Mawazo ya Malkia Victoria walipoanza kutawala Afrika ilikua kuwaelimisha wenyeji ili waweze kufanya nao biashara. Lakini mabepari hasa wale waliotajirika katika biashara ya utumwa walisisitiza exploitation ili wapate wafaida.Ni kama knysna, george au mossel bay! Weusi kuwakuta miji hiyo ni nadra sana , unless awe pump attendant, supermarket, au anafanya illigal activities.
Ukitaka kuujua ubaguzi wa rangi katika ubora wake, pitia miji hiyo. Must admit ni miji mizuri ,safi na salama sana ndani ya south Africa
Pamoja yakuwa sijawahi kupafika wala siwezi kupafika ila naamini hakuna mweusi hapo.View attachment 1990270
Ninge penda kujua idadi ya wabantu wanaoishi hapa
Nimefika hapo dada skyView attachment 1990270
Ninge penda kujua idadi ya wabantu wanaoishi hapa
Wabongo wengi wanaishi Joberg na matajiri wa kibongo utawakuta Cape Town, ktk majiji mengine very rare to findView attachment 1990270
Ninge penda kujua idadi ya wabantu wanaoishi hapa
Swadakta , na wanawaza kuiba tukwA akili za mwafrika aishi hapo si anaishia kunya kwenye hayo maji pumbafu sana
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa SanakwA akili za mwafrika aishi hapo si anaishia kunya kwenye hayo maji pumbafu sana
Lete ManenoWapo wa kutosha...
DahkwA akili za mwafrika aishi hapo si anaishia kunya kwenye hayo maji pumbafu sana