Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,128
Ni bora faini ziende serikalini, sio kwa yanayotokea njia ya Goba.
Kuanzia Massana Hospital mpaka Mbezi Mwisho ni aibu juu ya aibu. Mabasi yanasimamishwa makonda wanatoa hela wanaweka kwenye makaratasi na kugaia.
Shida sio tu kutoa hela. RTO hebu hakiki hili barabarani
Ukitokea Masana Hosp mpaka Mbezi unakutana na trafiki si chini ya 10+ wamekaa vituo zaidi ya saba na wote hao unakutana wanakusimamisha kosa hilo hilo.
Nafikiri wakati muafaka sasa TAKUKURU watoke maofisini wakakae wanaposimama matrafiki kama ni faini tuongeze pato letu kuliko yanayoendelea.
Hakuna anaetoa gari njian akawa salama. Mjitahidi hata mwezi June jamani muwaelishe watu waliokosea wajue makosa yao kama mama yetu alivyoshauri.
Hizi faini ama za brush mna-force mtu anaenda kupeleka chakula cha mtoto hospitali. Mtabeba laana. Mpeni elimu asirudie tena
Mungu awape kuwafungua mjali zaidi wananchi wapate elimu.
Mbarikiwe
Kuanzia Massana Hospital mpaka Mbezi Mwisho ni aibu juu ya aibu. Mabasi yanasimamishwa makonda wanatoa hela wanaweka kwenye makaratasi na kugaia.
Shida sio tu kutoa hela. RTO hebu hakiki hili barabarani
Ukitokea Masana Hosp mpaka Mbezi unakutana na trafiki si chini ya 10+ wamekaa vituo zaidi ya saba na wote hao unakutana wanakusimamisha kosa hilo hilo.
Nafikiri wakati muafaka sasa TAKUKURU watoke maofisini wakakae wanaposimama matrafiki kama ni faini tuongeze pato letu kuliko yanayoendelea.
Hakuna anaetoa gari njian akawa salama. Mjitahidi hata mwezi June jamani muwaelishe watu waliokosea wajue makosa yao kama mama yetu alivyoshauri.
Hizi faini ama za brush mna-force mtu anaenda kupeleka chakula cha mtoto hospitali. Mtabeba laana. Mpeni elimu asirudie tena
Mungu awape kuwafungua mjali zaidi wananchi wapate elimu.
Mbarikiwe