south africa

  1. Crocodiletooth

    Vijana wa Kitanzania na maisha ya mashaka South Africa

    Maisha wanayoishi huko ni mabaya kweli kweli.
  2. MK254

    Majirani huwa mnakwama wapi kwenye masuala ya teknolojia, hamskiki kwenye start up zozote

    Hapa Afrika, mataifa manne tu ndio mambo yao yanaongoza kwenye ulingo huu. ======= Kenya ranks among Africa’ four biggest destinations for tech start-up funding after Nigeria, Egypt and South Africa. The African Tech Startups Funding Report (2021) shows that last year in the African tech...
  3. C

    Wachambuzi wa Moroco na Afrka Kusini hawajakaangia sumu teams zao?

    Yaliyotokea yanasikitisha sana, Walibya wamenyimwa penalty ila afadhali kidogo ukilinganisha na vituko vya Berkane , nasubiri kwa hamu manguli ya soka kwenye nchi hizo waanze kuzishukia teams zao kwa hasira zote maana simba hapa kuna team ilipewa escort ya pikipiki moja ikalalamika wachambuzi...
  4. M

    5 things you didn't know about the WHITES ONLY TOWN in South Africa.

    People in the town of Orania, which is in South Africa, are mostly white. This makes it the most white town in the country. While there isn't a law against Black people taking part, there are a few rules. Black South Africans are often afraid to enter because they think the Afrikaners will...
  5. N

    CEO Barbra kakiwasha South Africa Rise FM, Show ya Robert Marawa apangua fitina zote

    Alikuwa live kwenye show kubwa ya redio ya michezo iliyo hosted na yule mtangazaji maarufu Robert Marawa aliyekuwa mtangazaji wa supersport na mchumba wa zamani wa bOONGE MOJA LA DEMU liitwalo Pearl Thusi Back to the point, ni kwamba CEO kamchachana sana yule kocha katoa ushahidi wa kila aina...
  6. GENTAMYCINE

    Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC utaandaa Uongo wa kutuambia kwanini Bernard Morrison hatoenda South Africa tarehe 24 April, 2022

    Na GENTAMYCINE najua ili 'Kutuzuga' zaidi na Wawahadae Majuha (Mazuzu) wengi huyu Mchezaji ataambiwa ama ajifanye Kaumia Mechi yetu ya Kwanza na Orlando Pirates FC tarehe 17 April, 2022 au acheze Faulo apate Kadi Nyekundu ili sababu ya Yeye kutoenda Afrika Kusini katika Mechi ya marudiano na...
  7. Meja Jenerali Isamuhyo

    Leo tuikumbuke World Cup ya 2010 pale South Africa

    Ilikuwa ni michuano ya kwanza kabisa kufanyika Afrika. Lakini ni michuano iliyoacha historia kubwa sana kwa wapenzi wapenda kandanda ulimwenguni kote. Mpira ulipigwa kwelikweli, nakumbuka ule mpira wa michuano uliotengenezwa na kampuni ya Adidas ukijulikana kama Jabulani. Mavuvuzela pia...
  8. MK254

    Kenya will be the third country after South Africa and Egypt to have a facility that can fully assemble certified ships

    An aerial shot of MV Uhuru II being constructed at the Kenya Shipyards Limited in Kisumu. FILE PHOTO | NMG In August this year, the MV Uhuru 2 will set sail for the first time. This will be a major milestone in Kenya’s marine industry as it will be the first ship to have been assembled locally...
  9. Artifact Collector

    Apartheid ingetakiwa iendelee South Africa

    Kwenye maisha moja ya Somo nililojifunza usitumie nguvu kubwa sana kumsaidia mtu, msaidie mtu kiasi alafu endelea na maisha yako Kwanin nasema hivyo mfano Kuna mtu na kaka yake tulimsaidia alikua na shida kinoma kwao akawa anakuja kwetu akawa anaishi kama mwanafamilia tulihakikisha hatumtengi...
  10. M

    Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

    Mzuka wanajamvi! Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana. Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa yote kuvuta ni ya bara letu. Amekuwa kupitia ardhi ya bara letu. Iweje leo...
  11. MK254

    Kenya becomes the second African country after South Africa to own salvage boat

    Kenya becomes the second African country after South Africa to own salvage boats after the Kenya Ports Authority (KPA) acquired a $16.65 million multipurpose salvage tugboat and three ship-to-shore gantry cranes at $28.9 million. The salvage tugboat bought from Turkey and three ship-to-shore...
  12. Mario Kempes

    Je naweza kutumia king'amuzi cha Dstv cha South Africa hapa Tanzania?

    Naombeni wenye kujua mje mnijuze na je malipo ntalipaje nikiwa hapa nyumbani maana nimegundua king'amuzi cha Dstv cha South Africa ni gharama nafuu kulinganisha na hapa kwetu
  13. Aizna

    Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

    VIP
  14. and 998 others

    Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

    Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ukimpa show Kali anakuachia Dola za maana. NB...
  15. BabaMorgan

    Mapara A Jazz yawezekana wakawa cheap zaidi kulinganisha na wasanii wengine maarufu kutoka South Africa?

    Wakali wa hit Amapiano ya John vuli gate (Mapara A Jazz) kwa mtazamo wa kiutafiti yawezekana wakawa ndio kundi cheap na rahisi kupatikana compared na makundi yenye mfanano na wao kutoka bondeni kwa Madiba. Thamani ya vitu au watu upimwa kwa Sifa mbalimbali ila kubwa ni upekee na upatikanaji...
  16. The Knowledge Seeker

    Msaada: Jinsi ya kupata kibali cha Masomo(study permit) nchini Afrika Kusini

    Habarini wanajukwaa, niko hapa mbele yenu nahitaji msaada wa mtu yeyote mwenye idea ya study permit ya South Africa 🇿🇦 au hata ambaye aliyekwishwa omba na kuipata. Je ni Nini kitakufanya uipate au pia ukose visa hiyo. Huwa wanaangalia sana documents gani wakati wa ukaguzi ( submission ) wa...
  17. Kipenzi Changu

    Ushuhuda: Wauzaji wa Trekta Afrika Kusini

    Hodi huku Kumekuwa na nyuzi humu zikijadili uimara wa trekhlta zinazouzwa mitandaoni South Afrika. Uimara huo umekuwa ukitiliwa mashaka kulinganisha na bei ya trekta hizo. Ukiingia kwenye mitandao mingi utagundua bei ya trekta zilizotumika muda mfupi zikiuzwa mpaka milioni 15. Achana na stori...
  18. Sky Eclat

    Port Alfred in South Africa

    Ninge penda kujua idadi ya wabantu wanaoishi hapa
  19. MK254

    Equity set to spend Sh500bn on Kenya, South Africa businesses

    Equity Group has set aside Sh500 billion to finance Kenyan and South African firms seeking to trade or invest in Africa, in a move to expand its business beyond seven countries where it operates. The bank will offer credit to companies that want to set up manufacturing, construction, health and...
  20. AA TANCH TRADING COMPANY

    Pata Mashine za aina zote kwa bei ya viwandani kwa kuagiza kutoka China, Japan, Dubai au South Africa

    Umeshawahi kutafuta kwa mda mrefu kwa mfano mashine ya kuosha magari au mashine za kukausha dagaa. Na mashine zingine zinazohitajika sana kwa mfano mashine ya kukamua alizeti na ile ya kukamua juisi za miwa na ukakosa? Hauitaji kujisumbua kutafuta, tupigie na utuagize tukuletee hadi mlangoni...
Back
Top Bottom