Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,286
- 3,566
"LEMA HAJAELEWA SOMO" TUNDU LISSU
"Huyu jamaa mbona nywele ziko safi,hajaelewa somo!?" Hajaelewa zilisikika sauti za wafuasi wa Chadema,
Lema akazuga mkuu mbona unagain weight,meseji sent,je huyu jamaa asiyeelewa somo ni double agent,huyo jamaa ni nani ni Bwana Lema aliyetokea kitanashati kachana nywele style ya panki huku wenzake wakiwa wamesokota nywele mtindo wa rasta wakimuenzi mfungwa Tundu Lissu ambaye hachani nywele zake kwa muda sasa akiwa mahabusu ikiwa ni mwaka na miezi kadhaa.Je huyu jamaa asiyeelewa somo yupo kwenye mgomo baridi au anatumikia maslahi yake na sio ya Chadema.
#Muda ni Mwalimu,Lema na lake jambo.
"Huyu jamaa mbona nywele ziko safi,hajaelewa somo!?" Hajaelewa zilisikika sauti za wafuasi wa Chadema,
Lema akazuga mkuu mbona unagain weight,meseji sent,je huyu jamaa asiyeelewa somo ni double agent,huyo jamaa ni nani ni Bwana Lema aliyetokea kitanashati kachana nywele style ya panki huku wenzake wakiwa wamesokota nywele mtindo wa rasta wakimuenzi mfungwa Tundu Lissu ambaye hachani nywele zake kwa muda sasa akiwa mahabusu ikiwa ni mwaka na miezi kadhaa.Je huyu jamaa asiyeelewa somo yupo kwenye mgomo baridi au anatumikia maslahi yake na sio ya Chadema.
#Muda ni Mwalimu,Lema na lake jambo.