi ya Mawakili wa Lissu dhidi ya Mkuu...
  14. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Huu utawala mimi sielewi bhana, Askari Magereza wa jinsia ya kike anamlinda nini Tundu Lissu?

    Nafatilia video mjomgeo zinazoruka kwenye mitandao zinazo mwonesha Tundu Lissu akiwa mahakama naona na Askari Magereza jinsi ya kike najiuliza wanafanya kwenye ulinzi wa Lissu? Uhuu UTAWALA wa wasira na wenzake ni WA OVYO kuliko tudhaniavyo trust me.
  15. L

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Katibu Mkuu watu ni wachache, maana yake hujafanya mobilization?

    Ndugu zangu Watanzania, Hayo ni Maneno ya Lissu Akilalamika na kumlalamikia Katibu Mkuu wake John Mnyika kuwa watu waliojitokeza ni wachache sana na kwamba inaonyesha hajafanya Hamasa ya kutosha ili watu waende kwa wingi kusikiliza kesi. Lissu ni lazima afahamu kuwa watu wana kazi zao na...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Changieni baraza kuu, changieni chama cha Ukombozi

    Kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu baada ya kuingia mahakamani ambapo leo anatarajiwa kuendelea kuuliza maswali ya dodoso kwa mashahidi kwenye shauri la kikatiba na 7300/2026 lililofunguliwa Mawakili Kulwa Maduhu, Nashon Nkung na Paul Kisabo ambao...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kila siku Lissu anaweka mapingamizi, ndio maana inachukua muda mrefu

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema; "Mahakama inaendelea vizuri. Tena yeye Tundu Lissu, rafiki yangu, anaitumia mahakama kama shule ya sheria; yeye anajitetea mwenyewe. Kila siku anaweka mapingamizi, majaji wanaahirisha kwenda kutazama hicho alichokisema—ndio maana...
  18. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Updates: Kesi ya Mawakili wa Lissu dhidi ya Mkuu wa Gereza la Ukonga

    Flashback: Kumbuka hili ni Shauri la kikatiba Na. 7300 lililofunguliwa na mawakili Maduhu William, Nashon Nkungu na Paul Kisabo dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza, Mkuu wa Gereza la Ukonga na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Lengo la shauri hili ni kuhoji uhalali wa Jeshi la Magereza kuzuia...
  19. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Lissu afikishwa mahakamani leo, ulinzi waimarishwa

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo @chadematzofficial Tundu Lissu leo Julai 21, 2026 amefikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dodoma kwa ajili ya shauri la Kikatiba kuhusu haki za Mawakili ikiwemo haki ya faragha pindi wanapomtembelea gerezani. Shauri hilo limefunguliwa...
  20. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant

    Wanabodi Angalizo Kufuatia kushuka sana kwa kiwango cha uelewa kwa wana jf wengi wa hii jf ya kisasa, naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo la msimamo wangu kuhusu hii kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu ili bandiko hili lisije kuonekana ni mimi nashabikia mtu anyongwe...
Back
Top Bottom