tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Je, wayafahamu majukumu ya msingi ya Benki Kuu ya Tanzania

    Jukumu la Msingi na Kazi za Benki Kuu Jukumu la msingi la Benki Kuu ya Tanzania ni kuandaa na kutekeleza sera ya fedha inayolenga kudhibiti mfumuko wa bei na kujenga mfumo wa fedha ulio imara na unaofaa kwa ukuaji endelevu wa uchumi wa taifa. Kazi Zingine za Benki Kuu > Kutoa sarafu ya nchi...
  2. WHO ARE THEY ? Educated, Skilled, Experienced Corporate CEO's In Tanzania compare to our neighbors ?

    WHO ARE THEY ? Educated, Skilled, Experienced Corporate CEO's In Tanzania compare to our neighbors ? Moja ya changamoto kubwa tulionayo kwenye maendeleo ya ujasriamali hatimaye uchumi ni kukosekana kwa hawa watu muhimu (local content)kwa ngazi ya kitaifa na wawe kama role models kwa jamii...
  3. Hivi ibada za kingereza makanisa ya Tanzania hua zina umuhimu gani?

    Naomba kuuliza waumini wa baadhi ya makanisa kama sio yote, hua naona kwenye matangazo au mbao za matangazo zimewekwa ratiba za ibada ya kiswahili na ibada ya Kingereza, hii ibada ya kingereza hua ni ya nini au ina umuhimu gani? Nimeuliza hivyo kwa sababu zaidi ya 98% ya watanzania wanaongea...
  4. Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

    Bak ya Dunia inatarajia kuidhinisha mkopo wa elimu kwa Tanzania wa dola za kimarekani millioni mia tano ($500M) sawa na pesa za kitanzania Trillion 1.3 ambao ulisitishwa hapo mwezi January 2020 baada ya wanasiasa na wanaharakati kuingilia kati. Hayo yamejiri baada ya serikali ya Tanzania kwenda...
  5. Tanzania kuna natural hot springs ngapi?

    Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi? Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko...
  6. Waziri Mkuu Majaliwa, kwa hili la mkonge nikikuwaza natamani muwe 10 Tanzania tungefika mbali sana

    Kama kunaa kitu kimenifurahisha n hilii swalaa LA mkongeee Niliwahii fanyaa naooo kaziii baaadhi kwa Kwelii niwaambiee wale jamaaa walichokuwaa wanafanyaa n kukimilikisha kila mtu ama kwa majina Yaoo ama nduguzaooo sisemi mengi tusiaribu uchunguzii.... Mh PM MAJALIWA Nalitamaani watuu kumii...
  7. Assistant Secretary of State (USA) reassured of a free and fair election in Tanzania

    All is well and Tanzania is cool. Mr Kabudi who is a Foreign Minister of Tanzania has done his job of telling the truth to the International community by reassuring that our next election will be free and fair. It is our tradition as Tanzanians to honour and assure peaceful elections. This...
  8. K

    Ushauri wangu kwa Upinzani Tanzania: Epukeni kujibizana hadharani, wapuuzeni wapambe

    Mada inahusika. Katika kipindi hiki kwenu kilichojaa fitina na majungu na nia ya dhati ya kutaka kusambaratishwa na watawala, umakini unahitajika sana. Kwanza ukomavu wenu ni muhimu na mapitio yenu yawaunganishe kama kundi moja lenye common intrest Tumieni uzoefu mlioupata kwenye UKAWA 2015...
  9. Habari njema za uchumi wa Tanzania kimataifa: IMF yakubali Magufuli anapiga kazi nzuri, kumuunga mkono kwa kuimwagia mabilioni ya maendeleo mwezi Mei

    Wanabodi, Angalizo la kuzuia kukereka. Kuna members humu wanakereka na kukasirika pale serikali ya Tanzania, au rais Magufuli na serikali yake anapofanya vizuri kustahili pongezi, Hivyo tusiharibiane siku leo mwanzo wa weekend, wewe kama uko kundi hili, naomba uishie hapa ili usije kuharibu...
  10. Corona: Tanzania yaingilia kati, madaktari wake wajitolea kwenda China kuidhibiti

    Rafiki wa kweli ni wakati wa shida . ===== SERIKALI ya China imeshukuru utayari wa Serikali ya Tanzania wa kutaka kuwapeleka madaktari nchini humo, kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19). Aidha, imewatoa hofu Watanzania kuhusu changamoto za...
  11. Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

