Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,326
Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.
Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”
Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.
Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”
Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba