serikali

  1. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Taasisi za Serikali ambazo ni Autonomous hazitoi nafasi za kazi..?

    Baada ya kufuatilia vizuri nimegundua kuwa taasisi za Serikali ambazo zinaweza kujiendesha zenyewe bila kutegemea bajeti za Serikali (Autonomous Institutions) Huwa hazitoagi ajira ama mpya au kuhamia. Hivi hizi Taasisi huwa zina-replace vipi watumishi wanaostaafu au changamoto zingine...
  2. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Serikali itaendelea kuthamini sauti za viongozi wa dini

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amesema serikali itaendelea kuthamini sauti za viongozi wa kiroho na kidini kama washirika muhimu katika ujenzi wa taifa lenye kuthamini haki na amani na usalama katika nchi huku akiwataka watanzania wawe wavumilivu na serikali iko tayari...
  3. Just Pray

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ya Kaunti ya Nairobi imetangaza kuanzisha sera ya likizo ya hedhi kwa wanawake. Je, waajiri wengine wanapaswa kuiga mfano huu?

    Serikali ya Kaunti ya Nairobi, kupitia Waraka wa Kamati ya Utendaji ya Kaunti (CEC) Na. 43 wa mwaka 2025, uliosainiwa Desemba 2025 na Mjumbe wa CEC anayesimamia Mitaa, Utawala na Rasilimali Watu, S.G. Mwangi, imetangaza kuanzishwa kwa sera ya siku mbili za mapumziko ya afya ya hedhi kwa mwezi...
  4. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania The great schism: hii serikali ni straight up trash na sisi vijana tushawakata chama kwenye hii mutual disregard!

    Ukweli ni kwamba tushafika point ya no return ambapo kuna total breakdown ya mawasiliano kati ya mtaa na hawa jamaa wa juu. Hii serikali is full of it, wamekaa kwenye viti vyao wakijiona ni untouchable huku mtaani vijana tukisota kinyama. It’s a mutual delegitimization process, yani kifupi we...
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pongezi Serikali kudhibiti maandamano, ila msibweteke! Panapo fuka moshi, chini kuna moto. Gen Z wetu wana hoja, wasikilizwe!

    Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili Utangulizi, Hii ni makala muendelezo wa makala ya wiki iliyopita kuhamasisha GenZii wasiandamane ile October 9 Thread 'Wito kwa Gen Z wetu: Disemba 9 tusiandamane, kuandamana bila malengo ni ukichaa. Serikali, tafadhali...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Ukweli na ushahidi ni ndio huu: Mahakama haiko huru, màhakama inaagizwa hukumu iweje na serikali.

    Proof ni hii moja tu inatosha kudhihirisha kuwa mahakama iko compromised. MASAJU WAELEZE WATANZANIA, NINI KIMESIMAMISHA KESI YA LISU ISIENDELEE?
  7. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Fedha si za serikali ni za wananchi

    "Duniani kote hakuna fedha inayoitwa ya serikali; serikali ni mratibu tu. Miundombinu yote inayojengwa ni fedha yenu [wananchi], iwe imekusanywa siku hiyo hiyo au iwe ya mkopo." - Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu akiweka jiwe la msingi ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Mkoa wa...
  8. Scott junior

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Askari afukuzwa kazi kwa kuikosoa serikali

    Askari magereza wa nchini Uganda aliyetambulika kwa jina la Lawrence Ampe amefukuzwa kazi baada ya kuikosoa serikali kupitia mtandao wa TikTok, huku mamlaka zikisema alichokifanya ni utovu mkubwa wa nidhamu na kuongeza kuwa Kanuni za kazi haziruhusu mtumishi wa umma kushiriki siasa. Lawrence...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kitu pekee kinachoonyesha serikali ipo salama ni Siri zake kutokuvuja

    Hamjambo wote! 1. Kutokuvuja kwa Siri za serikali hasa vikao vya ndani vya wakuu wa nchi ni kiashiria pekee ambacho kinaonyesha bado serikali inanguvu na haijapasuka. 2. Siku zote nasemaga adui mwenye nguvu ni yule aliyepo ndani kuliko wa nje. 3. Kadiri Siri zinavyolindwa ndivyo nguvu...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Serikali inatazama watoto wote kwa jicho la karibu

    Na Witness Masalu, WMJJWM-Dodoma Serikali yaendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba watoto wote nchini hususani wanaoishi katika mazingira magumu wanafikiwa na kupatiwa huduma stahiki. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, ni Wasanii wana jukumu la kuikosoa serikali pale inapokosea? Twende kazi

    Hamjambo wote! 1. Kumekuwa na vuguvugu mitandaoni la kuwapiga Pin Wasanii kwa sababu mbalimbali. 2. Nitaeleza sababu halisi bila kuficha kama ifuatavyo; a) Wasanii kutokemea maovu yanayohusishwa na Dola. Hii ndio sababu kuu. Ambayo wananchi wanaona Wasanii hawapo upande wao isipokuwa upande wa...
  12. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania UN waikanusha serikali, wasema waziri wa Tz kuonana nao si kwamba wanabariki mauaji yaliyofanyika.

