Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,590
- 20,899
Maisha wanayoishi huko ni mabaya kweli kweli.
Zione hapo juuSasa hizo picha zikwapi
Hii picha imenitia wasiwasi. Mbona kama huyu muuaji anamtia finga marehemu?
S. A is not a safe country vijana wanalala kwenye mapagale ipo haja kukafanyika operesheni maalum ya kuwarudisha waje kulima kilimo kinalipaNilishakataa kwenda huko kumchukua mtoto wa kaka yangu R.I.P nimemwambia shemeji yangu kama ishu ni kuja bongo ampandishe ndege tu nitamfata Airport
Maana Bro walimlamba shaba hivyo sijajua maadui zake walikuwa na ugomvi gani, maana alizaa na mwanamke wa kizulu
Umesema ukweli mtupuBora kuhamia kwa ndugu zetu wa damu wa Burundi! Ila siyo kwa hao Mabushmen wa Afrika ya Kusim
So hata kelele kupiga inakuwa ngumu?Kisu ni silaha hatari ingawa inadharaulika.
Ukichomwa kisu mfano klabu usiku na ukapoteza nguvu, ukashindwa simama ukalala pembeni kuna possibility watu wasijue kama huyu kachomwa kisu. Giza na ule mwanga wa klabu utafanya watu wahisi jamaa kalewa na haya maji ni pombe.
Haina kelele, unanyatiwa tu na inafika kwenye vital organs faster. By the time inajulikana aliyekuchoma kisu atakua katoweka.
Sasa kelele za muziki na kelele zako za kuomba msaada inawezekana watu wasisikieSo hata kelele kupiga inakuwa ngumu?
Kingelipa wasingekimbia sauziS
S. A is not a safe country vijana wanalala kwenye mapagale ipo haja kukafanyika operesheni maalum ya kuwarudisha waje kulima kilimo kinalipa