tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu upelelezi haujakamilika, yaahirishwa hadi Mei 19,2025

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumanne Mei 06.2025 kwa ajili ya kutajwa Akizungumza mbele ya Mahakama katika kesi hiyo inayoendelea kwa njia ya mtandao Wakili wa Serikali Mwandamizi Tawabu Yahya...
  2. Beesmom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tutaonana tena 5/5/2026

    Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF. Napumzika rasmi kuingia JF mpaka tarehe,mwezi na mwaka tajwa hapo juu. Nawapenda sana na Mungu awabariki...
  3. FYATU

    JamiiForums Tanzania Hivi haiwezekani kuuwa au kupoteza kabisa baadhi ya maneno yasiendelee kuwepo tena kwenye matumizi?.

    Kumekuwa na tabia inayoendelea kukomaa kwenye jamii na haswa kwa Vijana ambapo huona ni ujanja kutumia maneno ambayo tulishakubaliana kama jamii kuwa ni matusi.Haswa matumizi ya kutaja maumbile ya jinsia ke kiasi kwamba sasa hata Watoto wamejikuta wakizoeshwa kuyasikia kama maneno ya kawaida...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Wamefanikiwa kumchafua mpaka hauziki tena! Je wana plan B? Ni ipi?

    Watoto wa mjini wana usemi wao unasema... Ukijua hivi.. Sisi tunajua vile..! Ukijifanya unazijua sana shotikati za mjini.. Utaingizwa kwenye chocho refu ambalo linaishia chooni kwa mtu ama magetoni kwa masela! Hapo uamuzi ni wako kunyoa ama kusuka, kwakuwa yote mawili hayatawezekana kwa wakati...
  5. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hawana tena mbinu zimeisha wanasubiria miujiza

    Ukiangalia matukio yanayotokea dhidi ya viongozi na wafuasi wa chadema ni wazi kabisa kama wameishiwa mbinu na wanategemea Mungu atende miujuza Ukisoma tweet za lema au heche unasikitika sana na unajiuliza hivi hawa ni viongozi kweli hivi unafikiri aman au mabadiliko yataletwa mezani serious...
  6. G Sam

    JamiiForums Tanzania Kwa namna ambavyo inaelezwa tukio la kukamatwa Mdude, ni vigumu sana kupatikana tena!

    Inaweza kuwa ni Polisi kama inavyoelezwa lakini hakuna jipya kwao kuhusu usalama wa watu wanaokamatwa siku za karibuni. Siku hizi Polisi wanakuchukua hadharani na unarudi maiti au hupatikani tena na hakuna jambo lolote linalofanyika. Hawaambiwi chochote ndiyo maana nasema kwao hakuna tena jipya...
  7. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Upuuzi ni pale unapo analyze mambo yanayofanyika kwa kutumia kipimo cha dini. Yani nyoka sio nyoka tena kwako kama amevaa gamba la dini yako. SHAME!

    Kuna washamba humu JF hata siku akija kuvamiwa na kibaka ndani kwake then kwa bahati nzuri amdhibiti na kumkamata alafu baadae ajue wanashare nae majina ya itikadi moja ataishia kumuachia huru huku akilaumu system za kikristo ndio zimemsababisha awe kibaka. Utu na haki aingaliwi tena hadi hapo...
  8. Echolima1

    JamiiForums Tanzania SHARIA LAW haizuiliki tena huko Uingereza,Watu wataanza kukatwa mikono!

    Sheria za Kiislam( SHARIA LAW ) zinatarajiwa kulazimishwa kufanya kazi huko Uingereza watu wataanza kuzuiwa kula kipindi cha mfungo wezi kukatwa mikono,wauaji kuuliwa kwa kukatwa shingo,na viboko vita tu mika kama waislamu hawa watafanikiwa kuipenyeza sheria hiyo. Uingereza wanatakiwa wawe...
  9. Kigger

    JamiiForums Tanzania Nimefanikiwa tena kuwasha tv station

    Habari wadau miaka nyumba nilileta uzi kuwasha online radio,ambapo nilifanikiwa kuwa n kituo cha online radio ambacho ni kukubwa zaidi dunia nasema ivo kwa sababu kila nchi kunakituo cha Tz Gospel Radio mfano Tzgospel kenya, Tzgospel vatican, Tzgospel china, Tzgospel Brazil nk. Na vyote...
  10. S

    JamiiForums Tanzania WaTanzania Chadema ni wajanja ,wameshajipanga tena kutuacha kwenye mataa

    MOSI, Magereza mbalimbali nchini naamini wameanza kukarabati vyumba vya kulalia wafungwa na kuboresha miundo mbinu ya kuwadhibiti wanaoweza kuhatarisha usalama wa mazingira ya wafungwa sugu na wale wachochezi wasioitakia mema nchi ,wanazuka kama uyoga unapokaribia Uchaguzi mkuu ,inasemwa wapate...
  11. Leonce jr

