Habari za asubuhi ndugu watanzania moja kwa moja niende kwenye mada najua humu wapo wadau wengi na ni matumaini yangu ujumbe huu utawafikia wahusika, hii ni mahususi kwa ajira mpya za mwaka huu, naona serikali inapata ugumu sana kulipa pesa za kujikimu sijajua shida ni nini lakini naamini ni...