JF ni maktaba ya Taifa, ni vizuri tukawajuwa maadui wa Taifa letu waliopo TLS walioshiriki kukata jina la Mwabukusi kugombea Urais wa TLS kabla Mwabukusi kutumia mahakama kupata haki yake ili watambulike kama ni Enemy of State.
Watajwe hapa kamati nzima kwa majina ili waone aibu yao na...
Habari Mwana Michezo.
Mpira kama tujuavyo ni Mchezo wenye Matukio mbalimbali ambayo huacha kumbukumbu katika Akili zetu.
Kwa kulitambua hilo Leo hii nimeonelea nianzishe huu Uzi, hapa utakutana na kila aina ya Picha uipendayo na itakayo kukumbusha Tukio/Matukio ya kimchezo ambayo uliwahi...
Karibu katika speacial thread ya Copa America 2024 inayoendelea kule USA,
Tutakua tunaendelea kupeana updates hapa kwa yanayoendelea
Mpaka sasa ni Team tatu pekee zimeonyesha kiwango cha juu sana katika mashindano haya
Argentina
Uruguay
Colombia
Brazil ameanza haya mashindano vibaya kwa...
Mada imejieleza wakuu.
Mke shemji enu na WiFi wifu. Ana mtoto mwezi sasa ushauri wa madaktari naomba asizae tuseme asibebe mimba miaka minimum 2yrs itatakiwa.
Kwa sasa anaonekana amesha pata ujauzito. Tulitumia p2 ikawa bado mwezi unayoyoma haoni period.
Nilitumia p2. Je, atumie tena p2...
Uzi huu unaangazia kile kinachoendelea kuhusu mgogoro ulioibuka sasa wa NATO na Russia katika vita vya Ukraine.
Ikumbukwe kuwa katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg, alitaka silaha za misaada kwa Ukraine sasa zianze kutumika kushambulia moja kwa moja ndani ya mipaka ya Russia hasa miltary...
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.
2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi...
ali hassan mwinyi
dkt. mwinyi
hussein ally mwinyi
hussein mwinyi
mwili
mwinyi
raisi
samia
samia hassan suluhu
special
special thread
suluhu
tanzania
tanzania bara
thread
zanzibar
MISEMO YA WAKOSAJI🤡
Gari lenyele ni la mkopo
Manzi kampendea pesa
iPhone ni simu za showoff
Chakula cha hotel hakina afya— junky
Kila mtu atarudi kaburini mtupu
Wenye pesa hawana furaha maishani
Utajiri una siri nyingi sana
Lazima wataachana tu
Ongezea misemo ya KICHAWI
Habari wanaJamiiForums
Karibu kwenye uzi wetu mpya unaolenga kila kitu kuhusu Digital Marketing!
Katika enzi ya kisasa ya kidijitali, kuelewa wa uuzaji wa kidijitali ni muhimu kwa biashara, wajasiriamali, na mtu yeyote anayejitahidi kujenga uwepo mtandaoni. Uzi huu unalenga kuwa kitovu cha...
Habarini wakuu,
Nimeamua kuandaa uzi collective kwa ajili ya mashine mbalimbali ambazo zinatumika katika shughuli mbalimbali hapa nchini.
Nitakuwa natoa maelezo ya machine pamoja na picha (muonekano) na bei yake
Post ntazipanga katika sytematic order ambayo itawezesha mtu kupata picha ua...
Habari zenu wakuu??
Nimeona nianzishe Uzi huu ili kupeana up dates kuhusu vyakula/dawa asiri na matibabu yake
Kwani nina amini hata kabla ya hospital's kulikuwa na matibabu ya asiri lakini yame potea au wengi hatuya jui kuto kana na technologies development/mazingira tuliyo kulia
Kiukweli ni...
Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda.
Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu kwa ajili yao ili kwa pamoja tuweze kutoa mawazo jinsi ya kuwasaidia na kuwashauri. Hii itasaidia...
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema Wabunge wa Bunge la JMT wamejiongezea Mishahara kutoka TSH 13 million walizokuwa wanalipwa awali hadi TSH 18 million
Mbowe amesema mshahara huo ni mbali na Posho mbalimbali wanazolipwa kila Siku
Jumaa Mubarak 😀🔥
----
Mwenyekiti wa chama cha...
Wadau wa JF,
Naomba kupitia thread, watu mtupe elimu na watu wajifunze namna ya kuweka order, kulipia, na kusafirisha (shipping) bidhaa kutoka kwa manufacturer kwenda Dar kwa usalama zaidi.
Tafadhali tuweke ma consideration kwa mtu anayechukua pisi zaidi ya 10 kwenda juu kupitia Alibaba...
Wakuu niaje?
Karibuni tukumbushane baadhi ya scene kali kabisa kwenye Movies zetu pendwa. Leo mimi nadondonsha scene hii fupi kutoka Shaolin Soccer. Unaikumbuka?
Kwa wote tunaotambua nguvu iliyojificha kwenye namba.
Uzi huru kutupia chochote unachoamini ni mafanikio kwako, usikate tamaa jibidishe kwani huu ndo mwaka wa neema kwa wanaojituma.
Pia usiache kumshukuru Mungu kwa kila hatua unayopitia.
Wanasema mpira sio kushinda magoli tu, bali mpira ni kujua kuuchezea na kuutawala.
Huu ni uzi maalumu wa kutupia video za udambwi dambwi wa mastaa kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu.
Mimi naanza na hawa viumbe wawili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo
DONDOSHA NAWEWE CLIP YA VIDEO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.