sikukuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Nawatakia Heri ya Sikukuu ya Pasaka Ndugu Zangu Wakristo

    Nawatakia Heri ya Sikukuu ya Pasaka Ndugu Zangu Wakristo.
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania RPC Muliro: Wanaojitoa Ufahamu (Kujizima Data) wakati wa Sikukuu wasije Kutulaumu wakilia hizo Sikukuu Jela

    "Unalewa hovyo, unafanya Ngono Garini wakati Gesti ziko tele na una Kwako, unaendesha hovyo Gari, unafanya kila mbwembwe Mitaani au Barabarani na kufanya Upuuzi wote Siku za Sikukuu mahala pekee ambako utaila vyema hiyo Sikukuu yako ni Jela. Katika Sheria za Nchi hakuna mahala pameandikwa kuwa...
  3. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwa sisi ambao sikukuu hii tupo tu nyumbani wenyewe kama kawaida

    Mimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu. Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress. Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake. Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
  4. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Ni ulimbukeni kwenda sehemu za starehe (kula bata) siku za sikukuu

    Watanzania wengi baadhi yetu ni washamba wa starehe,hivi kwa akili yako kabisa unaweka pesa ili ukatumie siku ya sikukuu hizo ni akili za kitoto. Siku za sikukuu ni za watoto au vijana wanao ishi kwa wazazi wao kwenda kuenjoy Mana ni siku yao ya kuwa free. Ukiwa na mwanamke anawaza siku ya...
  5. ThisisDenis

    JamiiForums Tanzania Kipindi hiki cha sikukuu kimekua na ajali nyingi sana, Naomba tuwe makini barabarani.

    Naomba suala hili nilielekeze kwa wasafiri, wasafirishwa na wasimimizi wa miundombinu yoye ya usafiri, Ikiwezekana kupunguza hizi ajali dereva tax, bus, bodaboda wapimwe kiwango cha ulevi kama kitakua kimezidi kiwango basi wasiendelee na safari au kusitisha kabisa safari. Askari wamekua...
  6. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Kheri ya sikukuu ya pasaka in advance

    Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie...
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Wabongo wengi ni wajinga kiasi kwamba hata sikukuu yao hawajui namna ya kuisherekea

    Nakumbuka miaka ya 90 mwishoni kuliandikwa habari kwenye magazeti kadhaa kuwa mlima Meru unaongezwa urefu. Kulikuwa na picha za Helkopta kuwa zitabeba mchanga kupeleka juu mlimani. Picha nyingine ilimuonyesha mtu ameshika sururu eti ni mtaalamu wa kuongeza milima urefu. Iliandikwa kwa namna ya...
  8. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Leo ni sikukuu ya mashabiki wa Simba

    Wanaadhimisha kila tarehe 1 April, ila mwisho saa nne asubuhi Aliyeelewa kaelewa
  9. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO: Rais Samia atangaze rasmi tarehe 17 Machi iwe Sikukuu ya kitaifa kumuenzi Hayati Magufuli

    Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr. Magufuli. 17 march: Magufuli Day Kwenu wakereketwa...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Wachina washerehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China baada ya wimbi la maambukizi ya COVID-19 kumalizika

    Mkesha wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China ulifanyika tarehe 21 Januari mwaka huu, ambapo wanafamilia kutoka sehemu mbalimbali walikusanyika pamoja na kukaribisha Mwaka Mpya wa Sungura. Sikukuu hiyo kwa mwaka huu ilikuwa ni ya kwanza kufanyika baada ya China kutangaza mapema Januari kuwa, inapunguza...
  11. Mcanada

    JamiiForums Tanzania Kumbe Mungu alikatazaga Kusherehekea sikukuu za miandamo ya Mwezi Isaya 1:14 (NENO)

    Isaya 1:14 (NEN) Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa: moyo wangu unazichukia. Zimekuwa mzigo kwangu, nimechoka kuzivumilia. Leo nimeamka alfajiri sana niingie kwenye maombi maana nimetenda dhambi nyingi za kuchepuka hapa canada ili mke wangu akirudi anikute nikiwa...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Taa kubwa zenye rangi mbalimbali zawashwa kwenye Bustani ya Datang Furong mjini Xi’an China

