Port Alfred in South Africa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1635466480744.png

Ninge penda kujua idadi ya wabantu wanaoishi hapa
 
Ni kama knysna, george au mossel bay! Weusi kuwakuta miji hiyo ni nadra sana , unless awe pump attendant, supermarket, au anafanya illigal activities.
Ukitaka kuujua ubaguzi wa rangi katika ubora wake, pitia miji hiyo. Must admit ni miji mizuri ,safi na salama sana ndani ya south Africa
 
Ni kama knysna, george au mossel bay! Weusi kuwakuta miji hiyo ni nadra sana , unless awe pump attendant, supermarket, au anafanya illigal activities.
Ukitaka kuujua ubaguzi wa rangi katika ubora wake, pitia miji hiyo. Must admit ni miji mizuri ,safi na salama sana ndani ya south Africa
Mawazo ya Malkia Victoria walipoanza kutawala Afrika ilikua kuwaelimisha wenyeji ili waweze kufanya nao biashara. Lakini mabepari hasa wale waliotajirika katika biashara ya utumwa walisisitiza exploitation ili wapate wafaida.

Kwa mawazo ya Malkia Victoria, sehemu nyingi za Afrika zingekua na maendeleo zaidi ya yale waliyonayo sasa.
 
Maisha ya mtu mweus wa south ni ver poor ndio maana vijana huamua kupiga wageni ..kwa visingizio vya xenophobia ili wapate chochote ..

Kimsing kuna gape kubwa sana kat ya wenye mali na masikini..
 
Makaburu walijiandaa vizuri kabla ya kurudisha utawala kwa wazawa
 

Pamejengwa Vizuri Sana Sijui Walichimba

Nashauri Serikali Yetu Iende Kyerwa

Kuna Ziwa Rushwa Na Mengine Mengi Jirani Na Upoanzia Mto Kagera

Wanaweza Kujenga Kama Hiyo Ya South Africa
 
Back
Top Bottom