The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,104
Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden.

Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani.

Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili.


Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na kuwatupa katika Sayari ya Mars.


Kisha Mungu akalisogeza jua karibu na sayari ya Venus ili kuifanya Sayari hiyo isikalike ( habitable) na mwanadamu. Tukio hili la Mwenyezi Mungu kulisogeza Jua karibu na sayari ya Venus Ndio Hilo lililo andikwa Kwa lugha ya picha kwenye maandiko matakatifu kwamba " BAADA YA MUNGU KUWAFUKUZA ADAM NA HAWA KWENYE BUSTANI YA EDEN ALIMUWEKA MALAIKA MWENYE UPANGA WENYE KUWAKA MOTO KWA AJILI YA KUILINDA BUSTANI"

Genesis 3:24 " After he drove the man out, he placed on the EAST SIDE of the Garden of Eden cherubim and a FLAMING SWORD FLASHING BACK AND FOURTH to guard the way to the tree of life


Sasa Huo upanga wenye kuwaka Moto ndio hili Jua unalo lifahamu wewe.

Binadamu waliishi kwenye sayari ya Mars Hadi kizazi cha Nuhu.

Kizazi cha Nuhu Ndio kizazi cha mwisho cha binadamu walio.ishi katika.sayari ya Mars
Binadamu walio ishi katika Sayari ya Mars waliendelea kiteknolojia Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Moja Kati ya teknolojia walizo kuwa nazo ni pamoja na vyombo vya kusafiri nje ya sayari halikadhalika nje ya galaxy yetu.

Katika teknolojia hii yapo mataifa katika Sayari ya Mars ambayo yaliweza kutoka Nje ya sayari ya Mars kwenda katika Sayari nyingine na galaxies nyingine Kwa ajili ya kutafiti kama.kuna uwezekano WA kuwepo na uhai katika Sayari hizo.

Moja Kati ya sayari walizo fanikiwa kuzingundua ni pamoja na sayari hii ya dunia.

Kutokana na maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika Sayari ya Mars, mataifa makubwa katika Sayari hiyo yaliweza kutengeneza silaha za Aina mbalimbali zikiwemo silaha za nyuklia halikadhalika silaha za kibaiolojia.

Yaliibuka mataifa mawili yaliyo kuwa na nguvu zinazo karibiana.

Kati ya mataifa hayo mawili, moja lilikuwa Ndio Taifa lenye nguvu kubwa za Kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia na Taifa Hilo jingine lilikuwa ni Taifa lililo kua linaendel a Kwa Kasi ya ajabu Sana kijeshi, Kiuchumi na kiteknolojia.

Taifa hili lililokuwa linakua Kwa Kasi taratibu lilianza kupata ushawishi katika mataifa mengine madogo madogo, makubwa Kwa ya Kati Hali iliyo zua hofu Kwa Taifa lile jingine kubwa ambalo lilihofu kunyanganywa ufalme wake.

Ili kukabiliana na hofu hiyo, Taifa Hilo lenye nguvu liliamua kutengeneza silaha ya kibaiolojia ili kumaliza kizazi chote cha watu katika Taifa Hilo lililokuwa linakua Kwa kasi.

Silaha hiyo kweli ilifanikiwa, watu wote katika Taifa Hilo waliangamizwa Kwa ugonjwa hatari na WA ajabu ambao ulikuwa ukisambazwa Kwa njia ya hewa.

Kutokana na muingiliano WA shughuli mbalimbali za kibiashara Kati ya Taifa Hilo dogo na mataifa mengine, ugonjwa Huo uliendelea kusambaa Kwa watu wa mataifa mengine ukiwamaliza wote Taifa moja Hadi jingine bila kuacha kitu chochote chenye uhai , ulimaliza kuanzia watu, mimea, wanyama, wadudu,ndege,samaki nk na kuharibu mazingira/ Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Hali hii ilimstua Mfalme Nuhu, nae akaitisha kikao cha dharula na wanasayansi wa jeshi la Taifa Hilo.

Wana sayansi hawakumficha Nuhu, walimwambia baada ya miezi Saba ugonjwa Huo utaingia katika Taifa Hilo na kuteketeza watu wote na kila kitu chenye uhai na hakutokuwepo tena na uwezekano WA kuishi katika Sayari hiyo.

Suluhisho ni lazima watu wote katika Taifa Hilo wahamie katika Sayari ya dunia na Jambo Hilo lifanyike ndani ya miezi Saba vinginevyo watakao kutwa katika Taifa baada ya miezi hiyo Saba wote wata angamizwa.

Kweli ikatengenezwa SPACESHIP kubwa Sana ambayo kwenye Biblia na Kurani imetajwa kama SAFINA.

