siku

Siku (Quechua: antara, Aymara: siku, also "sicu," "sicus," "zampolla" or Spanish zampoña) is a traditional Andean panpipe. This instrument is the main instrument used in a musical genre known as sikuri. It is traditionally found all across the Andes but is more typically associated with music from the Kollasuyo, or Aymara speaking regions around Lake Titicaca. Historically because of the complicated mountain geography of the region, and due to other factors, in some regions each community would develop its own type of siku, with its own special tuning, shape and size. Additionally each community developed its own style of playing. Today the siku has been standardized to fit in with modern western forms of music and has been transported from its traditional roots.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Labda waweke ulinzi kwa miaka mitano yote na katazo la kutokutoka nje siku wakisema hali ya kawaida iendelee tutaanza maandamano

    Salam Tutajitahidi kadri iwezekanavyo leo maandamano yawepo tena maandamano ya nguvu kubwa mpaka mafedhuri waachie nchi Ikishindikana leo tutaandamana palee watakaposema raia waendelee na shughuli zao za kawaida, na sisi wananchi tutaanza maandamano kuanzia siku hiyo mpaka watukabidhi taifa...
  2. Akilindogosana

    PostGE2025 Je, wakiandaa maandamano ya siku 100, au siku 365 au siku 730 bila kikomo, hali itakuwaje?

    Kama akina GenZ wakiamua kuubadilisha mbinu ya maandamano. Wakasema maandamano sio ya siku moja bali ni siku 100 mfululizo au siku 365 mfululizo au siku 730 au siku 1095 mfululizo mpaka wapate wanachotaka, hali itakuwaje? Je, nchi itasimama kwa siku 365, siku 730, siku 1095, siku 1460 bila...
  3. T

    Wakina mama, kesho ni siku yenu ya kudai haki juu ya dhuluma na ukatili uliofanywa kwa watoto wenu

    Hii sio vita ya vijana peke yao, tarehe 29 waliopitia mateso zaidi ni nyie kina Mama ambao uhai na ndoto za watoto wenu ulikwapuliwa kwa ukatili mkubwa sana. Ukatili huu ukiongozwa na mwanamke mwenzenu D9 ni siku yenu ya kupigania damu ya watoto wenu iliyomwagika mbele ya macho yenu wakipania...
  4. M

    Umejiandaaje kwa siku ya kesho bila internet

    Nje ya agizo alilotoa Waziri Mkuu la kuka ndani, umejiandaaje kuvusha siku bila internet Hakuna jamii forums Hakuna Youtube Hakuna instagram Hakuna Facebook Hakuna whatsapp Hakuna X Hakuna Netflix Hakuna Tiktok Hakuna Chatgpt
  5. Penguinelli Cactussini

    Kwanini kuna siku ya uhuru wa Tanzania bara na hakuna siku ya Mapinduzi ya Tanzania visiwani?

    Umemsikia Mwigulu? kwanini tunasherehekea sikukuu ya uhuru wa Tanzania bara ilhali hakuna kusherehekea siku ya Mapinduzi ya Tanzania visiwani? Kwanini title ya ‘siku ya uhuru wa Tanzania bara’ ila wao hawatumii title ya siku ya Mapinduzi ya Tanzania visiwani ila wanatumia Mapinduzi ya Zanzibar?
  6. EvilSpirit

    Picha chache za kumbukumbu ya siku ile ya giza

    Majambazi yakirandaranda yaliuwa mpaka wale ndugu zetu wenye matatizo ya akili hili roli kwenye picha ya kwanza ndio lilikuwa ambulance yao ya majeruhi na marehemu. Gladhabu ya waandamanaji 1.Moja ya vituo vya ubagazaji kura kikiwa kimebaki gofu.Hii sehemu ilitumika kufanyia uwizi wa kura...
  7. stakehigh

    Siku hizi hakuna anayezungumzia Kuhusu Chadema.

    Siku hizi hakuna anayeiongelea CHADEMA?
  8. M

    Fursa ya ajira ya kazi ya kibarua kwa muda wa miezi 6 hadi mwaka mmoja malipo 12000 kwa siku

    Habari JF Kuna kazi kwa vijana wa kiume 10 wanahitajika Mahali pa kazi ni Dar es salaam Vetenari Aina ya kazi ni kusaidia mafundi wa mechanics kuna ujenzi wa kiwanda unaendelea utakaochukua muda kati ya miezi 6 hadi mwaka au zaidi kulingana na kukamilika kwa mradi, kwahiyo ni kazi ya uhakika...
  9. Kitimoto

    Serikali ya Tanzania Ya Rais Samia Suluhu Haitaki Tarehe 09.12.2025 Watanzania Kusherekea Siku ya Uhuru wa Tanganyika

    Tanzania, kama taifa moja lenye umoja, limejengwa kwa misingi ya historia ndefu na changamoto mbalimbali. Hata hivyo, miongoni mwa matukio muhimu katika historia ya taifa hili ni siku ya uhuru wa Tanganyika, ambayo ilitokea tarehe 09 Desemba 1961. Hii ni siku muhimu ambayo inawakumbusha...
  10. jamaikatz

    Unaongea na mpenzi mara ngapi kwa siku ??

