Wakuu naomba kuuliza, ikiwa mtu tayari unayo TIN ili kupata kile cheti cha TIN mpaka uende physcally TRA? Kama ndiyo mbona TRA wanajipa usumbufu wa bure.kwa nini wasiweke utaratibu kwamba mtu mwenye namba ya mlipa kodi anaweza pata cheti chake kwenye mtandao.
Kama upo huo utaratibu wa kupata cheti cha TIN kwa njia ya mtandao naomba kujuzwa tafadhali.
NB: Ni cheti cha TIN siyo namba ya TIN
Kama upo huo utaratibu wa kupata cheti cha TIN kwa njia ya mtandao naomba kujuzwa tafadhali.
NB: Ni cheti cha TIN siyo namba ya TIN