tundu lissu

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu, mahakama kutoa uamuzi wa mapingamizi leo Feb 11, 2026

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Jumatano, Februari 18, 2026, inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu mapingamizi yaliyowekwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili. Katika kesi hiyo namba 19605/2025...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mahakama kuu, Kanda ya Dar es salaam Tarehe 11 Februari, 2026 kutoa uamuzi mdogo katika kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

    Tarehe 11/02/2026 Chadema itakuwa na Kesi 3 Mahakama kuu. Kesho tarehe 11/02/2026 Mahakama kuu, Kanda ya Dar es salaam inatajia kutoa uamuzi mdogo katika kesi ya Uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Mhe. Tundu Lissu, kufuatia pingamizi la Mhe Lissu dhidi ya mashahidi wa kificho akitaka...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Tutashinda, MUNGU yuko naye maana anatenda haki

    Tutashinda, atashinda, tutashinda.
  4. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Jeshi la magereza linaongozwa na amri kutoka juu na sio sheria huko juu ni wapi juu mbinguni au ?

    Tundu Lissu: Jeshi la magereza linaongozwa na amri kutoka juu na sio sheria huko juu ni wapi juu mbinguni au ?
  5. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Jeshi halina mamlaka yoyote ya kuzuiwa watu kukutana na ndugu, marafiki gerezani ni kinyume cha sheria

    Tundu Lissu: Jeshi halina mamlaka yoyote ya kuzuia watu kukutana na ndugu, marafiki gerezani ni kinyume cha sheria.
  6. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa

    Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tanzania ina midomo mingi, kila unalofanya linatafsiriwa

    Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya takribani miezi mitatu, kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 9, 2026

    Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' Tundu Antiphas Lissu inatarajiwa kuendelea leo Febriari 9, 2026 Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es salaam. Kupitia taarifa Rasmi iliyotolewa na CHADEMA jumapili jioni Februari 08, 2026...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuendelea leo Februari 9, 2026

    Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' Tundu Antiphas Lissu inatarajiwa kuendelea leo Febriari 9, 2026 Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es salaam. Kupitia taarifa Rasmi iliyotolewa na CHADEMA jumapili jioni Februari 08, 2026...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Huwezi kulileta Taifa pamoja na Kiongozi wa Upinzani yuko Gerezani

    Mwanasiasa mkongwe Prof. Anna Tibaijuka, akizungumza na Salim Kikeke kwenye Kikao Na Kikeke, anaeleza kuwa ni ngumu kulileta pamoja taifa wakati kiongozi wa upinzani akiwa gerezani.
  11. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Polisi Wamkamata Mwanachama wa CHADEMA kwa kosa la kuiba michango ya Tundu Lissu

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Fredrick Mbwambo, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa tuhuma za wizi wa fedha za michango zilizokuwa zikikusanywa kwa ajili ya Mwenyekiti wa chama hicho aliyeko gerezani kwa tuhuma za uhaini, Tundu Lissu. Kwa mujibu wa...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mjumbe maalum wa Tundu Lissu katika msiba wa mzee Mtei

    Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe, wanafamilia wa marehemu Edwin Mtei, viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ndugu wananchi, waombolezaji, mabibi na mabwana; Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti Mwanzilishi na Mwasisi wa Chama...
  13. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Butiku na Wazee wenzake wa Ovyo, hawajataja Hatua kwa Walioua, wanaoteka Watanzania , hawasemi walotekwa waachiwe, Akina Lissu

    Mzee Butiku na Genge lako la Wazee wahuni huni ,Wazee wa Hovyo, tuliwakataa kitambo sana.
  14. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Tundu Antipass Lissu. Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya Tanganyika na Tanzania

    Leo tarehe 20 January ni kumbukizi ya kuzaliwa Mwanasiasa Bora kabisa kuwahi kutokea Tanganyika na Tanzania Bwana Tundu Antipass Lissu. Siku kama ya leo ndo Mungu aliipa zawadi Tanzania kutupatia mtu ambaye yupo radhi kuumia na hata kufa ili awasaidie wengine wasio na uwezo wa kusema na...
  15. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 After days in Prison, Tundu Lissu’s Treason case is set to resume in Dar es Salaam on February 9

    The treason trial against Tanzanian opposition leader Tundu Lissu (Case No. 19605/2025) is set to resume at the High Court, Dar es Salaam Circuit, from February 9, 2026, to March 6, 2026. This schedule was confirmed by CHADEMA’s National Legal Director, Gaston Galubindi (also referred to as...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Tundu Lissu kwa kusimama imara ndani ya kuta za gereza kama Mandela, waliokuweka ndani watalipwa kupitia ICC

    Habari ndio hio kwa kifupi. Wakati wao ukifika, watatia huruma sana. Akichomoka kipindi hiki yuko madarakani, anaweza kuja kukabidhiwa ICC na mrithi wake kwa mshangao wa wengi kutokana na mashinikizo ya kimataifa au sababu nyinginezo. Muda utathibitisha.
  17. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Jiandaeni kumpokea Tundu Lissu muda wowote kuanzia sasa

    Jiandaeni kumpokea Tundu Lissu muda wowote kuanzia sasa
  18. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Pray for Tundu Lissu

    Habari! Toka jumamosi iliyopita nikiwa safarini toka Nyumbani Tanzania Kwenda Ughaibuni niliko jishikiza kimaisha as Diaspora najisikia Ndani yangu kumuombea TUNDU A. LISSU. Mimi sio mwanasiasa na Sina itikadi ya chama chochote Kile ila ninachojua Tundu Lissu ni Mmoja wa watu ambao Mungu...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu; Mkurugenzi wa sheria, katiba na haki za binadamu CHADEMA anatoa ufafanuzi wa kilichotokea

    10 January 2026 MAZITO YAFAFANULIWA https://m.youtube.com/watch?v=sVw34Jl61eg Advocate Gaston Shundo Garubindi anajibu masuala mbalimbali ktk interview exclusive na Jambo TV yanayogusia ikiwemo kwa uchache ktk mengi Criminal case / kesi Jinai huwa hazitakiwi kusimama session zake hata kama...
  20. Keynez

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu hawezi kuhongeka kwa cheo feki cha "Makamu wa Rais"

    Kuna chaka ambalo linataka kutumika katika maridhiano la kumuahidi Umakamu wa Rais au Uwaziri Mkuu Tundu Lissu kama sehemu ya kumpoza na kurudisha imani ya Jumuiya ya Kimataifa ambayo kwa kika siku inayokwenda wanazidi kukaza kamba. Hili chaka ka kuzawadia watu Umakamu wa Rais au Uwaziri Mkuu...
Back
Top Bottom