takwimu

  1. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Takwimu zilizoendesha na 'Gallup Inc. 2017, zinasema asilimia 10 ya waMarekani ni mashoga (LGBT)

    Kampuni ya kukusanya takwimu ya Gallup Inc. iliendesha sensa katika majukwaa mbali mbali ikiwemo mitandao ya kijamii mwaka 2017 juu ya 'sexual orientation' ya wamarekani, na ikabaini kwamba karibu asilimia 5 ya wanawake ni LBT na asilimia 5 ya wanaume wanadabuliwa makalio, hizitakwimu zipo...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi nina Shahada ya pili ya Takwimu

    Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Takwimu: Umoja wa mataifa waeleza kuwa takribani watu 280 wafariki na wengine milioni 2.8 wameathirika kwa mafuriko Afrika Mashariki

    Umoja wa Kimataifa (UN) waeleza kuwa Karibu watu 280 wamefariki na wengine zaidi ya milioni 2.8 walioathiriwa na mvua nzito na mafuriko katika ukanda wa Afrika mashariki. Ofisi ya UN ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema nyumba, miundombinu na makazi ya watu yameharibiwa jambo...
  4. Msanii

    JamiiForums Tanzania Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Wananchi leo wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa Serikali za Mitaa ambapo zoezi hilo linaanza saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni na wale wote watakao kuwa kwenye foleni muda huo wataruhusiwa kupiga kura Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema Uchaguzi huo utafanyika katika...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Aibu: Kama data hizi za BOT ni za kweli basi Rais Magufuli na serikali yake hawana faida kwetu

    Leo kawaka kwa hasira huku akitupa vijembe vyake na kuonekana kama mtu anayejali soko la wakulima lijiendeshe lenyewe weka demands and supply contrary kwa yale aliyoyafanya kwenye korosho, mbaazi, zabibu na anayoendelea kuyafanya kwenye pamba na kahawa Kumbe report ya BOT Inamuumbua, mahindi...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutoa Anaitwa Roma, Roma na mkewe wanapata ujumbe wa vitisho mfululizo

    Inadaiwa Msanii Roma Mkatoliki na mke wake wanapokea meseji za vitisho baada ya Roma kuchia wimbo wake unaokwenda kwa jina la 'Anaitwa Roma'
  7. faru rajabu

    JamiiForums Tanzania Takwimu za UEFA vs Takwimu za watanzania

    Wao watajua wenyewe na VAR yao,sisi watanzania tunachojua Samatta ana magoli mawili katika champions league,WASITULETEE JANJA JANJA hapa, lile la jana ni goli 🥴 🥴 🥴
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini takwimu rasmi kuhusu uchumi kwa mwaka 2018 bado hazijatoka mpaka leo hii?

    Habari za jioni wanajamvi. Moja kwa moja kwenye mada. Nimefanya kazi moja leo kupitia tovuti rasmi za National Bureau of Statistics (NBS - http://www.nbs.go.tz), Office of Chief Government Statistician, Zanzibar (https://www.ocgs.go.tz/), Bank of Tanzania (BoT - https://www.bot.go.tz/) na...
Back
Top Bottom