Baada ya kutoa Anaitwa Roma, Roma na mkewe wanapata ujumbe wa vitisho mfululizo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Inadaiwa Msanii Roma Mkatoliki na mke wake wanapokea meseji za vitisho baada ya Roma kuchia wimbo wake unaokwenda kwa jina la 'Anaitwa Roma'



1574042601839.jpeg
 
Huyu Roma Kuna kitu anakitafuta na heri aache kwa usalama wa familia yake ataiangamiza familia! Moja Kati ya kitu mtesi wako akikushindwa anaamia kwa unaowapenda!! halafu kuna watu wanamsifia huku mitandaoni ila wenyewe wanakula maisha fresh tu hawatekwi wala nini hehehe! okay kila mtu afanye analoliweza.
 
naona Roma anafuata nyayo za Robert Kyagulanyi a.k.a Bob Wine wa Uganda

Bob Wine ameshatekwa pia Roma nae keshatekwa
 
Huyu Roma Kuna kitu anakitafuta na heri aache kwa usalama wa familia yake ataiangamiza familia! Moja Kati ya kitu mtesi wako akikushindwa anaamia kwa unaowapenda!! Hlf kuna mijitu anamsifia huku mitandaoni ila yenyewe inakula maisha fresh tu hawatekwi wala nini hehe he okay kila mtu afanye analoliweza
Sote tungekuwa na akili hizi uhuru tungeupata miaka hii ya 2000.
 
kuhatarisha maisha kwa ajili ya kondoo ambao wanasikiliza harakati kama motivational words ni upuuzi. Roma ameenda extra miles ila kwa hiki kizazi chetu cha baba lao na online warriors sioni tukifika popote
Uko sahihi shekhe
 
Mpaka sahizi umemsaidiaje Roma katika harakati zake na huo msaada umeonekana kivipi?
Msaada utaonekana tu bado muda kawaida ya mwanadamu hata wewe kuna mambo unavumilia weeeeee lakini kama amabavyo mioyo ya wanadamu sio mashine ikifika muda umechoka hata watu wasipokwambia utashangaa automatically unafanya kitu cha ajabu pengine hata kuishangaza dunia, mwanadamu unaweza munea lakini hakuna kitu hatari sana kama binadamu hatari sana.
 
Msaada utaonekana tu bado muda kawaida ya mwanadamu hata wewe kuna mambo unavumilia weeeeee lakini kama amabavyo mioyo ya wanadamu sio mashine ikifika muda umechoka hata watu wasipokwambia utashangaa automatically unafanya kitu cha ajabu pengine hata kuishangaza dunia, mwanadamu unaweza munea lakini hakuna kitu hatari sana kama binadamu hatari sana.
He he!
 
Uwoga wako = Umasikini wako
Huyu Roma Kuna kitu anakitafuta na heri aache kwa usalama wa familia yake ataiangamiza familia! Moja Kati ya kitu mtesi wako akikushindwa anaamia kwa unaowapenda!! halafu kuna watu wanamsifia huku mitandaoni ila wenyewe wanakula maisha fresh tu hawatekwi wala nini hehehe! okay kila mtu afanye analoliweza.
 
Back
Top Bottom