Mfalme Nuhu akapitisha decree kwamba raia wote katika Taifa Hilo wanatakiwa kuondoka ndani ya Taifa Hilo na kwenda katika.sayari nyingine Kwa njia ya usafiri WA hiyo spaceship.

Na Jambo Hilo linatakiwa lifanyike ndani ya miezi Saba.

Sababu iliyo tolewa NI kwamba BAADA YA miezi Saba yatatokea mafuriko mabaya Sana ambayo yataua na kuteketeza kila.chenye uhai katika Taifa Hilo na Ndio utakuwa mwisho wa.kizazi cha binadamu.

Watu wote walitakiwa kuwa wameingia ndani ya spaceship hiyo ndani ya miezi sita. Defaulters wote hawataruhusiwa kuingia kwenye spaceship baada ya deadline.

Mfalme akaamuru katika spaceship hiyo ziwekwe species za kila mnyama, kila mdudu, kila samaki,kila ndege, na kila mmea unaopatikana katika Taifa Hilo ili kusudi watakapo fika katika Sayari ya dunia vitu hivyo VIWE replanted katika Sayari ya dunia na viweze kuwasaidia wao na vizazi vitakavyo kuja baada yao.Hili la kuweka wanyama ,wadudu,ndege,samaki,na mimea ya species zote likafanyika.

Kutokana na ufinyu wa nafasi na ukubwa WA safari haikuwa rahisi kubeba kila mnyama ndege, mdudu, samaki na.mmea.kutoka katika Sayari ya Mars ndio maana wakalazimika kubeba angalau wanyama wawili jike na dume Kwa kila specie

Nuhu akaanza kampeni ya kuwatangazia watu wafanye maandalizi ya safari kuelekea Sayari ya dunia Kwa kubeba vyakula vya kutosha na kuingia ndani ya spaceship ili kusubiri muda kuondoka. Vyakula hivyo vingewasaidia wakati WA safari Yao kutoka Mars kuja duniani but pia vingewasaidia kuja kuanzia maisha ndani ya sayari ya dunia.

Watu wengi walipuuzia ushauri WA Nuhu Kwa sababu waliona NI Jambo lisilo wezekana Kwa hiyo waliendelea na maisha yao kama KAWAIDA.

Fast forward: Miezi Saba baadae ugonjwa Huo baada ya kuwa umewamaliza watu,mimea,wadudu, ndege na kila.chenye uhai katika mataifa yote katika Sayari ya Mars sasa vikapiga hodi katika Taifa la Nuhu.

Wakati virusi hivi vinaingia katika Sayari ya Mars , Ile spaceship ya Nuhu ilikuwa.ndio inaanza kupaa taratibu kuelekea duniani.

Virusi hivyo vilianza kuua watu katika takfa kwaa Nuhu Kasi ya ajabu Sana .

Hakuna sehemu iliyo kuwa ina kalika. Yani ilikuwa mchuzi.moto, ugali Moto, maki Moto.

Baadhi ya wahanga wakajaribu kwenda kupata hifadhi katika spaceship ya Nuhu ambayo ilikuwa Ndio ina iacha ardhi ya Taifa Hilo na kujaribu kuomba Nuhu awafungulie waingie but haikuwezekana tena Kwa sababu muda.ulikuwa.umeshapita na spaceship tayari ilikuwa imeondoka tayari kuja katika Sayari ya dunia na.ilikuja na watu wachache.


Alipofika duniani Mfalme Nuhu aliamuru species za miti na mimea yote iwe replanted katika sehemu mbalimbali.

Akaagiza pia species za wanyama, ndege, samaki na wadudu ziwe placed mahali zinapostahili kuwa placed.

And this is how human beings came to planet Earth.

Fast forward, a tenth of thousands of years later, we are repeating the same same thing.

Corona Virus has been planted . Matokeo yake itakwenda kuangamiza dunia nzima.na kuifanya kuwa inhabitable na mwisho wa siku binadamu tutalazimika kwenda katika Sayari nyingine.

What happened to us on Mars a ten of thousands of years ago has been repeated again. Let's adopt a wait and c attitude.

# what will be our next destination?

# Which planet arewe going to move on?


Source : My own artwork.( Utunzi wangu mwenyewe)

.
 
Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden.

Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani.

Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili.


Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na kuwatupa katika Sayari ya Mars.


Kisha Mungu akalisogeza jua karibu na sayari ya Venus ili kuifanya Sayari hiyo isikalike ( habitable) na mwanadamu. Tukio hili la Mwenyezi Mungu kulisogeza Jua karibu na sayari ya Venus Ndio Hilo lililo andikwa Kwa lugha ya picha kwenye maandiko matakatifu kwamba " BAADA YA MUNGU KUWAFUKUZA ADAM NA HAWA KWENYE BUSTANI YA EDEN ALIMUWEKA MALAIKA MWENYE UPANGA WENYE KUWAKA MOTO KWA AJILI YA KUILINDA BUSTANI"

Genesis 3:24 " After he drove the man out, he placed on the EAST SIDE of the Garden of Eden cherubim and a FLAMING SWORD FLASHING BACK AND FOURTH to guard the way to the tree of life


Sasa Huo upanga wenye kuwaka Moto ndio hili Jua unalo lifahamu wewe.

