The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 2,997
- 4,166
Habarini wanajukwaa, niko hapa mbele yenu nahitaji msaada wa mtu yeyote mwenye idea ya study permit ya South Africa 🇿🇦 au hata ambaye aliyekwishwa omba na kuipata. Je ni Nini kitakufanya uipate au pia ukose visa hiyo. Huwa wanaangalia sana documents gani wakati wa ukaguzi ( submission ) wa hizo documents zako. Nataka niombe hii visa sasa sina ABCs zake
Mwenye ujanjaa au connection ya kitu chochote kuhusiana na hili jambo karibuni. Asanteni
Mwenye ujanjaa au connection ya kitu chochote kuhusiana na hili jambo karibuni. Asanteni