    Umoja wa Mataifa, UN, imetoa tamko linaloweka sawa msimamo wa Umoja huo kwa yale mauaji yaliyotokea Oktoba 29. Kwanza wanasema uchaguzi ulikuwa na walakin. UN imetamka wazi kuwa mauaji yaliyotokea ni haramu kwa haki za kibinadamu. Na kwamba Tume iliyoundwa kuchunguza mauaji haina sifa ya kuwa...
  13. kadeti

    JamiiForums Tanzania Najiuliza ya kwamba, Serikali yetu ya Tanzania inashindwa nini kutengeneza Kijiji Cha vijana kama incubation center

    Najaribu kuwaza tu, unaweza kugharimu shilingi Ngapi kuanzisha...vijiji vya incubation center kwa ajili ya vijana ambao pale watajifunza mambo kadha wakadha..km vile Technolojia za kisasa...Kilimo, viwanda...mafunzo ya Vocational training km VETA, Uchimbaji wa madini, uchakataji wa Vito...
  14. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Serikali haramu ikipiga tu picha na kiongozi wa US au ulaya utaona tambo kibao halafu kesho yake wanawanakataa na kupigwa spana yani ni machizi

    Serikali haramu ikipiga tu picha na kiongozi wa US au ulaya utaona tambo kibao halafu kesho yake wanawanakataa na kupigwa spana yani ni machizi . Wanajaribu kupiga picha na watu wa ulaya na US ili kututia viini macho bahati nzuri wazungu wamesha washtukia wanawakataa na kuwapiga spana hawa...
  15. ngara23

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Uvira huko DRC wanahitaji m23 kubakia hapo Kwa kuwa wanatenda haki kuliko serikali

    Tuliwambia hawa wazalendo wa Africa waliopewa jina "waasi" sio kweli kama tunavyoaminishwa Sisi tunaona huruma kuwa waasi wameteka mitaa, kumbe wananchi wa Congo DR ndo wanafanya sherehe asubuhi na jioni Hii ni ajabu Tukumbuke mapema wiki hii wazalendo wa M23 walitwaa mji wa Uvra Kwa...
  16. Q

    JamiiForums Tanzania Serikali isiyojali matatizo ya wananchi wake, isitegemee kulipwa Uzalendo. Hiyo ni principle asili ya maisha

    Wananchi zaidi ya elfu 10 wamekufa serikali kama mzazi ilitakiwa kuwa karibu na wananchi wake angalau kuwafariji hata kinafiki tu, badala yake inawakejeri na kuwafungulia kesi za uhaini. OK, if that is the case, hatutaki kusia vilio na wala kuwalaumu wananchi kuwa sio wazalendo, pindi...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania LATRA: Serikali imeridhia ongezeko la nauli za Mwendokasi, kufikia Tsh. 1,000

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kwa sasa nauli ya mpito kwa mabasi ya mwendokasi kwa baranara ya BRT 1 Kimara, Morocco pamoja na ile ya BRT 2 inayohusisha Mbagala hadi Kivukoni itakuwa ni shilingi elfu moja baada ya mapendekezo yaliyoletwa na DART. Akizungumza baada ya...
  18. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tanzania, kila Kona kwenye miradi mingi Kuna ubadhilifu, je serikali inasajili vibaka? Wezi?

    Kuusema ukweli wa kimungu, Rais Samia anapigwa vibaya mnoooooo! Moja ya kitu alichofanikiwa kukifanya kwa ufasaha ni kuwatishia wabadhilifu hata kama walimpiga lakini walio kuwa wapigaji walipungua kwa kiasi kikubwa sana. Awamu ya nyuma ya utawala wa Samia aliyekuwa waziri mkuu alikuwa na...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini likitokea tukio ambalo serikali imefanya CCTV za jirani zinachukuliwa kwa nguvu na wewe unaunganishwa kwenye kesi

    Matukio Tanzania yanatisha sana. Sehemu ambayo iliona tukio la wavaa soski na bunduki tena ni serikali wakijua kuwa umeonesha walichokifanya basi umekwenda na maji. Kwa sasa kabla ya kwenda kuteka watu wanachunguza nyumba za majirani kama zina CCTV na wakijua na wewe unakuwa mmoja wa kesi zao.
  20. J

    JamiiForums Tanzania Kulikoni CCM na Serikali kutokutoa mkono wa pole kwa Polisi na wananchi waliofariki katika vurugu za Oktoba 29?

    Wanadai kuna Polisi waliouwawa katika vurugu za Oct 29. Kitu cha ajabu hatujaona wala kusikia serikali na CCM wakitoa mkono wa pole kwa marehemu hao. Pia kuna wananchi kibao wamefariki katika vurugu za Oct 29. Baadhi yao walikuwa mashabiki wakubwa wa Rais Samia na CCM. Mfano mzuri ni Sharifu...
Back
Top Bottom