Binadamu waliishi kwenye sayari ya Mars Hadi kizazi cha Nuhu.

Kizazi cha Nuhu Ndio kizazi cha mwisho cha binadamu walio.ishi katika.sayari ya Mars
Binadamu walio ishi katika Sayari ya Mars waliendelea kiteknolojia Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Moja Kati ya teknolojia walizo kuwa nazo ni pamoja na vyombo vya kusafiri nje ya sayari na nje ya Mars pamoja na nje ya galaxy yetu.

Katika teknolojia hii yapo mataifa katika Sayari ya Mars ambayo yaliweza kutoka Nje ya sayari ya Mars kwenda katika Sayari nyingine na galaxies nyingine Kwa ajili ya kutafiti kama.kuna uwezekano WA kuwepo na uhai katika Sayari hizo.

Moja Kati ya sayari walizo fanikiwa kuzingundua ni pamoja na sayari hii ya dunia.

Kutokana na maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika Sayari ya Mars, mataifa makubwa katika Sayari hiyo yaliweza kutengeneza silaha za Aina mbalimbali zikiwemo silaha za nyuklia halikadhalika silaha za kibaiolojia.

Yaliibuka mataifa mawili yaliyo kuwa na nguvu zinazo karibiana.

Kati ya mataifa hayo mawili, moja lilikuwa Ndio Taifa lenye nguvu kubwa za Kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia na Taifa Hilo jingine lilikuwa ni Taifa linalo endelea Kwa Kasi ya ajabu Sana kijeshi, Kiuchumi na kiteknolojia.

Taifa hili lililokuwa linakua Kwa Kasi taratibu lilianza kupata ushawishi katika mataifa mengine madogo madogo, makubwa Kwa ya Kati Hali iliyo zua hofu Kwa Taifa lile jingine kubwa ambalo lilihofu kunyanganywa ufalme wake.

Ili kukabiliana na hofu hiyo, Taifa Hilo lenye nguvu liliamua kutengeneza silaha ya kibaiolojia ili kumaliza kizazi chote cha watu katika Taifa Hilo lililokuwa linakua Kwa kasi.

Silaha hiyo kweli ilifanikiwa, watu wote katika Taifa Hilo waliangamizwa Kwa ugonjwa hatari na WA ajabu ambao ulikiwa ukisambazwa Kwa njia ya hewa.

Kutokana na muingiliano WA shughuli mbalimbali za kibiashara Kati ya Taifa Hilo dogo na mataifa mengine, ugonjwa Huo uliendelea kusambaa Kwa watu wa mataifa mengine ukiwamaliza wote Taifa moja Hadi jingine bila kuacha kitu chochote, ulimaliza kuanzia watu, mimea, wanyama, wadudu,ndege,samaki nk na kuharibu mazingira/ Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Hali hii ilimstua Mfalme Nuhu, nae akiitidha kikao cha dharula na wanasayansi wa jeshi la Taifa Hilo.

Wana sayansi hawakumficha Nuhu, walimwambia baada ya miezi Saba ugonjwa Huo utaingia katika Taifa Hilo na kuteketeza watu wote na kila kitu chenye uhai na hakutokuwepo tena na uwezekano WA kuishi katika Sayari hiyo.

Suluhisho ni lazima wote katika Taifa Hilo wahamie katika Sayari ya dunia na Jambo Hilo lifanyike ndani ya miezi Saba vinginevyo watakao kutwa katika Taifa baada ya miezi hiyo Saba wote wata angamizwa.

Kweli ikatengenezwa SPACESHIP kubwa Sana ambayo kwenye Biblia na Kurani imetajwa kama SAFINA.

Mfalme Nuhu akapitisha decree kwamba raia wote katika Taifa Hilo wanatakiwa kuondoka ndani ya Taifa Hilo na kwenda katika.sayari nyingine Kwa njia ya usafiri WA hiyo spaceship.

Na Jambo Hilo linatakiwa lifanyike ndani ya miezi Saba.

Sababu iliyo tolewa NI kwamba BAADA YA miezi Saba yatatokea mafuriko mabaya Sana ambayo yataua na kuteketeza kila.chenye uhai katika Taifa Hilo na Ndio utakuwa mwisho wa.kizazi cha binadamu.

