Nilifadhaika, nikadhani JF imefungiwa tena...

Nilifadhaika, nikadhani JF imefungiwa tena...

Could be a cyber attack sponsered by Malawi state apparatus.
Mnapeleka Moto Sana kwa wauwaji wa Malawi.
Na ile kuzomeana kule Malawi Mall huku unakutana na malelekezo ya jumuiya ya madolari.
 
Mmh Hadi kwenye operamin ya kiswaswadu ilikua imekataa mi nikajua tayari washafanya yao
 
Could be a cyber attack sponsered by Malawi state apparatus.
Mnapeleka Moto Sana kwa wauwaji wa Malawi.
Na ile kuzomeana kule Malawi Mall huku unakutana na malelekezo ya jumuiya ya madolari.
Kuzomewa tu wanajinunisha? Ndiyo waone na kutambua ni uchungu kiasi gani kwa waliofiwa na watoto,ndugu,jamaa na marafiki kwa kupigwa risasi.Wajiulize,zomeazomea inaumiza kuliko vifo vya ndugu?
 
Back
Top Bottom