Krismasi sio sikukuu ya kipagani; wapuuzeni wanaoibeza kwa kusoma mistari hii ya biblia takatifu

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,802
18,225
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Awali ya yote naomba ku declare interest kuwa mimi ni mkristo; sio mpagani au muumini wa dini zisizojulikana. Kuna baadhi ya waumini wa dini pamoja na wapagani wanaodai kwamba sikukuu ya krismasi ni kipagani....kwamba hakuna mistari yoyote ya biblia inayohalalisha sherehe hii lakini mimi napinga kwa nguvu zangu zote.

Kabla ya kuwaletea vifungu vinavyosapoti krismasi kuwa ya kikristo, nitajaribu kubalance habari kuwaletea vifungu vinavyotumiwa na wapinga krismasi kama ifuatavyo:

Biblia Inasema Nini Kuhusu Krismasi?

Jibu la Biblia

Biblia haitaji tarehe ambayo Yesu alizaliwa, wala haisemi kwamba tusherehekee siku yake ya kuzaliwa. Kama vile kitabu McClintock and Strong’s Cyclopedia kinavyosema: “Mwadhimisho wa Krismasi haukuagizwa na Mungu, wala hautokani na AG [Agano Jipya].”
Kinyume cha hilo, historia ya Krismasi inafunua kwamba inatokana na sherehe za kipagani. Biblia inaonyesha kwamba tunamchukiza Mungu ikiwa tunamwabudu katika njia ambayo yeye hakubali.—Kutoka 32:5-7.

Historia ya desturi za Krismasi

  1. Kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Yesu: “Wakristo wa karne ya kwanza hawakusherehekea siku ya kuzaliwa kwa [Yesu] kwa sababu waliiona sherehe ya kuzaliwa kwa mtu yeyote kuwa desturi ya wapagani.”—The World Book Encyclopedia.
  2. Desemba 25: Hakuna uthibitisho wowote kwamba Yesu alizaliwa tarehe hiyo. Huenda viongozi wa Kanisa walichagua tarehe hiyo ili ipatane na sherehe za kipagani zilizofanywa wakati wa au karibu na majira ya baridi kali.​
  3. Kupeana zawadi, sherehe, karamu: Kitabu The Encyclopedia Americana kinasema: “Desturi nyingi za kujifurahisha zinazofuatwa wakati wa Krismasi zinatokana na Saturnalia, sherehe ya Waroma iliyofanywa katikati ya mwezi wa Desemba. Kwa mfano, karamu zenye madoido mengi, kupeana zawadi, na kuwasha mishumaa zilitokana na sherehe hii.” Kitabu Encyclopædia Britannica kinasema kwamba “hakuna kazi wala biashara iliyofanywa” wakati wa Saturnalia.​
  4. Taa za Krismasi: Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema kwamba wazungu walirembesha nyumba zao kwa “taa na mimea ya kijani-kibichi ya kila aina” ili kusherehekea majira ya baridi kali na ili kuwazuia roho waovu.​
  5. Mlimbo, mholi: Kwa kawaida mimea hiyo hutumiwa kama mapambo wakati wa Krismasi. “Wadruidi (makasisi Waselti) walisema kwamba mlimbo ulikuwa na nguvu za kimuujiza. Mholi, mmea ambao haunyauki, uliabudiwa kama ahadi ya kurudi kwa jua.”—The Encyclopedia Americana.
  6. Mti wa Krismasi: “Kuabudu miti lilikuwa jambo la kawaida kati ya wapagani wa Ulaya na waliendelea na zoea hilo baada ya kuwa Wakristo.” Kati ya mazoea yaliyobaki ya ibada hiyo ya miti ni desturi ya “kuweka mti wa Krismasi kwenye mwingilio au ndani ya nyumba wakati wa sikukuu zinazofanywa katikati ya majira ya baridi kali.”—Encyclopædia Britannica.
Sasa naomba mnisikilize vizuri watu wa Mungu. Hapa kuna mkusanyiko mkubwa wa mistari ya Biblia inayokata mzizi wa fitna kuhusu Krismasi kuwa sikukuu ya kikristo:

Maandiko ya Biblia ambayo yanatabiri kuzaliwa kwa Yesu

Zaburi 72:11
Wafalme wote wataminama mbele yake, na mataifa yote watamtumikia.

