TRA hamuyaoni haya kwenye uuzaji wa magari binafsi na tiketi za mabasi?

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,577
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
HAWA JAMAA HAWAKO INNOVATIVE,, WATAKUJA SPEED NA IDEAS ZA OVYO
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
Kabla hujaanza kulaumu ni vizuri kwanza ukapata elimu ya swala husika. Vyombo vya usafiri kama hivyo kuna sheria yake ya ulipaji kodi. Meli, ndege na mabasi kuna sheria yake labda iwe tu haifuatwi lakini kuna sheria yake ya ulipaji wa kodi zinapokanyaga ardhi ya Tanzania.
 
Kabla hujaanza kulaumu ni vizuri kwanza ukapata elimu ya swala husika. Vyombo vya usafiri kama hivyo kuna sheria yake ya ulipaji kodi. Meli, ndege na mabasi kuna sheria yake labda iwe tu haifuatwi lakini kuna sheria yake ya ulipaji wa kodi zinapokanyaga ardhi ya Tanzania.
Hebu ilete hiyo sheria
Achana na namna wanavyolipa latra gharama zao za leseni na mengine nasema namna wa kupata VAT ambayo ni lazima kwenye tiketi
 
Unaongea Kama meneja wa wilaya wa TRA aliyepewa umeneja kwa upendeleo .
Kama Sheria unaijua tuelimishe ili tusiendelee kulaumu.
Sheria ipo mkuu tena nzuri tu inaongelea vyombo vya usafiri kama mabasi ya ndani, mabasi ya nje yanayoingia Tanzania, meli zinazoingia Tanzania, ndege zinazoingia Tanzania. Itafute utaipata.
 
Mkuu kama unasema VAT, Ujue unawatwisha mzigo wasafiri.

Kumbuka VAT inalipwa na mlaji wa mwisho.

Kuhusu kuuziana gari kuna ile 1%. Na ukumbuke gari limeshalipiwa ushuru wakati linaingia nchini.

Ndiyo maana kama utanunua gari lilikuwa limesamehewa kodi, ukibadili umiliki unalipa ile kodi.
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
Duuh fikiria upya kuhusu laki5 gari ikiwa imeuzwa bei gani, elfu30 tu 10-30 iwe kama stamp duty.
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
Acha roho mbaya we jamaa! Tungekuwa tunajiweza tungeagiza Beforward mikweche yetu ya million 5 mkononi bado unataka tulipishwe laki 5 zaidi? Upumbavu mkubwa sana unataka kuleta huu
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
Acha kuandika upumbavu, nani alikwambia kuna VAT kwenye huduma za kusafirisha abiria?
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.

Hivi wabunge na mawaziri wanalipa kodi stahiki?

Huu mzigo wa kodi mbona una macho na uelekeo mmoja tu?
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
Roho mbaya tu, ww gari lishalipiwa ushuru milion chungu nzima, unataka mtu akiuza pia lilipiwe tena. Hio TRA ipate mara ngapi.

Hilo la mabasi sawa. Lakini suala la magari Huna hoja. Yote ni kwa sababu humiliki gari
 
Kuna vyanzo vingi vya mapato ambvyo mnajifanya hamvioni

1. Tiketi za mabasi kule hamna basi hata moja linalotoa tiketi ya EFD kwa wastani Tz watu 100k wanasafiri hapo ukizidisha kwa VAT kwa kila nauli na kwa siku 30 nadhani mtaona bei gani inapotea.

2. Uuzaji wa magari binafsi
Kila siku watu wanaziana magari bila tra kupata kitu zaidi ya ile pesa ya kubadil kadi ya gari ambayo n ndogo sana wangeweka utaratibu mzuri hapo kuwa atleast kubadil jina la mtu wa gari iwe kwenye laki 5 ili kufidia na VAT ya mauziano.
Roho mbaya tu, ww gari lishalipiwa ushuru milion chungu nzima, unataka mtu akiuza pia lilipiwe tena. Hio TRA ipate mara ngapi.

Hilo la mabasi sawa. Lakini suala la magari Huna hoja. Yote ni kwa sababu humiliki gari
 
Back
Top Bottom