Heri ya sikukuu ya Muungano,
Nimewaza namna ya kila mwananchi kulipa kodi bila shurti.
Yani ni hivi.Ondoa cash mitaani then kila mwananchi alipie bidhaa kwa mitandao ya simu ( M pesa,halopesa,Tigo pesa,aitel money, ttcl pesa,nk) na mitandao ya bank ( simbaking).
I tell this is the only...
Mimi ni mjasiliamali mdogo mdogo,nayajua maumivu tunayo yapitia sisi wajasilia mali wadogo.Natambua uwepo wa wafanya biashara weye mitaji mikubwa ambao wamejigeuza kuwa machinga kwa lengo la kukwepa ulipaji kodi.
Hata hivyo wapo wengi ambo ni machinga halisi,pia wapo pia ambao hapo awali...
Natoa tu ushauri kwa kiti cha Spika kwamba siyo vema wala haki kuruhusu wabunge kuchochea chuki na fitna kwa jamii tena kwa watu ambao hawako bungeni.
Nilivyomsikia Mbowe ni kwamba biashara zake zimefungwa na TRA baada ya kushindwa kulipa kodi ya tsh 2 bilioni ambayo anaipinga.
Mbowe aliongea...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Leo napenda kuwaletea hili swali, Je mmeshindwa kabisa kurekebisha mfumo wa mashine zenu za EFD??? Hili tatizo la mashine zenu kutokufanya kazi kwa mtandao kutokuwepo hamjui kuwa mnaikosesha nchi mapato makubwa sana???
Hivi kwa Jinsi...
Salaam,
Nimenunua gari Zanzibar, Nimeambiwa ushuru wake ni milion 28 kuileta Dar.
Kuna mtu mwingine kanambia naweza kupata punguzo kama nitaongea na TRA na kuandika barua.
Swali langu ni je hilo jambo ni kweli lipo na linawezekana?
Kwa wale watu wenye utaalamu na mambo ya TRA au ambao...
Yeereeeeeh!
Chris Lukosi Mfanyabiashara Mtanzania maarufu Uingereza ametoa ushauri mzuri kwa TRA na kusikitika jinsi wanavyokosa mapato mengi kupitia bandarini.
Anasema alitoka bandarini huko Uingereza akahesabu magari 250 kwenye meli yaliyokuwa yanaletwa bandari ya Dar na Mombasa.
Kati ya...
Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.
Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti...
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa...
Siyo siri TRA imekuwa ikitumika kuwakomoa wafanyabiashara wengi.
Sasa mmeanikwa.
Ukiwa mfanya biashara halafu mpinzani kama Mbowe, basi vijimemo "toka juu" ndiyo vinashughulikiwa kwa "weledi wa ukusanyaji kodi".
Katika suala hili la Mbowe, TRA wali cease hadi account binafsi.
Ni kwa sheria...
Huyu huyu CAG Kichere alikuwa Commisioner General TRA. Haya madudu tunayoyaona vile vile anahusika nayo.
Ubambikaji kodi
Kunyang'anya fedha za wafanya biashara benki.
Kufungia biashara.
Hawezi leo kuwa benchmark ya ukweli.
(NB alikuwa mhasibu TANROADS)
Maoni tu,
Kuna Basata mpaka leo hawana music streaming app ambayo watu wanaweza upload content na kuuza na wao kupata kodi. Eg one record ikiuzwa for 100 Tsh which is reasonable, kwa watu 1m ni 100m in revenues. Kuna wasanii zaidi ya mia TZ.
Bado na taasisi nyengine, tuchangie kwa wote colabo...
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.
Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.
Freeman Mbowe kuwa jela...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwashangaza na kuwapa matumiani Watanzania kwa namna alivyoanza utendaji wake wa kazi, taratibu na kwa uhakika anathibitisha kwamba kauli yake kwamba nchi iko kwenye mikono salama na hakuna kitakachoharibika.
Uteuzi wa Dk...
Upande mmoja anatakiwa atumie akili na hekima kukusanya kukusanya kodi kwa maelekezo ya Rais.
Upande wa pili ni lengo la trilioni 2 kwa mwezi kwa maelekezo ya Makamu wa Rais.
My take:
Siku zote mfanyabiashara lengo lake ni kutengeneza faida kubwa hapa naongelea "Big potatoes" au...
In The Wealth of Nations (1776), Adam Smith argued that taxation should follow the four principles of:-
fairness-that taxation should be compatible with taxpayers' conditions, including their ability to pay in line with personal and family needs;
certainty-meaning that taxpayers should be...
Maendeleo yoyote husukumwa na ubunifu! (Creativity)
Ili mwanasayansi agundue lazima asukumwe kufanya ubunifu!
Ili mfanya biashara atambulishe fursa lazime atangulize ubunifu!
Ubunifu ni Imani ya kutarajia suruhisho!
Endapo watu wakiongozwa kwa vitisho na sheria mbovu Imani hiyo ya ubunifu...
Alphayo Kidata, Rais Samia Suluhu amekurudishia heshima yako iliyoondolewa kwa sababu ambazo hazikuelezwa, tunafahamu kwamba ulitukanwa sana hadi ukavuliwa ubalozi, yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Nakuomba sana mkuu, tafadhali sana Mzee wangu fanya kazi yako kwa haki huku ukizingatia...
Makamu wa Rais Dr Mpango amesema TRA wanapaswa kuwalinda wafanyabiashara na kuhakikisha biashara zao zinagrow badala ya kuwababaisha na kuwavuruga.
Dr Mpango ameahidi kufuatilia kwa karibu ustawi wa wafanyabiashara.
Kadhalika makamu wa Rais Dr Mpango amewapa wanaparokia wenzake salamu za Pasaka...
Nashauri kupelekwe mswada bungeni kuhusu hii sintofahamu ili wafanyabiashara wawe na imani na serikali yao.
NGOJA NITOE SCENARIO:
TRA imefanya uchunguzi wa mahesabu yangu na kugundua nililipa kodi pungufu miaka minne iliyopita, wananitoza faini na riba na kunipa notice ya mwezi mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.