Waitwe Thabiti Kombo kabisaaaa
baby naomba sadaka kesho kanisaniImekuwa biashara. Yaani sasa wote ni changudoa tu, ila wapo wale wa barabarani na wale ambao wanatuma sms "baby nimeishiwa, naomba hela ya kusuka/ada ya shule ya mdogo wangu/kodi ya nyumba/kutibiwa/mafuta ya gari/mchango wa harusi ya rafiki yangu/nguo ya harusi/nk, nk, nk, nk, nk, nk!
Hiyo wanaogopa, usije ukashituka na masambi yako ukaamua kuacha!🤣baby naomba sadaka kesho kanisani
hiyo me ndo napenda 😀😀😀ukininyima ntajua kama nadate kababy kashetaniHiyo wanaogopa, usije ukashituka na masambi yako ukaamua kuacha!🤣
baby naomba sadaka kesho kanisani
Alafu sasa wakitumika wanawalaumu wanaume
Na tuna Birthday mara mbili au tatu kwa mwaka, u never know who might surprise you with a car😌Baby Nina njaa, baby naomba hela ya sikukuu, baby Nina umwa naomba hela ya matibabu, ndani ya mwezi unakuta anatumwa mara 10 hivi viumbe havina aibu kwa kweli hata ile haiba ya kuwanamke wamepoteza ni wazuri hao kwenye kubuni mbinu za kuomba hela alafu wengi wao ni pisi Kali au wenye matako
Sasa hapo kwanini asitumike😬Alafu sasa wakitumika wanawalaumu wanaume
Na kinachofurahisha na kusikitisha kwa pamoja, usipompa hiyo hela anakuona masikini lakini yeye ambae hawezi kumudu mahitaji yake mwenyewe hajioni kama ana shida yoyoteImekuwa biashara. Yaani sasa wote ni changudoa tu, ila wapo wale wa barabarani na wale ambao wanatuma sms "baby nimeishiwa, naomba hela ya kusuka/ada ya shule ya mdogo wangu/kodi ya nyumba/kutibiwa/mafuta ya gari/mchango wa harusi ya rafiki yangu/nguo ya harusi/nk, nk, nk, nk, nk, nk!