trade

  1. kali linux

    JamiiForums Tanzania Hii trade ya Doncic na AD tutegemee nini NBA League msimu huu

    Duuh hii trade kama masihara vile ila ndio hivo, Luka Doncic kaja Lakers na AD kaenda Mavs. Msimu huu patachangamka sana. RRONDO
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Eti wana-NBA, Hii trade ya Luka Doncic kwenda Lakers ni kama sijaielewa elewa hivi. Imeshangaza wengi pia.

  3. Kaka yake shetani

    JamiiForums Tanzania Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Mimi na miaka 14 kwenye soko la forex ila sio mafanikio ya haraka watu wanavofikilia.nimeona malalamiko mengi hapa JF bora kueleza ukweli. Asilimia kubwa forex ni High risk na inaweza kukuweka maskini kwa sekunde tu. Sababu kubwa kinacho changia ni watu kutokuelewa na kuwa na haraka ya...
  4. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za s lol slave trade, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok

    Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za Biashara ya utumwa, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok Hili Taifa la Marekani linanuka laana ya dhuluma waliotendewa mababu zetu kipindi cha biashara ya utumwa Taifa la Marekani limekuwa ni Taifa lisilotaka...
  5. Q

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipe ndo nikupe!!! Butter trade Bado haijaisha kumbe!!!

    Daah!! Naandika kwa masikitiko makubwa hichi kilichonikuta. Week ilopita bhana uchumi uliyumba, nikasema ngoja nimcheki Ex wangu aniwezeshe kidogo, nikaamua nimtext. Mimi..." Dear X, kwema". Ex.... " Kwema sanaa, vipi nawe". Mimi ... " Niko poah , ila nimechalala hataree , niwezeshe basi 1k...
  6. Minderthinker

    JamiiForums Tanzania East Africa slave trade

    Anaejua vitabu vinavyo zungumzia biashara ya utumwa Africa Mashariki kipindi cha ukoloni .
  7. Msanii

    JamiiForums Tanzania Kamanda Muliro please trade carefully na wananchi. Polisi waishi ndani ya Katiba, Sheria na PGO imani irudi

    Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani. Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na kuwadharau sana wananchi wanapoonewa na askari wa chini yenu. Mmejipa majukumu ya kisiasa kinyume na...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Digital Transformation Advisor to East African Community

    Employment Opportunity Position: Digital Transformation Advisor to East African Community (EAC) Duty Station: Arusha, Tanzania Job Band: 4 Contract: Fixed Term About GIZ The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH is a federally owned enterprise supporting the German...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Digital Trade Advisor to East African Community

    Employment Opportunity Position: Digital Trade Advisor to East African Community (EAC) Duty Station: Arusha, Tanzania Job Band: 4 Contract: Fixed Term About GIZ The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH is a federally owned enterprise supporting the German...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Trade Developer at EA Foods October 2024

    Job type: Full-time Client Activation Identify and activate new clients within the assigned territory. Ensure proper onboarding and registration of clients. Customer Complaints Handling Address and resolve customer complaints in a timely and professional manner. Collaborate with the...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Elite Bookshop Sabasaba International Trade Fair

    ELITE BOOKSHOP SABASABA INTERNATIONAL TRADE FAIR Siwezi kupita duka la vitabu bila kuingia ndani. Achilia mbali kuwa Elite ndiyo wachapaji wa kitabu changu cha watoto, "The School Trip to Zanzibar," kitabu kinachotumika kusomesha Kiingereza na wakati huo huo mwanafunzi anajifundisha historia...
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo Sabasaba International Trade Fair Banda la UDSM

    MAZUNGUMZO SABASABA INTERNATIONAL TRADE FAIR BANDA LA UDSM 1 Nimetembelea Banda la Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam nimekuta nje wameweka vitabu vingi vya historia. Nimeanza kutazama kitabu kimoja baada ya kingine. Sikuona kitabu cha Abdul Sykes. Nimemuuliza niliyemkuta pale kulikoni...
  13. A

    JamiiForums Tanzania SoC04 Balance of trade and solving unemployment

    PREMISE For all countries in the world, balance of trade is a very important aspect that can make or break the country and its economy. Balance of trade is the difference between all imports and the exports that country makes, it encapsulates all movement of goods, services, capital or funds and...
  14. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania SoC04 Modernizing Tanzania's Maritime Infrastructure: A Vision for Efficient Trade and Sustainable Growth (10-Year Plan)

    I. A Nation Held Back: Bottlenecks & Lost Opportunities. Imagine a cashew farmer in Mtwara, their harvest ready for export, anxiously watching profits dwindle due to port delays – a reality shared by countless Tanzanians due to outdated maritime infrastructure. Inefficient ports, with vessel...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Tanzania’s unmatched geopolitical status factor to become regional hub in trade and commerce

    Tanzania’s unmatched geopolitical status potential to become regional hub of trade, commerce President Samia Suluhu Hassan has been applauded for her initiatives of opening up the country to the outside world in terms of economic and political issues, among others. Speaking in an exclusive...
  16. N

    JamiiForums Tanzania unajua katika forex Kuna trick za kucontrol emotion katika trading

    Leo nimeona nisaidie baadhi ya trader wenzangu ambazo tunastrugle katika level tofauti tofauti...ambao wanastrugle kutime market na kukaa mda mrefu kwenye screen kwa kuogopa kumiss trade. Kuwa professional trader wanatric ya resistance clearing na kucalcurate time Ili kuwa accurate 70% na...
  17. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Geopolitics 101: Case Study Israel v Houthis

    War and International Trade. Hivi ndio mizigo inasafirishwa kutoka Asia kwenda Israel. Impact: Bei za Bidhaa kupaa>Mfumko wa bei>>Uasi wa waIsrael dhidi ya Netanyahu. 📷 Sprinter.
  18. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Magufuli's Investments in Tanzania Ports Boosting Trade and Economic Growth

    John Magufuli, the late president of Tanzania, made significant investments in the country's ports during his time in office. He saw ports as a key driver of economic growth and development, and he was determined to make Tanzania a regional trade and transport hub. These investments have led to...
  19. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Nini tofauti ya trade deals zinazofanywa na nchi za kiafrika ukilinganisha na zile zinazofanywa na nchi zilizoendelea

    Huwa sielewi. Rish Sunak asili yake ni India, nchi yake ya UK imekuwa kwenye negotiation ya trade deal na India kwa miezi mpaka wanafika sehemu wanaweka pause then wanaendelea na sometime prime minister anafanya visit na anarudi patupu. Marekani ili push UK ijiondoe EU kwamba trade deal itakuwa...
  20. Samedi Amba

    JamiiForums Tanzania Usalama wa Kununua Vitu Mtandaoni (Online Trade Assurance) Tanzania

    Habari wanajamvi, Natumaini wote tunaendelea vizuri. Moja kwa moja kwenye mada... Nimekuwa mdau wa kununua vitu mtandaoni kwa muda mrefu. Imenilazimu sana kumtuma mtu endapo nafanya biashara na "mgeni" nisiyemfahamu. Kwa mfano, mwaka jana nilinunua laptop kwa mdau mmoja Mwenge, DSM. Ilinibidi...
Back
Top Bottom