Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Huyu mtu unajiuliza anakosekanaje Bungeni? Anakosekanaje kwenye uongozi wa nchi hii? Kweli huyu niwakwenda kuishi ukimbizini? Kutuambia ukweli ndo kigezo chakutisha atoroke nchi? Na tunaamini kweli kwamba alikuwa adui wa Taifa Leo au alikuwa adui wa watu wasiowaadilifu?
Taifa letu tutazidi kukwama Hadi pale tutakapoanza kuwakumbatia wazalendo na watu wenye uelewa mpana Kama Lema. Leo kelele za Kodi alizompigia Makamu wa Rais Bungeni ndo tunazinduka kuzifanyia kazi, kwanini Mzee Mpango ukumsikiliza kipindi kile kabla Taifa alijapata hasara?.
Lema uishi maisha marefu uione Tanzania ya Ndoto yako. Kukosekana kwako Bungeni tunaona pengo, praising team haina hoja kinzani.
Taifa letu tutazidi kukwama Hadi pale tutakapoanza kuwakumbatia wazalendo na watu wenye uelewa mpana Kama Lema. Leo kelele za Kodi alizompigia Makamu wa Rais Bungeni ndo tunazinduka kuzifanyia kazi, kwanini Mzee Mpango ukumsikiliza kipindi kile kabla Taifa alijapata hasara?.
Lema uishi maisha marefu uione Tanzania ya Ndoto yako. Kukosekana kwako Bungeni tunaona pengo, praising team haina hoja kinzani.