Fatma-Zehra
Senior Member
- Oct 18, 2020
- 192
- 1,062
Shikamoo mama. Pole na majukumu. Bado ninaamini kuwa wewe una utu. Endelea kuwa na utu na siyo ulegevu. Majizi ni mengi kuliko idadi za pikipiki zilizoko mkoa wa Katavi. I love you. Naomba nikupe ushauri.
Data zinaonyesha mambo yafuatayo:
1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana nchini.
2. Maisha yamepanda sana kwa sasa. Kwa sasa wafanyabiashara wanapandisha bei ya vitu namna wanavyotaka na wanavyojisikia.
3. Biashara nyingi ambazo ni formal zinasinyaa lakini taratibu sana tena sana.
4. Jitihada za kuipunguza na kui-manage informal sector hazipo tena. Kumbuka hii informal sector yetu ina athari mbaya zaidi kwenye uchumi, hasa mapato.
5. "Covid ya 2022" imekaribia.
6. Kodi zinaushambulia uchumi wakati uzalishaji umepungua.
Tusipotafuta majawabu ya hizi hatari sita hapo juu, kuna hatari ya uchumi wetu kuanza kuanguka mwanzoni mwa October 2023 na inaweza kutuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida. Naomba nikupe tips zitakazokusaidia katika majadiliano ya kutafuta solutions. Ninaweza kuwa niko wrong pia.
1. Food security ni neno pana sana. Food security ni usalama wa taifa. Kama ningekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa let's say 2005, ningekuwa na mpango wa ku-forestate taifa kwa angalau miti bilion moja kwa miaka 16. Ningetengeneza misitu mikubwa sana ya kitaifa na maziwa makubwa (siyo ya kwangu. Namaanisha lakes) ambayo ni artificial. Ningetafuta masoko ya kudumu ya chakula nje ya nchi kwa miaka 16 kwa bei ambayo ni nafuu sana. Leo tungekuwa na "investors wa kati na wakubwa" wenye production capacity kubwa ya mazao ya kilimo. Ingawa tumechelewa, njia ya haraka ni investment ya serikali kwa wakulima wakubwa na wa kati wanaoweza kuzalisha chakula. Majeshi yetu yangeweza kufanya hii kazi kwa kuanza na vijana wa JKT na wale wanaozurura mijini bila kazi.
2. Kama usipoweka policy na sheria pamoja na mikakati madhubuti ya kupunguza gharama za maisha hasa bei za vitu, tutajuta kama taifa muda si mrefu.
3. Tuweke mfumo mpya wa kutambua transactions na ku-document supply chain kwenye uchumi wetu.
4. Pesa zetu za ndani zisitumike kwenye mbinu za covid zilizofail. Pesa za ndani ni pamoja na mikopo kutoka kwa wazungu. Usije ukafunga uchumi hata kidogo kisa covid. Taifa litasinyaa. Usalama wa nchi yetu utayumba kabisa au kuanguka.
5. Sina uhakika kama nchi yetu ina mtu anayeitwa "National Security Advisor". Kama yupo, kuna haja ya kumfukuza kazi. Ila kama hayupo, teua haraka. Yeye ata-design mpango wa muda mfupi kwa ajili ya 2022 to 2024 akilenga kutatua hizi changamoto zilizofungamana na masuala ya usalama wa nchi. Lakini atatengeneza mpango wa muda mrefu, yaani wenye phase mbili za utekelezaji wa miaka minane minane. Hata hivyo, njia pekee ya kumpata mtu wa namna hiyo, ni lazima iwe ya uwazi na isiyo na upendeleo wa aina yeyote.
Siku njema. Ngoja nipate kwanza breakfast.
Data zinaonyesha mambo yafuatayo:
1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana nchini.
2. Maisha yamepanda sana kwa sasa. Kwa sasa wafanyabiashara wanapandisha bei ya vitu namna wanavyotaka na wanavyojisikia.
3. Biashara nyingi ambazo ni formal zinasinyaa lakini taratibu sana tena sana.
4. Jitihada za kuipunguza na kui-manage informal sector hazipo tena. Kumbuka hii informal sector yetu ina athari mbaya zaidi kwenye uchumi, hasa mapato.
5. "Covid ya 2022" imekaribia.
6. Kodi zinaushambulia uchumi wakati uzalishaji umepungua.
Tusipotafuta majawabu ya hizi hatari sita hapo juu, kuna hatari ya uchumi wetu kuanza kuanguka mwanzoni mwa October 2023 na inaweza kutuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida. Naomba nikupe tips zitakazokusaidia katika majadiliano ya kutafuta solutions. Ninaweza kuwa niko wrong pia.
1. Food security ni neno pana sana. Food security ni usalama wa taifa. Kama ningekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa let's say 2005, ningekuwa na mpango wa ku-forestate taifa kwa angalau miti bilion moja kwa miaka 16. Ningetengeneza misitu mikubwa sana ya kitaifa na maziwa makubwa (siyo ya kwangu. Namaanisha lakes) ambayo ni artificial. Ningetafuta masoko ya kudumu ya chakula nje ya nchi kwa miaka 16 kwa bei ambayo ni nafuu sana. Leo tungekuwa na "investors wa kati na wakubwa" wenye production capacity kubwa ya mazao ya kilimo. Ingawa tumechelewa, njia ya haraka ni investment ya serikali kwa wakulima wakubwa na wa kati wanaoweza kuzalisha chakula. Majeshi yetu yangeweza kufanya hii kazi kwa kuanza na vijana wa JKT na wale wanaozurura mijini bila kazi.
2. Kama usipoweka policy na sheria pamoja na mikakati madhubuti ya kupunguza gharama za maisha hasa bei za vitu, tutajuta kama taifa muda si mrefu.
3. Tuweke mfumo mpya wa kutambua transactions na ku-document supply chain kwenye uchumi wetu.
4. Pesa zetu za ndani zisitumike kwenye mbinu za covid zilizofail. Pesa za ndani ni pamoja na mikopo kutoka kwa wazungu. Usije ukafunga uchumi hata kidogo kisa covid. Taifa litasinyaa. Usalama wa nchi yetu utayumba kabisa au kuanguka.
5. Sina uhakika kama nchi yetu ina mtu anayeitwa "National Security Advisor". Kama yupo, kuna haja ya kumfukuza kazi. Ila kama hayupo, teua haraka. Yeye ata-design mpango wa muda mfupi kwa ajili ya 2022 to 2024 akilenga kutatua hizi changamoto zilizofungamana na masuala ya usalama wa nchi. Lakini atatengeneza mpango wa muda mrefu, yaani wenye phase mbili za utekelezaji wa miaka minane minane. Hata hivyo, njia pekee ya kumpata mtu wa namna hiyo, ni lazima iwe ya uwazi na isiyo na upendeleo wa aina yeyote.
Siku njema. Ngoja nipate kwanza breakfast.