sayari

Mohamed Sayari (born January 31, 1957 in Béja) is a Tunisian actor and theatre director. He's famous for notable movies, TV series and plays.

View More On Wikipedia.org
  1. isajorsergio

    Picha: Hivi ndivyo tunaweza kwenda sayari ya Mars na kurudi Earth

    Habari, Ni muda sasa utafiti kuhusu sayari ya Mars umekuwa ukiendelea, na mapitio juu ya utafiti huu unaonyesha Mars ni sehemu ambayo hamna wenyewe. Hii inaonyesha wazi endapo wanadamu tukizichanga karata zetu vizuri basi tunaweza kuanzisha makazi. Kupitia makubaliano mbalimbali tayari nia...
  2. njiwaji

    Siku mbili tu kuchagua jina la sayari ya Tanzania

    SIku 2 TU zimebaki Je umeshachagua Jina la Sayarinje ya Tanzania (Name of Tanzania Exoplanet) Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayari iliyogunduliwa karibuni kuzunguka nyota. Angalia maelezo yake hapa katika tovuti hii Nenda kwenye tovuti hii kupata fomu ya kupiga kura kuchagua matatu...
  3. Makanyaga

    Wataalam wa anga wamegundua sayari kubwa ambayo wanasema haipaswi kuwepo, kulingana na nadharia za sasa

    Wataalam wa anga wamegundua sayari kubwa ambayo wanasema, haipaswi kuwepo, kulingana na nadharia za sasa. Ulimwengu huo unaofanana na sayari ya Jupita ni mkubwa sana ikilinganishwa na nyota yake mwenyeji, hatua inayokinzana na wazo kuhusu jinsi sayari zinavyoundwa. Nyota hiyo ilio umbali wa...
  4. njiwaji

    Piga kura kuchagua jina la sayari-nje ya Tanzania

    Piga kura kuchagua jina linalofaa kwa sayarinje ya Tanzania Sayarinje ni sayari zinazozunguka nyota ambazo zipo nje ya mfumo wa Jua. Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayarinje mojawapo iliyogunduliwa karibuni. Wanafunzi wa shule na wanavikundi mbalimbali wameshindanishwa kupendekeza...
  5. njiwaji

    Mandhari ya kuvutia angani - mwezi na sayari = moon among planets

    MANDHARI YA KUVUTIA ANGANI - MWEZI BAINA YA SAYARI (For English version see below) Kuanzia 29 Oktoba hadi 02 Novemba baada ya Mwezi kutoka kwenye giza ya mwandamo siku ya 28 Oktoba. Kati ya 29 Oktoba na 02 Novemba, Mwezi utauona unasogea angani ukiangalia upande wa magharibi mara baada ya...
Back
Top Bottom