Kwa kufikia lengo la asilimia 101 la tr. 2.08 ninaamini kuwa kuna uwezekano wa kufikia lengo la tr. 3.5 iwapo tu mambo yafuatayo yatazingatiwa:
1. Rais alikwisha sema kwa TRA kupanua wigo wa kodi nchini ili kila mwananchi achangie kutokana na Idadi kubwa ya watu ukilinganisha na nchi nyingine kusini mwa jangwa la sahara.Yapo maeneo mengi ambayo hayajarasmishwa kwenye sekta binafsi kulipia kodi.
2. Bado utaratibu wa kutoa na kudai risti za malipo haujazingatiwa vizuri kwenye mfumo wa kodi na wafanya biashara na wananchi. Kuna leakages nyingi za kimapato.
3. TRA waongeze elimu ya mlipa kodi, ushawishi hamasa na kuondoa mianya ya rushwa na kubambika kodi zenye kuchochea rushwa.
4. Sheria ya kodi iangaliwe upya kwa dhumuni ya kuondoa vikwazo, kodi inayotegemea faini zenye mwelekeo wa kufilisi biashara na kuzuia uwekezaji.
4. Majadiliano rafiki na uwazi wa kanuni za ukadiriaji mapato kuongeza ulipaji wa hiari.
5. Wafanya biashara mara kwa mara kutembelewa kwa ajili ya kuona hali halisi ya changamoto ya biashara zao na kushauri.
6. Kuna haja ya kuwafanyia vetting makampuni ya washauri wa kodi kuona ufanisi wa kazi zao. Kuna malalamiko baadhi ya makampuni hayawaelekezi vizuri nini cha kufanya wafanya biashara kuhusu changamoto za biashara na suluhisho kwa mujibu wa sheria ili kuleta uzingatiwaji.
Kwa maoni haya kweli kuna uewzekano wa kufikis tr.3.5 kwa mwezi. Kilichofikiwa bado ni kidog iwapo Uwajibikaji utakuwepo kwa pande zote mbili walipa kodi na watoza kodi kwa kuzingatia maadili ya kiutumishi.
HERI YA MWAKA MPYA. TUNASHUKURU KWA KUMPATIA RAIS ZAWADI HIYO KWA KUANZIA. ONGEZENI UBUNIFU ILI MWISHO WA SIKU TUJENGE TAIFA LETU.
1. Rais alikwisha sema kwa TRA kupanua wigo wa kodi nchini ili kila mwananchi achangie kutokana na Idadi kubwa ya watu ukilinganisha na nchi nyingine kusini mwa jangwa la sahara.Yapo maeneo mengi ambayo hayajarasmishwa kwenye sekta binafsi kulipia kodi.
2. Bado utaratibu wa kutoa na kudai risti za malipo haujazingatiwa vizuri kwenye mfumo wa kodi na wafanya biashara na wananchi. Kuna leakages nyingi za kimapato.
3. TRA waongeze elimu ya mlipa kodi, ushawishi hamasa na kuondoa mianya ya rushwa na kubambika kodi zenye kuchochea rushwa.
4. Sheria ya kodi iangaliwe upya kwa dhumuni ya kuondoa vikwazo, kodi inayotegemea faini zenye mwelekeo wa kufilisi biashara na kuzuia uwekezaji.
4. Majadiliano rafiki na uwazi wa kanuni za ukadiriaji mapato kuongeza ulipaji wa hiari.
5. Wafanya biashara mara kwa mara kutembelewa kwa ajili ya kuona hali halisi ya changamoto ya biashara zao na kushauri.
6. Kuna haja ya kuwafanyia vetting makampuni ya washauri wa kodi kuona ufanisi wa kazi zao. Kuna malalamiko baadhi ya makampuni hayawaelekezi vizuri nini cha kufanya wafanya biashara kuhusu changamoto za biashara na suluhisho kwa mujibu wa sheria ili kuleta uzingatiwaji.
Kwa maoni haya kweli kuna uewzekano wa kufikis tr.3.5 kwa mwezi. Kilichofikiwa bado ni kidog iwapo Uwajibikaji utakuwepo kwa pande zote mbili walipa kodi na watoza kodi kwa kuzingatia maadili ya kiutumishi.
HERI YA MWAKA MPYA. TUNASHUKURU KWA KUMPATIA RAIS ZAWADI HIYO KWA KUANZIA. ONGEZENI UBUNIFU ILI MWISHO WA SIKU TUJENGE TAIFA LETU.