Habari zenu na za mda huu,jumapili iliyojema na yenye kutulia kuna hoja ya msingi hapa.
Vitabu vya dini vinasema kuwa MUNGU aliumba dunia kwa siku 6 na siku ya 7 akapumzika,
1. Msingi wa Hoja (Biblia)
Katika Mwanzo 1, tunaambiwa Mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kwa siku 6, na siku ya...