    Ndugu zangu,tupeane ushauri hapa, kwa siku unatakiwa kuongea na mpenzi wako mara ngapi ???
  11. Mikopo Consultant

    PostGE2025 Resource Gap: Inawezekana kabisa kura Milioni 32 kuhesabiwa kwa siku 2, ila sidhani kama zilihesabiwa!

    Bilionea kijana wa kibongo, Benjamin Fernandez, amehoji kwamba, "Kwanini uchunguzi unachukua miezi mitatu, lakini kuhesabu kura milioni 32 inachukua siku 2 bila internet?" Japo wengi wameunga mkono huo mtizamo, ila kwangu, mimi nasema kwamba: inawezekana kabisa kuhesabu kura milioni 32 kwa...
  12. Fbn

    PostGE2025 Tulia kawa kama Ndugai, kuna siku mtashangaa kaita press

    Maisha ya kuja na kuondoka yana tesa watu usiombe, mfano mwaka jana umepata cheo, gari, pesa, kiburi na majigambo alafu mwaka huu umekuwa wa kawaida. Hapo lazima ujione umekuwa mkiwa na kutokubari kuwa umekataliwa. Huyu Tulia kwa sasa msipo mfunga kamba na kuwa na elimu ambazo sijui elimu zake...
  13. Fbn

    Watumikaji wakiona umemaliza kazi unayotaka na mwisho wa siku wakaona kuwa unataka usiwe uliyewatuma nini kinafuata?

    Moderator naomba tunza huu uzi tupo na kazi ngumu mpaka sasa idarani za kusambaza madawa ya Who are You. sasa kinacho nichekesha japo na cheka ila lazima kiwe kicheko. Uwezi kutumia watu wakulindie matendo yako na kesho ukataka kuonesha ulikuwa sio wewe na mda sasa unaonesha watu wako...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    PostGE2025 Kama kweli Serikali imedhamiria pasiwe na maandamano D9 njia bora ni kupiga marufuku ya kutoka Siku hiyo kwa masaa muhimu

    Hamjambo Wakuu. 1. Ni vizuri kama kweli inania watu wasiandamane Siku ya tarehe 9 basi ni muhimu kutangaza mapema kabisa; 2. Kwamba Tarehe 9 watu wakae ndani. Kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 6 mchana. 3. Kisha waingie ndani majumbani kuanzia saa 11 jioni wasitoke kabisa 4. Viongozi wa...
  15. Fbn

    Kama Meta inaweza kusikiliza Serikali ya Tanzania, hawa wafuasi siku wakipata mtandao wa kijamii mwengine wamekwisha

    Kufungia account za wanaosema ukweli na wanaharakati kwenye mitandao ya kijamii kupitia Meta kunaonesha kujipoteza. Mi navyo wafahamu warusi na nchi nyengine ambazo social media zao zijaweza kuwa watu wengi na hii ndio itakuwa njia yao sahihi kutembelea kitonga. Kama wanaharakati wakipata...
  16. CHAGOSI GERALD

    Kwanini Kujitolea JKT Siku Hizi Ni Hekima ya Mpumbafu

    (Gafla Mwendawazimu akanyang'anya mic) MWENDAWAZIMU: Hebu njoo hapa kijana… njoo karibu, usiogope, mimi siwezi kukugusa - tayari nimegusa ukweli, na huo ndio ugonjwa pekee unaoambukiza nilio nao. Uliniuliza “Kwa nini siku hizi kujitolea JKT ni hekima ya mpumbafu?” Sikiliza basi. Sijasema...
  17. The Palm Beach

    Wakili Peter Madeleka: Siku Mange Kimambi akimamatwa, akashitakiwa na kutiwa hatiani kwa kesi hii, basi hiyo siku ndiyo YESU atarudi rasmi duniani😀

    Huyu Peter Madeleka huyu, sijui kwanini anaongea kwa mafumbo (rhetorically) badala ya kusema kwa uwazi tu ili Hamza Johari na Nassoro Katuga waelewe kirahisi🤔🤔😀😀 Fumbo mfumbie mjinga lakini mwerevu............................(malizia) #D9 #SAMIAMUSTGO
  18. Q

    PostGE2025 Samia: Serikali tumejipanga, waje siku yoyote tunawasubiri (kuhusu Maandamano ya Disemba 9)

    Hii statement siyo nzuri kwa kipindi hiki inaweza kum cost. Kwamba waje 9 Disema au 25 Disemba au siku yeyote tumejipanga. Who are You. Ameyasema haya leo akinukuu clips za Mange Kimambi za mitandaoni.
  19. Common Folk

    Rais Samia: Vurugu zilipangwa siku ya uchaguzi kwa sababu walishajua CCM inaenda kupata ushindi mkubwa.

  20. Keynez

    Siku zote mifumo ya kijamaa ina tatizo la uwajibikaji. Tume za Uchunguzi hazisaidii kitu

    Tukubali tukatae, kisiasa na kwa upana wake hata kwenye masuala ya usalama, Tanzania bado ipo katika mfumo wa kijamaa. Ndiyo maana unasikia kelele zisizoisha za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Ni kwa sababu kimsingi, nchi ina mfumo tofauti na ule ambao watu wanaaminishwa unaendesha maisha...
Back
Top Bottom