    Taa kubwa zenye rangi mbalimbali zawashwa kwenye Bustani ya Datang Furong mjini Xi’an China, ili kusherehekea Sikukuu ya Spring
  13. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Inawezekana msimu huu wa sikukuu ndio 'High season' kwa makampuni na wauzaji wa Beer

    Salamu wakuu. Mambo yasiwe mengi, nipo sehemu napata kilaji huku nikicheki mechi ya Yanga na Azam live. Ee bwana meza zimechafuka beer kila pande watu wanamwagilia moyo ndipo wazo likaja inawezekana hawa jamaa msimu huu ndio huwa wana sales kubwa kuliko miezi yote. Uzi tayari.
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania Krismasi sio sikukuu ya kipagani; wapuuzeni wanaoibeza kwa kusoma mistari hii ya biblia takatifu

    Naingia kwenye mada moja kwa moja. Awali ya yote naomba ku declare interest kuwa mimi ni mkristo; sio mpagani au muumini wa dini zisizojulikana. Kuna baadhi ya waumini wa dini pamoja na wapagani wanaodai kwamba sikukuu ya krismasi ni kipagani....kwamba hakuna mistari yoyote ya biblia...
  15. Mwanangikolo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zawadi gani nmununulie leo kwenye sikukuu ya x~mas

    Kuna kabinti fresh form four nakafukuzia apa mtaan nikatafune papuchi sasa nataka nkatunuku zawadi yyte leo ili nikateke akili yake. Nmekuja kwenu wakulungwa kuomba ushauri nkachukulie zawadi gani ili npate vyeo ila zawad yenyewe isizid elfu 5. Naomba kuwasilisha wakulungwa.
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namna ya kunasa Vitoto vya kishua msimu huu wa Sikukuu

    NAMNA YA KUNASA VITOTO VYA KISHUA MSIMU HUU WA SIKUKUU Anaandika, Robert Heriel Kheri ya Christmas Wakuu! Tuachane na mambo Serious kidogo, muda wa kupoza Injini ndio huu. Wale wazee wenzangu wa pisikali zamoto tujadili kidogo hapa namna ya kuopoa vile vitoto vyakishua. Tabia Mbaya! Tabia...
  17. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania Heri Ya Sikukuu Ya Christmass Wana JF

    Niwatakie Sikukuu njema wana Jf wote, wa dini zote, kabila zote na race zote. Jesus Christ akawe faraja katika maisha ya kila mmoja wetu, kila alie na hitaji basi Mungu akatupatie tunavyohitaji, alie na njaa akapate chakula, asie na makazi akapate makazi, asie na kazi akapate kazi, anaehitaji...
  18. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Heri ya Sikukuu ya Noel wana JamiiForums nyote

    Leo ni mkesha wa Sikukuu ya Noeli kwa Wakristo wote Ulimwenguni kusherehekea kuzaliwa kwa bwana Yesu Kristu. Nami nichukue nafasi hii kuwatakieni nyote Noeli njema!
  19. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyakati za sikukuu ni wakati ambao wanaume wawe makini

    Kwenye hizi nyakati za sikuu kuu watu huwa wanachakatiwa mbususu mno,walahi ukiomba mbususu ya mke wa mtu wakati huu na ukinyimwa nenda ukaoge baharini, kwenye kipindi Kama hiki mwanamume Kama huna fungu la kutosha jiandae kisaikolojia. Kuna Mambo Kama manne hivi huwa yanashughulisha sana...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Ipo siku tutaandaa mechi siku za sikukuu ya Christmas au Idd el Fitr Uwanja wa Taifa

    TUJIULIZE MAMLAKA ZINAZOHUSIKA ZINAFAHAMU UNYETI UNAOENDA NA WATU WENYE IMANI KATIKA DINI Shirikisho la cha Mpira Tanzania TFF kuamua kuendelea na ratiba zake bila kujali imani za wachezaji wake kuadhimisha imani zao katika katika siku muhimu kiimani ni bahati mbaya au ni muelekeo wa kudumaza...
Back
Top Bottom