Isaya 7:15
Wakati mtoto huyu ana umri wa kutosha kuchagua chaguo na kukataa jambo lisilofaa, atakuwa akila mtindi na asali.

Isaya 9: 6
Kwa mtoto amezaliwa kwetu, mtoto amepewa sisi. Serikali itabaki kwenye mabega yake. Naye ataitwa: Mshauri Mzuri, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.

Isaya 11: 1
Kati ya shina la familia ya Daudi itakua risasi-ndiyo, Tawi jipya linazaa matunda kutoka kwenye mizizi ya zamani.

Mika 5: 2
Lakini wewe, Bethlehemu Ephratha , ni kijiji kidogo tu kati ya watu wote wa Yuda. Lakini mtawala wa Israeli atakuja kutoka kwako, ambaye asili yake ni ya zamani.

Mathayo 1:23
"Angalia! Bikira atachukua mimba! Atamzaa mwana, na watamwita Emanuel , maana yake ni 'Mungu yu pamoja nasi.' "

Luka 1:14
Utakuwa na furaha kubwa na furaha, na wengi watafurahi wakati wa kuzaliwa kwake.

Kwa mukthada huu ndugu zangu wakristo na wale wenye kumtukuza Mungu, naomba tuendelee kusherehekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo tukiwa kifua mbele bila kubabaishwa na upotoshaji wa watu wasioijua vizuri biblia.

Nawasilisha.
 
hakuna andiko hapo inayotueleza krismas ni siku yakuzaliwa kristo bali umetuonyesha kwakukiri kwnye vitabu vya historia ni sherehe ya kipagani.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Awali ya yote naomba ku declare interest kuwa mimi ni mkristo; sio mpagani au muumini wa dini zisizojulikana. Kuna baadhi ya waumini wa dini pamoja na wapagani wanaodai kwamba sikukuu ya krismasi ni kipagani....kwamba hakuna mistari yoyote ya biblia inayohalalisha sherehe hii lakini mimi napinga kwa nguvu zangu zote.

Kabla ya kuwaletea vifungu vinavyosapoti krismasi kuwa ya kikristo, nitajaribu kubalance habari kuwaletea vifungu vinavyotumiwa na wapinga krismasi kama ifuatavyo:​

Biblia Inasema Nini Kuhusu Krismasi?​

Jibu la Biblia​

Biblia haitaji tarehe ambayo Yesu alizaliwa, wala haisemi kwamba tusherehekee siku yake ya kuzaliwa. Kama vile kitabu McClintock and Strong’s Cyclopedia kinavyosema: “Mwadhimisho wa Krismasi haukuagizwa na Mungu, wala hautokani na AG [Agano Jipya].”
Kinyume cha hilo, historia ya Krismasi inafunua kwamba inatokana na sherehe za kipagani. Biblia inaonyesha kwamba tunamchukiza Mungu ikiwa tunamwabudu katika njia ambayo yeye hakubali.—Kutoka 32:5-7.​

Historia ya desturi za Krismasi​

  1. Kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Yesu: “Wakristo wa karne ya kwanza hawakusherehekea siku ya kuzaliwa kwa [Yesu] kwa sababu waliiona sherehe ya kuzaliwa kwa mtu yeyote kuwa desturi ya wapagani.”—The World Book Encyclopedia.
  2. Desemba 25: Hakuna uthibitisho wowote kwamba Yesu alizaliwa tarehe hiyo. Huenda viongozi wa Kanisa walichagua tarehe hiyo ili ipatane na sherehe za kipagani zilizofanywa wakati wa au karibu na majira ya baridi kali.​
  3. Kupeana zawadi, sherehe, karamu: Kitabu The Encyclopedia Americana kinasema: “Desturi nyingi za kujifurahisha zinazofuatwa wakati wa Krismasi zinatokana na Saturnalia, sherehe ya Waroma iliyofanywa katikati ya mwezi wa Desemba. Kwa mfano, karamu zenye madoido mengi, kupeana zawadi, na kuwasha mishumaa zilitokana na sherehe hii.” Kitabu Encyclopædia Britannica kinasema kwamba “hakuna kazi wala biashara iliyofanywa” wakati wa Saturnalia.​
  4. Taa za Krismasi: Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema kwamba wazungu walirembesha nyumba zao kwa “taa na mimea ya kijani-kibichi ya kila aina” ili kusherehekea majira ya baridi kali na ili kuwazuia roho waovu.​
  5. Mlimbo, mholi: Kwa kawaida mimea hiyo hutumiwa kama mapambo wakati wa Krismasi. “Wadruidi (makasisi Waselti) walisema kwamba mlimbo ulikuwa na nguvu za kimuujiza. Mholi, mmea ambao haunyauki, uliabudiwa kama ahadi ya kurudi kwa jua.”—The Encyclopedia Americana.
  6. Mti wa Krismasi: “Kuabudu miti lilikuwa jambo la kawaida kati ya wapagani wa Ulaya na waliendelea na zoea hilo baada ya kuwa Wakristo.” Kati ya mazoea yaliyobaki ya ibada hiyo ya miti ni desturi ya “kuweka mti wa Krismasi kwenye mwingilio au ndani ya nyumba wakati wa sikukuu zinazofanywa katikati ya majira ya baridi kali.”—Encyclopædia Britannica.
Sasa naomba mnisikilize vizuri watu wa Mungu. Hapa kuna mkusanyiko mkubwa wa mistari ya Biblia inayokata mzizi wa fitna kuhusu Krismasi kuwa sikukuu ya kikristo:​