    JamiiForums Tanzania Nimekandwa saili tatu mfululizo bila kwenda oral hata moja kwa kweli ni huzuni sifanyi tena usaili wowote

    WAKUU HABARI. NIMEKANDWA SAILI TATU MFULULIZO KWENYE WRITTEN TU TOKA NIANZE KUFANYA USAILI AISEE. ADMINISTRATIVE OFFICER YA BUNGE CHALI. MDA & LGAs CHALI, TRA CHALI, MACHUNGU YAKE SIO KITOTO AISEE BORA NIKIMBIE TU😂😂😂🤣😂.Hapa tunashauriwa kuto kukata tamaa lakini mmh hii ni moto unakosa marks 5...
  12. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa umma na machawa msipojenga vighorofa awamu hii ya maza basi tena

    Yaani hakuna wa kumsumbua mwenzake. Mtu akipata mwanya anazichota tu. Aiseee hatari. Ndio maana sasa hivi mtu anaanzisha campaign yake yoyote anaibatiza tu kwa jina la mama anakwenda kuchukua pesa Mimi nataka nianzishe campaign ya "mama kaupiga, 2025 njia nyeupe" Ukiwapigania Watanzania...
  13. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Nini tafsiri ya police kukamata watu , kuwaumiza na kuwatupa porini?

    Kuna kitu ambacho police wamefanya leo na wengi hatuja waelewa? Kwa muda mrefu tumekuwa tukitafuta nani anateka watu na kuwatupa porini, majini na kwenye hifadhi za wanyama wakali , bila mafanikio. Police wamekuwa wakilaumiwa japo na wao wanatekeleza maagizo. Naona sasa hivi wameamua...
  14. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sasa hakuna tena kikwazo cha Lissu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni suala la muda mfupi sana

    Ni suala la muda mfupi tu hata hawa wanaomtesa Tundu Lissu kama vile Lissu ametia sumu kwenye ziwa Victoria ili watu wote wanaokunywa maji ya ziwa hilo wafe watakuwa upande wake baada ya kuona matendo makuu ya Mungu. Mungu alisema jambo 2017, 2021 lakini watu hawajasikia sauti yake . Atasema...
  15. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania C. TAWALA FC TUBADILISHE KOCHA. HALI SIYO NZURI TENA

    Niweke wazi kwanza, mimi sio timu Tawala wala Tawaliwa bali timu maendeleo. Kila kukicha tunaona makundi yanaibuka yanayosema kocha wetu anaupiga mwingi hadi unamwagika lakini bahati mbaya ni makundi ya wachezaji tu sio mashabiki. Kocha anashindwa kufanya sub-konki za kutupa alama tatu...
  16. MBOKA NA NGAI

    JamiiForums Tanzania M23 yaanzisha mapigano tena huko Walikale

    Baada ya serikali ya Doha, kuanzisha njia ya upatanishi kati ya kundi la AFC/M23 na serikali ya DRC, serikali ya Qatar na USA waliiomba M23 kurudi nyuma na kuachia eneo la Walikale, ambalo lina Mgodi mkubwa wa Serikali ya Canada. M23 ilitii agizo hilo, na baada ya kuondoa wanajeshi wake...
  17. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku hizi wadada hawaombwi tena namba, bali mvulana unaulizwa kwa nini hunaga namba yangu

    Hasa Hawa wadada wanaocheza michezo ya mtu kutoka kila siku😃😁😁
  18. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Kumbe ugonjwa wa Corona ndio ilikuwa hukumu ya Kiama. Hakuna tena kiama

    Ugonjwa wa Corona ndio kiama chenyewe,wewe uliye hai ujue uko peponi sasa
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza :KANISA linakibali kuiambia Dunia, Mateso na Video haifai Tena, watafute Njia nyingine, Kanisa linapofanya hivo haliingilii Siasa.

    Ashangaa, Kanisa likisema "Mnaupiga mwingiiiii' Serikali inakenua meno yooote Kanisa hilohilo likisema "Mnaupiga mchache" Serikali inanuna. Asema, Tusiruhusuifumo Onevu na kandamizi kuendeleza Harakati zao https://youtu.be/_H_J4RBBW0c?si=aTr4zL51ZB0IXjQJ
  20. X

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Caterpillar, Komatsu, Volvo, JCB na Hitachi umeanguka. Kwenye heavy machines Mchina kapindua tena meza

    Miaka ya karibuni imekuwa the new normal kukutana na Chinese brands kwenye game la heavy duty machines, brands kama SANY, XCMG, LiuGong, Zoomlion, Shantui, SDLG na SINOTRUK. Iwe ni bulldozers, excavators, cranes, graders, loaders, compactors, scrapers, trenchers, roller, cold planers, backhoes...
Back
Top Bottom