Watu wote walitakiwa kuwa wameingia ndani ya spaceship hiyo ndani ya miezi sita. Defaulters wote hawataruhusiwa kuingia kwenye spaceship baada ya deadline.




Mfalme akaamuru katika spaceship hiyo ziwekwe species za kila mnyama, kila mdudu, kila samaki,kila ndege, na kila mmea etc unapatikana katika Taifa Hilo ili kusudi watakapo fika katika Sayari ya dunia vitu hivyo VIWE replanted katika Sayari ya dunia na viweze kuwasaidia wao na vizazi vitakavyo kuja baada yao.Hili la kuweka wanyama ,wadudu,ndege,samaki,na mimea ya species zote linafanyika .

Nuhu akaanza kampeni ya kuwatangazia watu wafanye maandalizi ya safari kuelekea Sayari ya dunia Kwa kubeba vyakula vya kutosha na kuingia ndani ya spaceship ili kusubiri muda kuondoka. Vyakula hivyo vingewasaidia wakati WA safari Yao kutoka Mars kuja duniani but pia vingewasaidia kuja kuanzia maisha ndani ya sayari ya dunia.

Watu wengi walipuuzia ushauri WA Nuhu Kwa sababu waliona NI Jambo lisilo wezekana Kwa hiyo waliendelea na maisha yao kama KAWAIDA.

Fast forward: Miezi Saba baadae ugonjwa Huo baada ya kuwa umewamaliza watu,mimea,wadudu, ndege na kila.chenye uhai katika mataifa yote katika Sayari ya Mars sasa vikapiga hodi katika Taifa la Nuhu.

Wakati virusi hivi vinaingia katika Sayari ya Mars , Ile spaceship ya Nuhu ilikuwa.ndio inaanza kupaa taratibu kuelekea duniani.

Virusi hivyo vilianza kuua watu katika takfa kwaa Nuhu Kasi ya ajabu Sana .

Hakuna sehemu iliyo kuwa ina kalika. Yani ilikuwa mchuzi.moto, ugali Moto, maki Moto.

Baadhi ya wahanga wakajaribu kwenda kupata hifadhi katika spaceship ya Nuhu ambayo ilikuwa Ndio ina iacha ardhi ya Taifa Hilo na kujaribu kuomba Nuhu awafungulie waingie but haikuwezekana tena Kwa sababu muda.ulikuwa.umeshapita na spaceship tayari ilikuwa imeondoka tayari kuja katika Sayari ya dunia na.ilikuja na watu wachache.


Alipofika duniani Mfalme Nuhu aliamuru species za miti na mimea yote iwe replanted katika sehemu mbalimbali.

Akaagiza pia species za wanyama, ndege, samaki na wadudu ziwe placed mahali zinapostahili kuwa placed.

And this is how human beings came to planet Earth.

Fast forward, a tenth of thousands of years later, we are repeating the same same thing.

Corona Virus has been planted . Matokeo yake itakwenda kuangamiza dunia nzima.na kuifanya kuwa inhabitable na mwisho wa siku binadamu tutalazimika kwenda katika Sayari nyingine.

What happened to us on Mars a ten of thousands of years ago has been repeated again. Let's adopt a wait and c attitude.

# what will be our next destination?

# Which planet arewe going to move on?


Source : My own artwork.( Utunzi wangu mwenyewe)

.
Watu kwa kuunganisha dots halafu mkapiga watu kamba kuwa ni za kweli mmeshindikana
 
Ha Hahahahgahaahfhahahshahahahahahahahahahhahahah!


Nimecheka sanaaaaa, aseeeeee nimecheka

" kinacho mtofautisha MTU mwenye akili timamu na MTU asie na akili timamu NI mambo yanayo weza kuwachekesha"...Masudi Kipanya.

Ndio maana kuna video katuni ambazo NI vichekesho maalumu Kwa watoto.

What is funny about this?
 
Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden.

Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani.

Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili.


Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na kuwatupa katika Sayari ya Mars.


Kisha Mungu akalisogeza jua karibu na sayari ya Venus ili kuifanya Sayari hiyo isikalike ( habitable) na mwanadamu. Tukio hili la Mwenyezi Mungu kulisogeza Jua karibu na sayari ya Venus Ndio Hilo lililo andikwa Kwa lugha ya picha kwenye maandiko matakatifu kwamba " BAADA YA MUNGU KUWAFUKUZA ADAM NA HAWA KWENYE BUSTANI YA EDEN ALIMUWEKA MALAIKA MWENYE UPANGA WENYE KUWAKA MOTO KWA AJILI YA KUILINDA BUSTANI"

Genesis 3:24 " After he drove the man out, he placed on the EAST SIDE of the Garden of Eden cherubim and a FLAMING SWORD FLASHING BACK AND FOURTH to guard the way to the tree of life


Sasa Huo upanga wenye kuwaka Moto ndio hili Jua unalo lifahamu wewe.

