Toka serikali ya awamu ya 5 imengia watumishi wa umma zaidi ya laki 5 hawakuwahi kupandishiwa mishahara wala madaraja lakini kuna kundi la watumishi wachache sana nchi hii wameneemeka na serikali ya awamu ya 5, watumishi hao ni wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania.
Serikali ya...
Huu ni upumbavu mwingine mwingine wa maafisa wa TRA anakukadiria kodi akiwa ofisini bila kutembelea biashara yako, makadirio yanakuwa makubwa, ukilalamika anakwambia andika barua ya kuomba kupunguziwa kodi. Baada ya hapo anakwambia kodi haipungizwi kwa kuandika barua tu, mpaka tufike tuone...
Tangu jana TRA Arusha,wanasambaza massages kwa wafanyabiashara wote wa Jiji hili la Arusha.
Mwisho wa mwezi September 2020 wafanyabiashara wanatakiwa kulipa SDL,VAT & kodi ya mapato awamu ya 3 na kodi za wafanyakazi vinginevyo adhabu kali ikiwemo riba zitatozwa.
Biashara ktk mji huu...
Ukimsikiliza Tundu Lissu anavyowasema TRA kubambikizia wafanyabiashara kodi zisizolipika. Halafu TRA hao hao mikoa yote wanapita na magari ya matangazo wakitoa mkwara mzito wa kuanza kwa faini baada ya Septemba 30 bila shaka utajua wako kazini kwa kuongeza kuni kwenye chuki iliyotengenezwa na...
Mtu mmoja amefikishwa mbele ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu akikabiliwa na makosa manne ikiwemo ya uhujumu uchumi kwa kuisababishia hasara mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ya shilingi milioni 48.
Geoffrey Kilimba, amesomewa mashitaka hayo mbele ya hakimu mkazi mfawidhi Godfrey Kusaya na...
KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania)
KRA: Kenya Revenue Authority
TRA: Tanzania Revenue Authority
Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020)
KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh)
TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh)
Sababu ni hizi hapa.
Matumizi duni ya teknologia (ICT)...
Wana Jf
Serilikali kupitia ajent zake za kitaifa kwa pamoja wanaungana kuikosesha mapata serikali na kuleta mtafaruku mkubwa kati ya mafundi simu na wateja wao.
TBS, TCRA na TRA zilivyoshindwa Nazi zao kila moja nitaelezea makosa yao
TBS wameshindwa kuajiri vijana wenye weledi kutambua vitu...
Natumaini mko salama.
Leo tena natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni yangu kuhusu mamlaka za kiserikali hasa zinazolaumiwa zaidi. Kwa muda mrefu Mamlaka hasa TCRA na TRA zimekuwa zikitupiwa lawama wanapofanya kazi zao kwa mujibu wa sheria. Binafsi naona hawastahili kulaumiwa endapo hakuna...
Moto mkubwa umewaka nyuma ya TRA Mwenge na kuteketeza kabisa vifaa na mali mbambali ziloOkuwemo kwenye vibanda vya biashara.
Kitu kilichonisikitisha ni simu za zimamoto kutokupokelewa haraka kama inavyotakiwa. Hata walipopatikana walichelewa kufika eneo la tukio mpaka wananchi wakaamua kujitosa...
Salaam!
Kwa ufahamu wangu kuhusu TRA kama una malimbikizo ya kodi, wanakuja na barua ya wito kisha unakwenda ofisini kwao kwa ufafanuzi.
Sasa hili la wafanyakazi wa TRA kwa kushirikiana na Polisi na TISS kuvamia viwanda, magala au ofisi za wafanya biashara usiku wa manane tena siku sio ya kazi...
Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.
Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.
TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni...
MAMLAKA YA MAPATO- TRA, NASEMA NANYI
Na, Robert Heriel
Kumekuwa na malalamiko yanayoelekezwa Mamlaka ya Mapato - TRA. Malalamiko ya wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo dhidi ya TRA yamekuwa kama sehemu ya wimbo katika taifa hili. Hii imepelekea baadhi ya wanasiasa kujipatia ujiko kwa...
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dr. Edwin Mhede ndiye pia Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB.
TRA ndiye mkusanya kodi na mapato wa nchi hii wakati NMB ni mmoja wa walipakodi. Bodi ya Wakurugenzi ndiyo itoayo maamuzi makubwa ya kikampuni ikiwemo kuteua, kukopa...
TRA ni chombo cha ukusanyaji kodi ambacho pia kinapaswa kufanya kazi vizuri na wafanyabiashara ili kuwapa ari ya kuendeleza uchumi wetu. Cha kushangaza ni kwamba wafanyabiashara sasa wanaiona TRA kama chombo cha ukandamizaji.
Kwa kuwa serikali ya sasa imefeli kuisimamia TRA kuimarisha mazingira...
Mheshimiwa Tundu Lissu alivyokuwa Mbeya aliituhumu TRA kwa kufanya unyang'ani wa kutumia silaha, aliueleza umma kuwa kuna wafanyabiashara walishikiwa bastola ili wawape hela kutoka kwenye account zao. Siamini haya yanaweza fanyika katika uongozi wa Dr Mhede huku ni kumchafua. TRA sio chama cha...
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Baada ya kuona jitihada kubwa za Serikali kusimamia mapato na kukusanya kodi ikiwa ni pamoja na kutambua mchango wa wafanyakazi kutoka Sekta Binafsi na zile za umma, sasa ni muda muafaka awamu hii pia ijaribu kufikiria kama itafaa kufanya hivi:
Makampuni...
Mimi sio mwanasiasa wala sina chama nimempenda sana Magufuli kwa kiasi chake. Katika kasoro kubwa katika utawala huu ni mamlaka ya kukusanya kodi yani TRA.
Kwanza unakadiriwa kodi au kupandishiwa muda wanaotaka wao,kama una biff na afisa utakayemkuta ndio atakuangamiza kabisa.
Kuna watu...
Leo in siku ya tatu tukiwa tumegubikwa na sintomfahamu juu ya kifo hiki.
Marehemu alikuwa bukheri wa afya na alionekana Mara mwisho saa tatu na nusu alipoamua kwenda kulala alipita dukani akanunua mahitaji, asubuhi tunaambiwa Shaba Ndoja hatuko naye, ujasiri wa mke wake kumbeba yeye na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.