Napendekeza leseni za biashara zitolewe na TRA badala ya manispaa, pia SDL ilitolewe TRA badala ya manispaa

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,052
40,715
Hii itapunguza sana urasimu wa kuzungusha watu kutoka ofisi moja kwenda ofisi nyingine kufuatilia vibali vya aina mbali mbali ambavyo vingeweza kutolewa na taasisi moja tu kwa urahisi sana. Mfano , kuna haja gani ya kwenda kuchukua leseni manispaa badala ya TRA ambao ndio wanatoa Tax clearance? Kuna haja gani ya kulipa SDL manispaa wakati TRA ndio wanadata za EFD zinazotumika kukadiria SDL?
Manispaa waache kufanya kazi ya TRA badala yake wawekeze nguvu na akili zao kuboresha manispaa zao, wapewe fungu hazina kuendesha shughuli zao, basi, au la, TRA iwakusanyie na iwe inawaingizia kwenye account yao on a monthly basis, kwisha kazi.
 
Hii itapunguza sana urasimu wa kuzungusha watu kutoka ofisi moja kwenda ofisi nyingine kufuatilia vibali vya aina mbali mbali ambavyo vingeweza kutolewa na taasisi moja tu kwa urahisi sana. Mfano , kuna haja gani ya kwenda kuchukua leseni manispaa badala ya TRA ambao ndio wanatoa Tax clearance? Kuna haja gani ya kulipa SDL manispaa wakati TRA ndio wanadata za EFD zinazotumika kukadiria SDL?
Manispaa waache kufanya kazi ya TRA badala yake wawekeze nguvu na akili zao kuboresha manispaa zao, wapewe fungu hazina kuendesha shughuli zao, basi.
Nachojua SDL inalipwa TRA
 
Hii itapunguza sana urasimu wa kuzungusha watu kutoka ofisi moja kwenda ofisi nyingine kufuatilia vibali vya aina mbali mbali ambavyo vingeweza kutolewa na taasisi moja tu kwa urahisi sana. Mfano , kuna haja gani ya kwenda kuchukua leseni manispaa badala ya TRA ambao ndio wanatoa Tax clearance? Kuna haja gani ya kulipa SDL manispaa wakati TRA ndio wanadata za EFD zinazotumika kukadiria SDL?
Manispaa waache kufanya kazi ya TRA badala yake wawekeze nguvu na akili zao kuboresha manispaa zao, wapewe fungu hazina kuendesha shughuli zao, basi, au la, TRA iwakusanyie na iwe inawaingizia kwenye account yao on a monthly basis, kwisha kazi.
SDL na EFD wapi na wapi?SDL ni 4% ya gross salary na inalipwa na employer, EFD ni kwa ajili ya VAT tuu

Manispaa inalipwa City Service Levy
 
SDL na EFD wapi na wapi?SDL ni 4% ya gross salary na inalipwa na employer, EFD ni kwa ajili ya VAT tuu

Manispaa inalipwa City Service Levy
City service development levy kifupi chake ni (SDL), sasa sijui unazungumzia nini? Pia EFD nyingi tu hasipo connected na VAT, sasa sijui unazungumzia nini?
 
Back
Top Bottom