Binadamu waliishi kwenye sayari ya Mars Hadi kizazi cha Nuhu.

Kizazi cha Nuhu Ndio kizazi cha mwisho cha binadamu walio.ishi katika.sayari ya Mars
Binadamu walio ishi katika Sayari ya Mars waliendelea kiteknolojia Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Moja Kati ya teknolojia walizo kuwa nazo ni pamoja na vyombo vya kusafiri nje ya sayari halikadhalika nje ya galaxy yetu.

Katika teknolojia hii yapo mataifa katika Sayari ya Mars ambayo yaliweza kutoka Nje ya sayari ya Mars kwenda katika Sayari nyingine na galaxies nyingine Kwa ajili ya kutafiti kama.kuna uwezekano WA kuwepo na uhai katika Sayari hizo.

Moja Kati ya sayari walizo fanikiwa kuzingundua ni pamoja na sayari hii ya dunia.

Kutokana na maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika Sayari ya Mars, mataifa makubwa katika Sayari hiyo yaliweza kutengeneza silaha za Aina mbalimbali zikiwemo silaha za nyuklia halikadhalika silaha za kibaiolojia.

Yaliibuka mataifa mawili yaliyo kuwa na nguvu zinazo karibiana.

Kati ya mataifa hayo mawili, moja lilikuwa Ndio Taifa lenye nguvu kubwa za Kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia na Taifa Hilo jingine lilikuwa ni Taifa lililo kua linaendel a Kwa Kasi ya ajabu Sana kijeshi, Kiuchumi na kiteknolojia.

Taifa hili lililokuwa linakua Kwa Kasi taratibu lilianza kupata ushawishi katika mataifa mengine madogo madogo, makubwa Kwa ya Kati Hali iliyo zua hofu Kwa Taifa lile jingine kubwa ambalo lilihofu kunyanganywa ufalme wake.

Ili kukabiliana na hofu hiyo, Taifa Hilo lenye nguvu liliamua kutengeneza silaha ya kibaiolojia ili kumaliza kizazi chote cha watu katika Taifa Hilo lililokuwa linakua Kwa kasi.

Silaha hiyo kweli ilifanikiwa, watu wote katika Taifa Hilo waliangamizwa Kwa ugonjwa hatari na WA ajabu ambao ulikuwa ukisambazwa Kwa njia ya hewa.

Kutokana na muingiliano WA shughuli mbalimbali za kibiashara Kati ya Taifa Hilo dogo na mataifa mengine, ugonjwa Huo uliendelea kusambaa Kwa watu wa mataifa mengine ukiwamaliza wote Taifa moja Hadi jingine bila kuacha kitu chochote chenye uhai , ulimaliza kuanzia watu, mimea, wanyama, wadudu,ndege,samaki nk na kuharibu mazingira/ Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Hali hii ilimstua Mfalme Nuhu, nae akaitisha kikao cha dharula na wanasayansi wa jeshi la Taifa Hilo.

Wana sayansi hawakumficha Nuhu, walimwambia baada ya miezi Saba ugonjwa Huo utaingia katika Taifa Hilo na kuteketeza watu wote na kila kitu chenye uhai na hakutokuwepo tena na uwezekano WA kuishi katika Sayari hiyo.

Suluhisho ni lazima watu wote katika Taifa Hilo wahamie katika Sayari ya dunia na Jambo Hilo lifanyike ndani ya miezi Saba vinginevyo watakao kutwa katika Taifa baada ya miezi hiyo Saba wote wata angamizwa.

Kweli ikatengenezwa SPACESHIP kubwa Sana ambayo kwenye Biblia na Kurani imetajwa kama SAFINA.

Mfalme Nuhu akapitisha decree kwamba raia wote katika Taifa Hilo wanatakiwa kuondoka ndani ya Taifa Hilo na kwenda katika.sayari nyingine Kwa njia ya usafiri WA hiyo spaceship.

Na Jambo Hilo linatakiwa lifanyike ndani ya miezi Saba.

Sababu iliyo tolewa NI kwamba BAADA YA miezi Saba yatatokea mafuriko mabaya Sana ambayo yataua na kuteketeza kila.chenye uhai katika Taifa Hilo na Ndio utakuwa mwisho wa.kizazi cha binadamu.

Watu wote walitakiwa kuwa wameingia ndani ya spaceship hiyo ndani ya miezi sita. Defaulters wote hawataruhusiwa kuingia kwenye spaceship baada ya deadline.




