Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,477
- 10,339
Kuna kesi inaendelea pale mahakama kuu masijala ndogo ya Kigoma kuhusu ushindi wa Clayton Chipando a.k.a Baba Levo kuhusu ubunge wake.
Kuna tuhuma kuwa ushindi wa Baba Levo ulikuwa na hujuma kwa wapinzani wake wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025.
Endapo atakutwa na hatia, Baba Levo anaweza kupoteza ubunge wake. Na hapo ndipo jina la Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo jina lake linapoibuka.
Ngoja tuendelee kufatilia…
Kuna tuhuma kuwa ushindi wa Baba Levo ulikuwa na hujuma kwa wapinzani wake wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025.
Endapo atakutwa na hatia, Baba Levo anaweza kupoteza ubunge wake. Na hapo ndipo jina la Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo jina lake linapoibuka.
Ngoja tuendelee kufatilia…