    MWEEEH! Kama uongo vile. Mbona siiamini hii ripoti. Ngoja niwashushie data ntarudi baadae. ====== Inakadiriwa kuwa Mamilionea 499 kwa kiwango cha dola wamepungua nchini Kenya kutoka mwaka jana. Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2020 shirika linalofuatilia kiwango cha utajiri binafsi wa watu...
  12. B

    Tanzania: The Soul of a New Africa - Full Documentary

    March 1, 2020 Tanzania's Vision year 2025 Massive investment in Infrastructure, Industrialization, Energy, SGR Railway network, Reforming Mining Sector and Geopolitics in East, Central and Southern Africa Tanzania is an unforgettable destination. The land of the Kilimanjaro, the Serengeti...
  13. Tathmini ya hali ya usawa kijinsia Tanzania

    Huu ni mwezi wa Wanawake duniani, basi na mimi nimeona niweke hoja za kuwasaidia kwenye kutimiza malengo yao ya usawa (Theoretically) Takwimu zinaonyesha umasikini kuwa mwingi kwa jinsia ya kike, hii ni kutokana na wao kuwa wachache kwenye shughuli za kiuchumi Sera ya elimu ya mwaka 2014...
  14. Hali ikoje kwenye kozi za Masters in Computer na Data Science katika vyuo vyetu hapa Tanzania?

    UDSM hizi kozi mbili zote zipo, sijafuatilia kwa UDOM na vyuo vingine. Hali ikoje wadau? Maana stori za mitaani zinasema kuwa waalimu wengi hawajali wanafunzi, hawana muda na wanafunzi ila mambo yao tu na wengi hawana moyo wa kumsaidia mtu amalize fresh. Hali ikoje?
  15. Rais Magufuli akutana na Viongozi wa vyama vya Siasa nchini, Maalim Seif(ACT-Wazalendo), Prof. Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi)

    Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiagana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam. My take,hizi ndo siasa safi. ===== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa...
  16. Barabara za Tanzania zinajengwaje, mbona kama udongo mtupu?

    Ukiangalia kwa makini sana hii barabara ya Morogoro - Dodoma, hasa eneo ambalo daraja limeng'olewa ni lazima upigwe na bumbuwazi! Hakuna hata mawe wala kingo za maana, ujazo wa lami uliowekwa ndio kituko kabisa , unaweza kuichimbua hata kwa jembe la mkono, Tatizo liko wapi? Hivi ndivyo nchi za...
  17. Nafasi za kazi Baylor Tanzania

    Watoa Huwanyu (HBCs) (3) Posted by: Baylor Tanzania Location: Mbeya Baylor College of Medicine Childrens Foundation – Tanzania ni shirika lisilo la Kiserikali (NGO) maalum kwa kusaidia kutoa huduma zenye ubora wa hali ya juu, huduma fahamishi za maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (HIV/AIDS) na...
  18. J

    Wabunge wa Tanzania wasusa na kutoka nje Bunge la Afrika Mashariki wakipinga kupitisha mswada wa Forodha

    Wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki wamesusia kikao na kutoka nje ya ukumbi wakipinga kupitisha muswada wa forodha. Spika wa bunge hilo aliahirisha kikao kwa akidi kutotimia. Source ITV habari!
  19. M

    Kufikia mwaka 2100 Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi zenye watu wengi duniani

    Kufikia 2100 Tanzania itakuwa kati ya nchi 10 duniani zenye watu wengi zaidi. Viongozi wetu wanatakiwa wawe wanaweka malengo ya maendeleo ya miaka 100 mbele. Pongezi kwa JPM kwa kuliona hilo na kuanzisha ujenzi wa SGR na bwawa la umeme la Rufiji.
  20. S

    Tanzania tuchukue tahadhari kubwa, Wakenya mbioni kutuletea Coronavirus Tanzania!

    Serikali ya Kenya, japo imesimamisha ndege zake za KQ kwenda China, imekuwa ikiruhusu abiria kutoka China kungia nchini humo bila kuwa na tahadhari zozote zaidi ya kuwapima joto wanapowasili uwanja wa Jomo Kenyatta au kuwadhibiti katika kile kipindi cha siku 14. Hii imezua taharuki kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…