Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuunda baraza jipya.
Mbatia amesema, hatua hiyo itamsaidia Rais Samia kuunda Serikali yake.
=====
JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuunda baraza jipya.
Mbatia amesema, hatua hiyo itamsaidia Rais Samia kuunda Serikali yake.
Ni baada ya Samia aliyekuwa Makamu wa Rais, kuapishwa tarehe 19 Machi 2021, kuwa Rais, kuchukua nafasi ya Dk. John Pombe Magufuli, kufariki dunia.
Dk. Magufuli, alifariki dunia tarehe 17 Machi 2021 na mwili wake kuzikwa Ijumaa ya 26 Machi 2021.
MwanaHALISI TV, limefanya mahojiano na Mbatia kuhusu mabadiliko hayo ya uongozi na jinsi anavyomfahamu Rais Samia na matarajio yake.
Kufahamu zaidi, fuatilia mahojiano yake.
NB:
TLS walisema Rais anatakiwa kuvunja Baraza la Mawaziri
Waziri wa Katiba na Sheria akasema Rais halazimiki kuvunja Baraza hilo.
Je, Mwanasheria Mkuu wa Serikali anasemaje kuhusu hili?
Source:
Mbatia amesema, hatua hiyo itamsaidia Rais Samia kuunda Serikali yake.
=====
JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuunda baraza jipya.
Mbatia amesema, hatua hiyo itamsaidia Rais Samia kuunda Serikali yake.
Ni baada ya Samia aliyekuwa Makamu wa Rais, kuapishwa tarehe 19 Machi 2021, kuwa Rais, kuchukua nafasi ya Dk. John Pombe Magufuli, kufariki dunia.
Dk. Magufuli, alifariki dunia tarehe 17 Machi 2021 na mwili wake kuzikwa Ijumaa ya 26 Machi 2021.
MwanaHALISI TV, limefanya mahojiano na Mbatia kuhusu mabadiliko hayo ya uongozi na jinsi anavyomfahamu Rais Samia na matarajio yake.
Kufahamu zaidi, fuatilia mahojiano yake.
NB:
TLS walisema Rais anatakiwa kuvunja Baraza la Mawaziri
Waziri wa Katiba na Sheria akasema Rais halazimiki kuvunja Baraza hilo.
Je, Mwanasheria Mkuu wa Serikali anasemaje kuhusu hili?
Mbatia: Ashauri Majaliwa ajiuzulu uwaziri mkuu
mwanahalisionline.com