tujikumbushe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Think2

    Tujikumbushe hili sakata la CPA seni, limefikia wapi? Mpaka sasa

    "Mkurugenzi wa Fedha na Utawala (Director of Finance and Administration) wa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA), CPA George Mahigu Seni, amesimamishwa kazi kwa kupinga mauaji ya watu wasio na hatia Oktoba 29. CPA Seni anatuhumiwa kuchapisha maneno ya uchochezi kwenye WhatsApp group ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Tujikumbushe Makonda alipokataa kuwaomba radhi Clouds Media

    Huyu jamaa watu tumeamua kufukua makaburi yake yote ya nyuma! Leo acha tuanze na hili tukio ambalo binafsi liliniacha mdomo wazi baada ya Makonda alipokata kuomba msamaha kwa Clouds baada ya tukio la kuvamia Media hiyo! Tena alikataa mbele ya Marehemu Ruge Hii ilikuwa ni Aug 9, 2017 katika...
  3. Foffana

    Tujikumbushe Tundu Lissu kwenye moja na mbili

    Kuna namna nyingi za kudai reforms na kuipata sio tu njia moja ya maandamano na hili tumekuwa tukilisema humu kila siku tunaishia kupewa majina mabaya Lakini waTz tumekariri njia moja tu ambayo imeng'ang'aniwa na wale wanaharakati bila kuangalia kama itakuwa effectively au vipi wao ni bora...
  4. Binti wa zamani

    Kuelekea D9 tujikumbushe: Kuna utofauti kati ya kuichapa na kuikula

    Ukiona nimekuja humu asubuhi, ujue kuna jambo zito. Aunty yenu nimeshapaki najiandaa kuondoka mjini weekend hii ila jana nimepewa kichapo cha haja kimenifanya niahirishe safari, nitaondoka kesho. Asanteni gen Z, jana na leo asubuhi huku faraghani imekua ni mwendo wa kuchapwa bila huruma, maana...
  5. Spectophotometer

    Tujikumbushe waraka wa TEC,CCT na PCPT mwaka 2015

    TUJIKUMBUSHE WARAKA WA TEC CCT NA PCPT MWAKA 2015
  6. I

    Sisi wa kitambo hebu tujikumbushe kidogo hip hop ya zamani

    Wadau habari. Muziki wa hiphop wa sasa umebadilika sana.Lakini kwa sisi wenye kumbukumbu za zamani hebu tukumbushane. 1.Je unaikumbuka ngoma ya kwanza Unit aliimba Bugz Malone na D Rob.Bug alikuwa anachana kiingereza alafu D akapoga chorus ya Kiswahili iliyokuwa inaenda "kama hujui...
  7. KING MIDAS

    Tujikumbushe kesi ya Magufuli

    Tundu Lissu ailaza chali Jamhuri, kesi ya Dennis Wilson aliyemkashifu Rais Magufuli Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameiangusha Jamhuri katika kesi ya kumkashifu JPM iliyokuwa ikimuhusu Dennis Wilson Wilson, mwanachama wa Chadema alishtakiwa na...
  8. Atlast nimempata

    Tujikumbushe kwa JPM!

    Sikiliza mpaka mwisho
  9. McLaren

    Tujikumbushe alichosema Rais Samia kuhusu wanasiasa wenye "Stress" za 2025

    Wakuu, Wakuu nakumbuka Rais Samia akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO - 19 alionya kuhusu watu wa Serikalini ambao walikuwa na fever ya Uchaguzi
  10. T

    TBT: Tujikumbushe hotuba za mhe. Joseph mbilinyi (sugu) bungeni

  11. kavulata

    Tujikumbushe mambo 11 ahadi za Murtaza Mangungu vs Juma Nkamia. Ametimiza mangapi kabla ya kumlaumu?

