Kila mmoja wenu anatoa upuuzi huu, hii ni Theadi ya ngapi vile
Ume screen shot kwa 5% charge , 😂😂😂 mchuzi wa supu ya pweza ni sawa na power bank ukiwa Dar.
Mkuu mbona unatapatapa sana?Wanaomtisha na hao hao kina Jeffrey Smith marafiki wa lissu
Kamsifia Meko kwa kujenga fly over.Sijauskia Uo Wimbo kwani Kaongelea nin Humo?
Sote tungekuwa na akili hizi uhuru tungeupata miaka hii ya 2000.Huyu Roma Kuna kitu anakitafuta na heri aache kwa usalama wa familia yake ataiangamiza familia! Moja Kati ya kitu mtesi wako akikushindwa anaamia kwa unaowapenda!! Hlf kuna mijitu anamsifia huku mitandaoni ila yenyewe inakula maisha fresh tu hawatekwi wala nini hehe he okay kila mtu afanye analoliweza
Mpaka sahizi umemsaidiaje Roma katika harakati zake na huo msaada umeonekana kivipi?Sote tungekuwa na akili hizi uhuru tungeupata miakahii ya 2000.
Uko sahihi shekhekuhatarisha maisha kwa ajili ya kondoo ambao wanasikiliza harakati kama motivational words ni upuuzi. Roma ameenda extra miles ila kwa hiki kizazi chetu cha baba lao na online warriors sioni tukifika popote
Msaada utaonekana tu bado muda kawaida ya mwanadamu hata wewe kuna mambo unavumilia weeeeee lakini kama amabavyo mioyo ya wanadamu sio mashine ikifika muda umechoka hata watu wasipokwambia utashangaa automatically unafanya kitu cha ajabu pengine hata kuishangaza dunia, mwanadamu unaweza munea lakini hakuna kitu hatari sana kama binadamu hatari sana.Mpaka sahizi umemsaidiaje Roma katika harakati zake na huo msaada umeonekana kivipi?
He he!Msaada utaonekana tu bado muda kawaida ya mwanadamu hata wewe kuna mambo unavumilia weeeeee lakini kama amabavyo mioyo ya wanadamu sio mashine ikifika muda umechoka hata watu wasipokwambia utashangaa automatically unafanya kitu cha ajabu pengine hata kuishangaza dunia, mwanadamu unaweza munea lakini hakuna kitu hatari sana kama binadamu hatari sana.
Huyu Roma Kuna kitu anakitafuta na heri aache kwa usalama wa familia yake ataiangamiza familia! Moja Kati ya kitu mtesi wako akikushindwa anaamia kwa unaowapenda!! halafu kuna watu wanamsifia huku mitandaoni ila wenyewe wanakula maisha fresh tu hawatekwi wala nini hehehe! okay kila mtu afanye analoliweza.