Maandiko ya Biblia ambayo yanatabiri kuzaliwa kwa Yesu​

Zaburi 72:11
Wafalme wote wataminama mbele yake, na mataifa yote watamtumikia.

Isaya 7:15
Wakati mtoto huyu ana umri wa kutosha kuchagua chaguo na kukataa jambo lisilofaa, atakuwa akila mtindi na asali.

Isaya 9: 6
Kwa mtoto amezaliwa kwetu, mtoto amepewa sisi. Serikali itabaki kwenye mabega yake. Naye ataitwa: Mshauri Mzuri, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.

Isaya 11: 1
Kati ya shina la familia ya Daudi itakua risasi-ndiyo, Tawi jipya linazaa matunda kutoka kwenye mizizi ya zamani.

Mika 5: 2
Lakini wewe, Bethlehemu Ephratha , ni kijiji kidogo tu kati ya watu wote wa Yuda. Lakini mtawala wa Israeli atakuja kutoka kwako, ambaye asili yake ni ya zamani.

Mathayo 1:23
"Angalia! Bikira atachukua mimba! Atamzaa mwana, na watamwita Emanuel , maana yake ni 'Mungu yu pamoja nasi.' "

Luka 1:14
Utakuwa na furaha kubwa na furaha, na wengi watafurahi wakati wa kuzaliwa kwake.

Kwa mukthada huu ndugu zangu wakristo na wale wenye kumtukuza Mungu, naomba tuendelee kusherehekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo tukiwa kifua mbele bila kubabaishwa na upotoshaji wa watu wasioijua vizuri biblia.

Nawasilisha.​
Kuna maana kubwa sana kimaandiko kwa nini Roho Mtakatifu hakutaka kuweka kumbukumbu ya tarehe ya kuzaliwa masiha. Jifunze hilo uachane na mila za kidunia
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Awali ya yote naomba ku declare interest kuwa mimi ni mkristo; sio mpagani au muumini wa dini zisizojulikana. Kuna baadhi ya waumini wa dini pamoja na wapagani wanaodai kwamba sikukuu ya krismasi ni kipagani....kwamba hakuna mistari yoyote ya biblia inayohalalisha sherehe hii lakini mimi napinga kwa nguvu zangu zote.

Kabla ya kuwaletea vifungu vinavyosapoti krismasi kuwa ya kikristo, nitajaribu kubalance habari kuwaletea vifungu vinavyotumiwa na wapinga krismasi kama ifuatavyo:​

Biblia Inasema Nini Kuhusu Krismasi?​

Jibu la Biblia​

Biblia haitaji tarehe ambayo Yesu alizaliwa, wala haisemi kwamba tusherehekee siku yake ya kuzaliwa. Kama vile kitabu McClintock and Strong’s Cyclopedia kinavyosema: “Mwadhimisho wa Krismasi haukuagizwa na Mungu, wala hautokani na AG [Agano Jipya].”
Kinyume cha hilo, historia ya Krismasi inafunua kwamba inatokana na sherehe za kipagani. Biblia inaonyesha kwamba tunamchukiza Mungu ikiwa tunamwabudu katika njia ambayo yeye hakubali.—Kutoka 32:5-7.​