Mfalme akaamuru katika spaceship hiyo ziwekwe species za kila mnyama, kila mdudu, kila samaki,kila ndege, na kila mmea unaopatikana katika Taifa Hilo ili kusudi watakapo fika katika Sayari ya dunia vitu hivyo VIWE replanted katika Sayari ya dunia na viweze kuwasaidia wao na vizazi vitakavyo kuja baada yao.Hili la kuweka wanyama ,wadudu,ndege,samaki,na mimea ya species zote likafanyika.

Kutokana na ufinyu wa nafasi na ukubwa WA safari haikuwa rahisi kubeba kila mnyama ndege, mdudu, samaki na.mmea.kutoka katika Sayari ya Mars ndio maana wakalazimika kubeba angalau wanyama wawili jike na dume Kwa kila specie

Nuhu akaanza kampeni ya kuwatangazia watu wafanye maandalizi ya safari kuelekea Sayari ya dunia Kwa kubeba vyakula vya kutosha na kuingia ndani ya spaceship ili kusubiri muda kuondoka. Vyakula hivyo vingewasaidia wakati WA safari Yao kutoka Mars kuja duniani but pia vingewasaidia kuja kuanzia maisha ndani ya sayari ya dunia.

Watu wengi walipuuzia ushauri WA Nuhu Kwa sababu waliona NI Jambo lisilo wezekana Kwa hiyo waliendelea na maisha yao kama KAWAIDA.

Fast forward: Miezi Saba baadae ugonjwa Huo baada ya kuwa umewamaliza watu,mimea,wadudu, ndege na kila.chenye uhai katika mataifa yote katika Sayari ya Mars sasa vikapiga hodi katika Taifa la Nuhu.

Wakati virusi hivi vinaingia katika Sayari ya Mars , Ile spaceship ya Nuhu ilikuwa.ndio inaanza kupaa taratibu kuelekea duniani.

Virusi hivyo vilianza kuua watu katika takfa kwaa Nuhu Kasi ya ajabu Sana .

Hakuna sehemu iliyo kuwa ina kalika. Yani ilikuwa mchuzi.moto, ugali Moto, maki Moto.

Baadhi ya wahanga wakajaribu kwenda kupata hifadhi katika spaceship ya Nuhu ambayo ilikuwa Ndio ina iacha ardhi ya Taifa Hilo na kujaribu kuomba Nuhu awafungulie waingie but haikuwezekana tena Kwa sababu muda.ulikuwa.umeshapita na spaceship tayari ilikuwa imeondoka tayari kuja katika Sayari ya dunia na.ilikuja na watu wachache.


Alipofika duniani Mfalme Nuhu aliamuru species za miti na mimea yote iwe replanted katika sehemu mbalimbali.

Akaagiza pia species za wanyama, ndege, samaki na wadudu ziwe placed mahali zinapostahili kuwa placed.

And this is how human beings came to planet Earth.

Fast forward, a tenth of thousands of years later, we are repeating the same same thing.

Corona Virus has been planted . Matokeo yake itakwenda kuangamiza dunia nzima.na kuifanya kuwa inhabitable na mwisho wa siku binadamu tutalazimika kwenda katika Sayari nyingine.

What happened to us on Mars a ten of thousands of years ago has been repeated again. Let's adopt a wait and c attitude.

# what will be our next destination?

# Which planet arewe going to move on?


Source : My own artwork.( Utunzi wangu mwenyewe)

.
Bila shaka wale kina Zinjanthropus walikuwa na uhusiano na kizazi cha Nuhu.
 
Bila shaka wale kina Zinjanthropus walikuwa na uhusiano na kizazi cha Nuhu.
According to my story hao kina Zinjathropus walikuwa planted on planet earth from Mars. They were transported to this planet via the spaceship ambayo watu wa Dini wanaita SAFINA.

Kwenye SAFINA kulikuwa na specie ya kila kiumbe
 
Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden.

Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani.

Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili.


Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na kuwatupa katika Sayari ya Mars.


Kisha Mungu akalisogeza jua karibu na sayari ya Venus ili kuifanya Sayari hiyo isikalike ( habitable) na mwanadamu. Tukio hili la Mwenyezi Mungu kulisogeza Jua karibu na sayari ya Venus Ndio Hilo lililo andikwa Kwa lugha ya picha kwenye maandiko matakatifu kwamba " BAADA YA MUNGU KUWAFUKUZA ADAM NA HAWA KWENYE BUSTANI YA EDEN ALIMUWEKA MALAIKA MWENYE UPANGA WENYE KUWAKA MOTO KWA AJILI YA KUILINDA BUSTANI"

Genesis 3:24 " After he drove the man out, he placed on the EAST SIDE of the Garden of Eden cherubim and a FLAMING SWORD FLASHING BACK AND FOURTH to guard the way to the tree of life


Sasa Huo upanga wenye kuwaka Moto ndio hili Jua unalo lifahamu wewe.

