tabia ya hawa trafiki kufanya mambo ya ajabu ajabu barabarani yanadhalilisha jeshi la polisi. Hii inaendana kinyume na miiko ya kazi kabisa. Wengine mtapinga ila hii tabia imekuwa too much sasa kwa trafiki. Itapelekea hadi nidhamu kushuka.
Kwenye hii video nimeshangazwa sana na kusikitika.
Katika tukio la kustaajabisha na kushangaza hadi kuacha watu midomo wazi askari wa usalama barabarani aliekuwa kasimana mita chache kutoka mataa Ubungo kama unaelekea barabara ya Mandela (geti la kwanza la kushoto songas) askari ambae alikuwa kasimama hapo akiongea na dereva wa kirikuu...
Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na...
Wakuu hbari,
Juzi kati nilikua na safari ya kwenda mikoa ya kusini sasa kila askari akinisimamisha kama nikiwa na kosa naandikiwa risiti na kuna huu utaratibu nimeuona mpya WA KUNAKIRI KOSA PEMBENI KWENYE NOTEBOOK PAMOJA NA TAARIFA ZA DEREVA.
Sijajua huu utaratibu mpya umewekwa kwa malengo...
Kijana anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 amefariki dunia kwa kushambuliwa na wananchi baada ya kumjeruhi kwenye taya na kidevu Askari wa Usalama Barabarani kwa kumpiga na chuma cha kupondea mawe (Moko), wakati akiwa kwenye eneo lake la kazi Mtaa wa Mwembeni, barabara ya Katoro Ushirombo...
Mimi najua serikali haijawahi kulala lakini mbona kuna mambo ya msingi sana hua yanazembewa lakini hili la jamaa hawa kukaa sa kumi na moja alfajir eti kuvizia anaepita na taa nyekund, aaaah sio kweli aisee.
Basi hata faini moja hapo hawatoagi aisee ni kuzunguka mbuyu kwakwenda mbele Vingunguti...
Ndugu zangu,
Nimekuwa nikipita barabarani ukweli ni kwamba ni ngumu sana trafiki kukamata bodaboda. Mara nyingi nimeona wanaokamatwa na trafiki ni waendesha magari sio waendesha bodaboda.
Hata kwa hii faini ya elfu kumi sioni trafiki wakikusanya wala bodaboda wakilipa. Hesabu ya bodaboda kwa...
Nimesikitika kidogo hapa. Naamini wabunge watatupambania. Kama LUKU zitakuwa na Kodi ya Majengo basi ghalama za Maisha zitapanda mara dufu.
Kinyozi lazima apandishe bei, wauza vinywa vya baridi, Wachomelea vyuma n.k. Kubwa ni pale ambapo LUKU emebebeshwa zigo la Kodi ya Nyumba. Kuanzia mpangaji...
Ni bora faini ziende serikalini, sio kwa yanayotokea njia ya Goba.
Kuanzia Massana Hospital mpaka Mbezi Mwisho ni aibu juu ya aibu. Mabasi yanasimamishwa makonda wanatoa hela wanaweka kwenye makaratasi na kugaia.
Shida sio tu kutoa hela. RTO hebu hakiki hili barabarani
Ukitokea Masana Hosp...
Pichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya Morocco (Kinondoni) daladala zinazotoka maeneo ya Shoppers/Kawe/Msasani zinasimamishwa na Askari kisha kondakta anashuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti.
Mheshimiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo...
Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Peter Albert Moshi anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kuomba rushwa ya ngono kwa mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa za uchunguzi wa ajali hiyo.
Kamanda wa wa Takukuru...
Iko hivi...
Wenye magari wengi tunapopeleka magari hayo kwa waosha magari (Carwash)!
Haina maana sheria za usalama barabarani zinakoma ukiwa eneo la Carwash!
Sheria inampa mamlaka traffic kuingia hata Carwash kukamata magari yanayosogezwa na waosha magari wasio na leseni ya udereva!
Tufahamu...
Kuna vitu vinaudhi sana. Serikali ya CCM walifanya mbwembwe nyingi kusema wanafufua huduma ya treni kwenda Arusha na Tanga. Na tukumbuke walitumia fedha yetu ya kodi, sio fedha za CCM.
Sasa ni wazi kwamba yote haya walifanya kwa ajili ya kampeni waliyotaka kufanya ya maendeleo ya vitu, ili...
Mitaa hiyo wenye magari wanapata tabu sana kwa kufokewa na wapita njia. Mwenye gari akipita mitaa hiyo ajiandae kisaikolojia.
Kuanzia mtembea kwa miguu, kilema, msukuma mikokoteni, mwenye baiskeli, machinga na wazee wa mingo za parking wooote wote ni matrafiki, waelekezaji, wajuaji na...
Kwa wakazi Kigamboni kuna jambo kidogo linanipa shida barabara za Kigamboni mbona zina askari wa barabarani wengi toka feri mpaka kufika Kongowe unakutwa ushasimamishwa mara 4 daaah hii ni zaidi hata ya mikoani najiuliza huku kuna wavunja sheria wengi au.
Nitaeleza kwa kifupi Sana!
Maana nafahamu watu wengi wanapenda mijadala ya pombe na umbea kuliko kuchangia mijadala ya haki na katiba!
JE; KITAMBI NI KOSA LA ASKARI AU LA MFUMO WA KAZI?
Watu wengi huwa wanashabikia mambo bila kuangalia kanuni za kazi zikoje!?
kazi ya Utrafiki siyo nyepesi Kama...
Korona ilipoingia Rais Magufuli alichukua hatua zote stahiki kuzuia.
Katika hali ya kushangaza, Rais huyu asiyelala kwa ajili ya Taifa lake Kitengo cha Usalama BARABARANI kimelala usingizi wa pono.
Rais aliagiza magari na usafiri wa umma watu wasisimame, wakae level seat, baadhi ya daladala...
Waziri Simbachawene amemwagiza IGP kuwaondoa trafiki wote wenye vitambi na kuwapangia kazi nyingine.
Najiuliza, ipo sheria inayokataza trafiki kuwa na kitambi? Shughuli ya utrafiki Ni ngumu kuliko majukumu ya OCD, OCS na RPC?
Natamani awamulike pia hao, ila pia tofauti na utrafiki kazi...
Kituo kikubwa cha kubadilisha magari na abiria cha MAKUMBUSHO kilichopo Kijitonyama kwa sasa ni kama mtoto yatima.
Kituo hiki kilijengwa baada ya kile cha Mwenge kuvunjwa. Kituo hiki kina njia nyingi za kuingilia na kutoka na ni kizuri kwa miundombinu japo kimekuwa kero kuliko kona kwakuwa...
Jana natoka zangu nyumbani nikiwa nimefunga mkanda wangu wa gari kama kawaida kwa ajili ya usalama wangu barabarani. Nimeendesha gari mpaka eneo la buzuruga stand iliyopo Nyakato Mwanza nikamuacha mwenzangu niliyekuwa naye ndani ya gari yangu.
Nikaondoka kupitia njia ya kutoka Buzuruga Stand...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.