Historia ya desturi za Krismasi​

  1. Kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Yesu: “Wakristo wa karne ya kwanza hawakusherehekea siku ya kuzaliwa kwa [Yesu] kwa sababu waliiona sherehe ya kuzaliwa kwa mtu yeyote kuwa desturi ya wapagani.”—The World Book Encyclopedia.
  2. Desemba 25: Hakuna uthibitisho wowote kwamba Yesu alizaliwa tarehe hiyo. Huenda viongozi wa Kanisa walichagua tarehe hiyo ili ipatane na sherehe za kipagani zilizofanywa wakati wa au karibu na majira ya baridi kali.​
  3. Kupeana zawadi, sherehe, karamu: Kitabu The Encyclopedia Americana kinasema: “Desturi nyingi za kujifurahisha zinazofuatwa wakati wa Krismasi zinatokana na Saturnalia, sherehe ya Waroma iliyofanywa katikati ya mwezi wa Desemba. Kwa mfano, karamu zenye madoido mengi, kupeana zawadi, na kuwasha mishumaa zilitokana na sherehe hii.” Kitabu Encyclopædia Britannica kinasema kwamba “hakuna kazi wala biashara iliyofanywa” wakati wa Saturnalia.​
  4. Taa za Krismasi: Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema kwamba wazungu walirembesha nyumba zao kwa “taa na mimea ya kijani-kibichi ya kila aina” ili kusherehekea majira ya baridi kali na ili kuwazuia roho waovu.​
  5. Mlimbo, mholi: Kwa kawaida mimea hiyo hutumiwa kama mapambo wakati wa Krismasi. “Wadruidi (makasisi Waselti) walisema kwamba mlimbo ulikuwa na nguvu za kimuujiza. Mholi, mmea ambao haunyauki, uliabudiwa kama ahadi ya kurudi kwa jua.”—The Encyclopedia Americana.
  6. Mti wa Krismasi: “Kuabudu miti lilikuwa jambo la kawaida kati ya wapagani wa Ulaya na waliendelea na zoea hilo baada ya kuwa Wakristo.” Kati ya mazoea yaliyobaki ya ibada hiyo ya miti ni desturi ya “kuweka mti wa Krismasi kwenye mwingilio au ndani ya nyumba wakati wa sikukuu zinazofanywa katikati ya majira ya baridi kali.”—Encyclopædia Britannica.
Sasa naomba mnisikilize vizuri watu wa Mungu. Hapa kuna mkusanyiko mkubwa wa mistari ya Biblia inayokata mzizi wa fitna kuhusu Krismasi kuwa sikukuu ya kikristo:​

Maandiko ya Biblia ambayo yanatabiri kuzaliwa kwa Yesu​

Zaburi 72:11
Wafalme wote wataminama mbele yake, na mataifa yote watamtumikia.

Isaya 7:15
Wakati mtoto huyu ana umri wa kutosha kuchagua chaguo na kukataa jambo lisilofaa, atakuwa akila mtindi na asali.

Isaya 9: 6
Kwa mtoto amezaliwa kwetu, mtoto amepewa sisi. Serikali itabaki kwenye mabega yake. Naye ataitwa: Mshauri Mzuri, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.

Isaya 11: 1
Kati ya shina la familia ya Daudi itakua risasi-ndiyo, Tawi jipya linazaa matunda kutoka kwenye mizizi ya zamani.

Mika 5: 2
Lakini wewe, Bethlehemu Ephratha , ni kijiji kidogo tu kati ya watu wote wa Yuda. Lakini mtawala wa Israeli atakuja kutoka kwako, ambaye asili yake ni ya zamani.

Mathayo 1:23
"Angalia! Bikira atachukua mimba! Atamzaa mwana, na watamwita Emanuel , maana yake ni 'Mungu yu pamoja nasi.' "

Luka 1:14
Utakuwa na furaha kubwa na furaha, na wengi watafurahi wakati wa kuzaliwa kwake.

Kwa mukthada huu ndugu zangu wakristo na wale wenye kumtukuza Mungu, naomba tuendelee kusherehekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo tukiwa kifua mbele bila kubabaishwa na upotoshaji wa watu wasioijua vizuri biblia.

Nawasilisha.​
Sawa
 
Back
Top Bottom