Binadamu waliishi kwenye sayari ya Mars Hadi kizazi cha Nuhu.

Kizazi cha Nuhu Ndio kizazi cha mwisho cha binadamu walio.ishi katika.sayari ya Mars
Binadamu walio ishi katika Sayari ya Mars waliendelea kiteknolojia Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Moja Kati ya teknolojia walizo kuwa nazo ni pamoja na vyombo vya kusafiri nje ya sayari halikadhalika nje ya galaxy yetu.

Katika teknolojia hii yapo mataifa katika Sayari ya Mars ambayo yaliweza kutoka Nje ya sayari ya Mars kwenda katika Sayari nyingine na galaxies nyingine Kwa ajili ya kutafiti kama.kuna uwezekano WA kuwepo na uhai katika Sayari hizo.

Moja Kati ya sayari walizo fanikiwa kuzingundua ni pamoja na sayari hii ya dunia.

Kutokana na maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika Sayari ya Mars, mataifa makubwa katika Sayari hiyo yaliweza kutengeneza silaha za Aina mbalimbali zikiwemo silaha za nyuklia halikadhalika silaha za kibaiolojia.

Yaliibuka mataifa mawili yaliyo kuwa na nguvu zinazo karibiana.

Kati ya mataifa hayo mawili, moja lilikuwa Ndio Taifa lenye nguvu kubwa za Kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia na Taifa Hilo jingine lilikuwa ni Taifa lililo kua linaendel a Kwa Kasi ya ajabu Sana kijeshi, Kiuchumi na kiteknolojia.

Taifa hili lililokuwa linakua Kwa Kasi taratibu lilianza kupata ushawishi katika mataifa mengine madogo madogo, makubwa Kwa ya Kati Hali iliyo zua hofu Kwa Taifa lile jingine kubwa ambalo lilihofu kunyanganywa ufalme wake.

Ili kukabiliana na hofu hiyo, Taifa Hilo lenye nguvu liliamua kutengeneza silaha ya kibaiolojia ili kumaliza kizazi chote cha watu katika Taifa Hilo lililokuwa linakua Kwa kasi.

Silaha hiyo kweli ilifanikiwa, watu wote katika Taifa Hilo waliangamizwa Kwa ugonjwa hatari na WA ajabu ambao ulikuwa ukisambazwa Kwa njia ya hewa.

Kutokana na muingiliano WA shughuli mbalimbali za kibiashara Kati ya Taifa Hilo dogo na mataifa mengine, ugonjwa Huo uliendelea kusambaa Kwa watu wa mataifa mengine ukiwamaliza wote Taifa moja Hadi jingine bila kuacha kitu chochote chenye uhai , ulimaliza kuanzia watu, mimea, wanyama, wadudu,ndege,samaki nk na kuharibu mazingira/ Kwa kiwango cha Hali ya juu Sana.

Hali hii ilimstua Mfalme Nuhu, nae akaitisha kikao cha dharula na wanasayansi wa jeshi la Taifa Hilo.

Wana sayansi hawakumficha Nuhu, walimwambia baada ya miezi Saba ugonjwa Huo utaingia katika Taifa Hilo na kuteketeza watu wote na kila kitu chenye uhai na hakutokuwepo tena na uwezekano WA kuishi katika Sayari hiyo.

Suluhisho ni lazima watu wote katika Taifa Hilo wahamie katika Sayari ya dunia na Jambo Hilo lifanyike ndani ya miezi Saba vinginevyo watakao kutwa katika Taifa baada ya miezi hiyo Saba wote wata angamizwa.

Kweli ikatengenezwa SPACESHIP kubwa Sana ambayo kwenye Biblia na Kurani imetajwa kama SAFINA.

Mfalme Nuhu akapitisha decree kwamba raia wote katika Taifa Hilo wanatakiwa kuondoka ndani ya Taifa Hilo na kwenda katika.sayari nyingine Kwa njia ya usafiri WA hiyo spaceship.

Na Jambo Hilo linatakiwa lifanyike ndani ya miezi Saba.

Sababu iliyo tolewa NI kwamba BAADA YA miezi Saba yatatokea mafuriko mabaya Sana ambayo yataua na kuteketeza kila.chenye uhai katika Taifa Hilo na Ndio utakuwa mwisho wa.kizazi cha binadamu.

Watu wote walitakiwa kuwa wameingia ndani ya spaceship hiyo ndani ya miezi sita. Defaulters wote hawataruhusiwa kuingia kwenye spaceship baada ya deadline.




