Entrance to the University of Nairobi (left) and a spacecraft taking off.
University of Nairobi (UoN) students are now part of a historic space mission targeting world leaders including wealthy billionaires.
Namira Salim, a Dubai-based diplomat is working towards sending a peace mission to...
Habari wadau
Kama umri kuanzia Miaka 30-55 fursa hii hapa mkwanja mrefu utatolewa, wale wazee wa kujilipua kazi kwenu.
=====
The space agency is looking for paid volunteers to spend a year living in Mars Dune Alpha, a Martian habitat based in Johnson Space Centre in Houston, Texas. The...
Eti jamani, kuna crane la tani 26 tuliambiwa ndio kikwazo cha kuanza kujaza maji kwenye Bwawa la Rufiji na limeagizwa toka nje ya nchi; Hivi mliposema nje ya nchi mlimaanisha nje ya sayari hii au ni vipi?
Miezi mingapi inahitajika kulileta hilo crane ambalo nchi nzima hii hakuna? Naomba majibu...
Tofauti Kati ya Dini Na sayansi/filosofi kuhusu Sababu ya Sisi kuwepo duniani Na Nani ametuleta mahali hapa Ni Moja:
Approach ya Dini katika kuelezea Sababu yetu kuwa hapa duniani inaanzia kwenye hitimisho (Religion approach is from the conclusion) kwamba Mungu ndio ametuleta hapa duniani ili...
Stori: Oscar Ndauka, UWAZI
DAR ES SALAAM na mitandao: Ile Sayari ya Nibiru au Planet X ambayo wanasayansi duniani wamedai inaielekea dunia kwa kasi ya ajabu na huenda ikaipiga, habari mpya ni kwamba imekaribia lakini pia tukio la kupatwa kwa jua, Septemba Mosi, mwaka huu inazidi kuwapa hofu...
China imekuwa nchi ya pili katika historia kufanikiwa kufikisha kifaa katika Sayari Nyekundu au 'Mars'
Kifaa hicho kilichopewa jina la Zhurong ambalo ni jina la Mungu wa Moto wa Kichina kimetua Jumamosi, Mei 15, 2021 Asubuhi
Zhurong itachunguza uwezekano wa kuwa na maisha karika Sayari ya...
The American space agency has successfully flown a small helicopter on Mars.
The drone, called Ingenuity, was airborne for less than a minute, but Nasa is celebrating what represents the first powered, controlled flight by an aircraft on another world.
Confirmation came via a satellite at Mars...
Jamani wandugu hilo ni swali ninaomba wenye uelewa mzuri juu ya theories za origin ya solar system na equivalent ya hizo anieleweshe kwa faida ya wengi
Habari zenu nyote,
Bila shaka wote mmesikia, mmeona juhudi za binadamu katika harakati za kutafuta sayari nyingine tofauti na dunia ambayo ina hali kama dunia yetu, chombo cha Marekani kishafika mars, swali langu kwa wajuzi wa masuala ya dini, siku ya mwisho itakuaje kama binadamu wengine...
Shirika la Marekani la Utafiti wa Anga (NASA) limesema ndege yake ya utafiti imefanikiwa kutua katika Sayari ya Mirihi (Mars) imefanikiwa kutua salama na kushusha kifaa cha utafiti kilichopewa jina Perseverance katika sayari hiyo nyekundu.
Hii ni hatua mpya katika utafiti wa anga za juu...
Inakuwaje wanajamvi?
Usiku wa kuamkia leo Sayari ya Jupiter na Saturn zitaonekana kwa macho ya kawaida.
Mlioko nyumbani bongo ama Africa kwa jumla mna bahati kwasababu anga liko wazi sky is clear. Tokeni nje sasa hivi mpige picha hata na simu mshare.
Huku Skendinevia tulipo hatuna iyo bahati...
Baada ya zaidi ya miaka 400, leo usiku sayari mbili kubwa zaidi katika mfumo wetu wa jua, sayari ya Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturn) zinatarajiwa kuonekana katika umbo moja kutoka duniani.
Tukio hili linalotokea mara moja katika muda wa uhai wa mwanadamu linafanya sayari hizo mbili...
Angalia mandhari ya kuvutia sana angani 16 na 17 Desemba, mara baada ya magharibi karibu na upeo wa magharibi: Mwezi hilali jirani kabisa na jozi la Mshtarii na Zohali.
Watch the attractive sight 16 and 17 December of the crescent Moon close to the Jupiter-Saturn pair in the western sky soon...
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia...
Kinachoifanya Dunia viumbe hai waezee kuisha ni kuwepo kwa Magnetic field na Ozone layer
Magnetic field
Jua linatoa miale ya mwanga ambayo inatumika Kama mwanga dunia na inakuja na upepo unaoitwa solar winds, magnetic field inasaidia kudeflect huu upepo unaokuja na miale ya mwanga wa jua...
Libya ya hayati Gadaffi inanuka damu. Nchi ya Mali neno 'Amani' ni msamiati adimu ambao haupatikani kwenye kitabu chochote kilicho ndani ya taifa lao. Congo DRC mvua ya vita inanyesha through out the year. Sudan kusini kumetulia kidogo kwa sasa.
Lakini kama ukisikia kesho vita vimeanza, naomba...
Dunia ndio sayari pekee katika sayari zinazozunguka jua ambayo ina sifa ya kusupport uhai wa viumbe hai nikimaanisha wanyama na mimea. Japo kuna tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanywa na mataifa yaliyoendelea juu ya sayari Mars kusupport uhai wa viumbe hai.
Mwanadamu ndio kichwa cha dunia...
Mwaka ni mzunguko wa sayari kulizunguka jua, kwa dunia huwa inatumia siku 365.25 kumaliza mzunguko wake. Mwaka ndio huleta majira, kama kipupwe, kiangazi, vuli na masika
Siku ni sayari kujizungusha katika muhimili wake, ambako kunaleta usiku na mchana
Sayari ya Zuhura ‘Venus’ inatumia muda...
Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden.
Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani.
Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili.
Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na...
Kuanzia 2022 na 2024 baada ya kufika kwetu katika sayari ya Mars, tutaanza kwa kuishi katika makazi ya namna hii huku tukiitransform Mars kuwa nzuri zaidi.
Picha ikionesha majengo yaliyojengwa kwa teknolojia ya 3D Printing.
2022 na 2024 tukifika kuanza shughuli za ujenzi na utafiti akinifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.