njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Alikuwa live kwenye show kubwa ya redio ya michezo iliyo hosted na yule mtangazaji maarufu Robert Marawa aliyekuwa mtangazaji wa supersport na mchumba wa zamani wa bOONGE MOJA LA DEMU liitwalo Pearl Thusi
Back to the point, ni kwamba CEO kamchachana sana yule kocha katoa ushahidi wa kila aina hadi pages 14 za mawasilino kati ya simba na orlando pirates wakishukuru kwa treatment nzuri waliyoipta bongo
Natupia baadhi ya comments ujionee mwenyewe wako wa kaizer chiefs walioshangilia ,wako wa pirates waliokubalian anaye wako waliomuona anajitetea tu
Safi sana CEO na pole kwa kazi MAANA UKIMALIZA TU HAPO KUNA KANJANJA REFU LA EFM LIANACHUKUA LAPTOP na kuandika ARTICLE mbofumbofu LIKIMUHUSISHA ABDI BANDA NA KUTUMA HUKOHUKO SOUTH AFRICA NI MASTER WA STORY CONCOCTION
Back to the point, ni kwamba CEO kamchachana sana yule kocha katoa ushahidi wa kila aina hadi pages 14 za mawasilino kati ya simba na orlando pirates wakishukuru kwa treatment nzuri waliyoipta bongo
Natupia baadhi ya comments ujionee mwenyewe wako wa kaizer chiefs walioshangilia ,wako wa pirates waliokubalian anaye wako waliomuona anajitetea tu
Safi sana CEO na pole kwa kazi MAANA UKIMALIZA TU HAPO KUNA KANJANJA REFU LA EFM LIANACHUKUA LAPTOP na kuandika ARTICLE mbofumbofu LIKIMUHUSISHA ABDI BANDA NA KUTUMA HUKOHUKO SOUTH AFRICA NI MASTER WA STORY CONCOCTION