Mfalme akaamuru katika spaceship hiyo ziwekwe species za kila mnyama, kila mdudu, kila samaki,kila ndege, na kila mmea unaopatikana katika Taifa Hilo ili kusudi watakapo fika katika Sayari ya dunia vitu hivyo VIWE replanted katika Sayari ya dunia na viweze kuwasaidia wao na vizazi vitakavyo kuja baada yao.Hili la kuweka wanyama ,wadudu,ndege,samaki,na mimea ya species zote likafanyika.

Kutokana na ufinyu wa nafasi na ukubwa WA safari haikuwa rahisi kubeba kila mnyama ndege, mdudu, samaki na.mmea.kutoka katika Sayari ya Mars ndio maana wakalazimika kubeba angalau wanyama wawili jike na dume Kwa kila specie

Nuhu akaanza kampeni ya kuwatangazia watu wafanye maandalizi ya safari kuelekea Sayari ya dunia Kwa kubeba vyakula vya kutosha na kuingia ndani ya spaceship ili kusubiri muda kuondoka. Vyakula hivyo vingewasaidia wakati WA safari Yao kutoka Mars kuja duniani but pia vingewasaidia kuja kuanzia maisha ndani ya sayari ya dunia.

Watu wengi walipuuzia ushauri WA Nuhu Kwa sababu waliona NI Jambo lisilo wezekana Kwa hiyo waliendelea na maisha yao kama KAWAIDA.

Fast forward: Miezi Saba baadae ugonjwa Huo baada ya kuwa umewamaliza watu,mimea,wadudu, ndege na kila.chenye uhai katika mataifa yote katika Sayari ya Mars sasa vikapiga hodi katika Taifa la Nuhu.

Wakati virusi hivi vinaingia katika Sayari ya Mars , Ile spaceship ya Nuhu ilikuwa.ndio inaanza kupaa taratibu kuelekea duniani.

Virusi hivyo vilianza kuua watu katika takfa kwaa Nuhu Kasi ya ajabu Sana .

Hakuna sehemu iliyo kuwa ina kalika. Yani ilikuwa mchuzi.moto, ugali Moto, maki Moto.

Baadhi ya wahanga wakajaribu kwenda kupata hifadhi katika spaceship ya Nuhu ambayo ilikuwa Ndio ina iacha ardhi ya Taifa Hilo na kujaribu kuomba Nuhu awafungulie waingie but haikuwezekana tena Kwa sababu muda.ulikuwa.umeshapita na spaceship tayari ilikuwa imeondoka tayari kuja katika Sayari ya dunia na.ilikuja na watu wachache.


Alipofika duniani Mfalme Nuhu aliamuru species za miti na mimea yote iwe replanted katika sehemu mbalimbali.

Akaagiza pia species za wanyama, ndege, samaki na wadudu ziwe placed mahali zinapostahili kuwa placed.

And this is how human beings came to planet Earth.

Fast forward, a tenth of thousands of years later, we are repeating the same same thing.

Corona Virus has been planted . Matokeo yake itakwenda kuangamiza dunia nzima.na kuifanya kuwa inhabitable na mwisho wa siku binadamu tutalazimika kwenda katika Sayari nyingine.

What happened to us on Mars a ten of thousands of years ago has been repeated again. Let's adopt a wait and c attitude.

# what will be our next destination?

# Which planet arewe going to move on?


Source : My own artwork.( Utunzi wangu mwenyewe)

.

Hongera sana, good presentation, good thinking and logical analysis.

One more big up, writeup imekaa kiume, it sounds like it is you.
 
According to my story hao kina Zinjathropus walikuwa planted on planet earth from Mars. They were transported to this planet via the spaceship ambayo watu wa Dini wanaita SAFINA.

Kwenye SAFINA kulikuwa na specie ya kila kiumbe
Upo vizuri sana mkuu,, vp Wille Gamba ni ndugu yako!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baadhi ya wafuasi wa conspiracy theory wanadai sisi binadamu ni zao la annunaki.

hawa annunaki ni viumbe wenye akili nyingi sana toka sayari za mbali waliokuwa wanaitembelea dunia katika safari zao za kutafuta makazi mapya nje ya sayari yao.

wadadisi wanadai annunaki walipoamua ku-settle duniani, walihitaji watumwa wa kuwasaidia katika kazi zao mbalimbali.

wakamtengeneza binadamu wa kiume na kike kwa njia ya genetic modification. pia wakamtenezea mfumo wa kuweza kujifanyia cloning yeye mwenyewe kupitia njia ya tendo la ndoa(kuzaliana).

kwa mujibu wa wadadisi, annunaki kwa kusaidiana na watumwa wao, ndio waliojenga mapiramidi makubwa huko misri na sehemu mbalimbali duniani.

mpaka leo watafiti na wanasayansi wanakili kwamba ujenzi wa yale mapiramidi ya kale pale misri haukuwa wa akili ya kawaida ya kibinadamu.
 
Back
Top Bottom