    Mangungu aliahidi mambo 11 wakati anaomba kura kuwa Mwenyekiti Simba. kabla ya kuhukumu rejea kwanza ahadi zake, ametimiza mangapi? https://youtu.be/t_mRj7nOM14?si=dTAi_PkWeRMepQW_
  12. ngara23

    Wanasimba wenzangu tujikumbushe ahadi za Jay Rutty, muda wa utekelezaji ndo huu

    Kampuni ya Jay Rutty ndo ilishinda zabuni ya kutengeneza na kuuza jezi za Simba na kuwa waliweka mezani zaidi ya billion 38, Hilinlilikuwa jambo tamu masikioni mwa wanasimba Mbali na mapesa hayo Jay Rutty aliahidi ahadi kedekede 1. Kujenga uwanja Bunju wa Mashabiki zaidi ya 10,000 Hadi Leo...
  13. Mshana Jr

    PreGE2025 Tujikumbushe: Hivi CHAUMMA kilifanikiwa kuzunguka nchi nzima kwa siku 16?

    Kamanda aliyejinasibu kufanya hivyo si mwingine bali ni Salum Mwalimu katibu mkuu wa chauuma.. Akijisifia kubomoa ngome zote za CHADEMA(hapa alijisahau kidogo) Kwa majigambo mengi kuhusu chopa.. Alisema ana connection na ana miundombinu ya kupata chopa imara na thabiti kwa hiyo kazi.. Maana...
  14. Ghayo El Yehudi

    Nguvu ya mtandaoni ya #NRNE ni ya Soda tujikumbushe vilivyotamba na kubuma bila mafanikio

    Mzuka Wana Jamvi.. Huu ni mwendelezo wa spana kwa Keyboard Warriors na wanaharakati uchwara wote Jf ndani na nje ya nchi. Naanza kuflow sasa ; naona Kuna watu wameanza kujipa matumani baada ya kuona mitandaoni sasa Insta na kwengineko kwenye comments session #NoReformNoElection inatamba sana...
  15. M

    Tujikumbushe ilivyokuwa wiki ya kwanza boarding school kidato cha kwanza

    Ilikuwa jumatatu tarehe 14/02/2000 mida ya mchana nilishuka kituo cha basi Moshi Technical Sec School nikiwa na mama yangu. Tukavuka barabara na kuingia shuleni ili kujiunga kidato cha kwanza. Nakumbuka nilikuwa nimechelewa wiki moja. Baada ya taratibu za usajili wakaitwa mwanafunzi wenzangu na...
  16. See For Me

    Tujikumbushe Ubabe na Uhuni wa Zamani Mashuleni,,Taja Watu walio Vuma na kutikisa kwa Majina, Miaka hiyo Ukiwa Skuli

    Asalaam Wakuu,, moja kwa moja Uzi tayari Tujikumbushe Ubabe na Uhuni wa Zamani Mashuleni,,Taja Watu walio Vuma na kutikisa kwa Majina, Miaka hiyo Ukiwa Skuli
  17. R

    Tujikumbushe wosia wa Nyerere kuhusu udikiteita

    JE TUMEFIKA HUKU?
  18. Pdidy

    Simba walisema medali bila kombe ni kama shanga tu, Yanga walivaa shanga sisi tunaleta kombe.. Mabati fc mpooo tujikumbushe

    BANA WEWEE USITUKANE MAMBA UJAVUKA MTU MSIKILIZEE MWAMBA ANAVYOSEMA YANGA WALIVAA SHANGA MEDALI BILA KOMBE KAMA SHANGA TUU WAO WANALETA KOMBEEE WAMEISSHIAA KUJA NA SHANGA ZILE ZILE LOH
  19. kiwatengu

    Tujikumbushe: Udaku wa JF, Miaka 10 iliyopita.

    Hili jukwaa liliwahi kuwa kama familia kabisa. Leo kwa msaada wa AI chatgpt. Nimekusanya baadhi ya matoleo yaliowahi kuwika hapa jukwaani. Moja ya waandishi wakongwe wa Udaku ni mimi mwenyewe, TANMO , uran na Mentor na Baba V. Pitia baadhi ya Nakala za udaku hapa...
  20. Binadamu Mtakatifu

    Mbunge huyu aliongea point sana (Tujikumbushe)

Back
Top Bottom