SAWA is a Japanese singer-songwriter and DJ. In 2009, she signed onto Sony Music Entertainment Japan and joined its sublabel, Epic Records. In 2012, she switched to Bellwood Records and released her 6th mini-album, ソプラノレイン (Soprano Rain).
Wakuu, naona watu wanachanganya mafaili kidogo kuhusu haya masuala mawili ya kingono. Yaani Uasherati na Uzinzi. Uasherati ni nini na uzinzi ni nini?
Uasherati ni kitendo cha kufanya ngono au kujamiiana kwa hiari na mtu ambae sio mkeo na wala sio mumeo yaan hamjaoana na hii inaingiza uzinzi...
Kausha damu Haraka pesa wamejichanganya kunikopesha elfu 40 wakajua kinyonge. Pesa ile nimepita nayo na hapa wanatumia mbinu walitotumia Wenzao waliopita wakashindwa.
Ilifika kipindi mpaka mfanyakaz wa boba cash alikuwa analia anaomba nirudishe japo nusu ya pesa yao nyingine wamenisamehe na...
“My Wife Abandoned Me When I Was Banned from Football & Lost My Fame” Paul Pogba said it in an Interview.
Chanzo: The Nairobi Times
Kuna mwingine Mumewe yuko Wodini Muhimbili akiwa Kalazwa Mkewe kaenda kumkumbushia Hela ya Matumizi ya Siku.
Maana jana Hakimu Mkazi kasema hakuna sheria inayoipa nguvu mahakama ya kumamuru DPP atoe maamuzi kuhusu hii Kesi.
Sasa mimi nauliza Wanasheria Ukomo upo kisheria?, au hilo file linaweza kukaa kwa DPP hata Miaka 2, 3 hadi 5 bila kufanyiwa maamuzi.??
Kama ni hivyo mfumo wetu wa utoaji haki una...
Baada ya Harambee ya Dr, Mwigulu Nchemba kanisani kwa WaLutheri Singida Jumapili ya juzi tarehe 29 Juni, 2025, mama akichangia TZS 50,000,000/- kati ya zaidi ya TZS one billion iliyopatikana, waumini wengi waliloloma wakionesha Kanisa la KKKT ni kibaraka wa Serikali hii.
Wengi wanajisikia...
https://youtu.be/EQnhTrDiykk?si=c1X_I-Sskz3-cwZR
Baba Askofu, toka tulipokuona mara ya mwisho tarehe 2/6/2025 siku ya kwanza ya mkesha kanisa kuu ulipotea Lakini leo tumeona picha zimezagaa ukichukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Ni jumapili ya nne mfululizo serikali kupitia jeshi la...
Mimi ni mtanzania lakini kule uingereza ni mshabiki wa Arsenal. Kama ningekuwa mwamuzi na kuambiwa nikachezeshe mechi kati ya arsenal na Manchester united lazima ningeipendelea Arsenal tu. Kule Misri mm ni mshabiki wa Al-Masry.
Je, hawa wanaokuja huku hawana timu wanayoishabikia kati ya Simba...
Inatokea watanzania tumeamua kwa pamoja kuwa wafugaji na katika ufugaji huo tukaamua kwa umoja wetu tufuge wanyama wawili tu, NGAMIA na NGURUWE. Na kwakuwa kuna uhaba wa malisho tukaona ni vyema wanyama hawa tukawalisha kwa msimu mmoja mmoja ili kuleta usawa baina ya wanyama hawa na kupata faida...
Kutokana na uzoefu na kwa kuzingatia changamoto tunazopitia sasa kadri muda unavyogea tutakuwa tuna uhaba mkubwa wa mafundi wajuzi wa kutatua matatizo ya magari kwa ufasaha ni kutokana na ukweli kwamba mafundi wengi hawana tabia ya kupenda kuongeza ujuzi wao na wanaamini kile wanachokijua...
Hakuna jipya chini ya jua.
Huu ni msemo maarufu sana unaomaanisha hakuna kitu kinachofanyika leo duniani kwenye maisha ya kawaida ya binadamu ambacho ni kipya.
Miaka ya 1990- 1997 nchini Nigeria alitokea Dikteta maarufu sana Duniani aliyejulikana kama Generali Sani Abacha. Kiongozi huyu wa...
JENGO LA BIASHARA LINAUZWA KARIAKOO MTAA WA AGREY.
Kuna Maduka 60 na Stores
Nyumba ina Msingi wa Ghorofa kumi
Bei 8bill tsh
Contact us and Schedule a visit!!!
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
Katika manispaa ya Moshi Kuna upendeleo mkubwa wa upangaji walimu katika shule za msingi Kwa kile kinachodaiwa walimu wakuu kutotoa "bahasha ya kaki" Kwa afisa elimu na maafisa taaluma msingi.
Kuna shule Zina idadi ndogo ya wanafunzi lakini walimu ni wengi kuliko shule zenye idadi kubwa ya...
Anonymous
Thread
manispaa
moshi
msingi
sawa
shule
shule za msingi
uwiano
walimu
Yote haya ili kudanganya uma kuwa ana pendwa. Hatumuelewi wala hatufich.
Sheria zetu naamini pia haziruhusu kumpakiza binadamu kama bidhaa au mnyama. Hii sio sawa
Watanzania (watanganyika) wenzetu wamepoteza maisha pia kwa huu usafiri inasikitisha maskni anadanganywa akasikilize mipasho.
Afu...
Hellow!
Mlituambia kuwa Nchi itaendelea kukopa kwa maendeleo ya taifa,
Mkaemdelea kusema, tunakopa kwa sababu tunakopesheka.
Akaibuka spika wa bunge na kuonya ukopaji wa spidi kuwa una madhara, akanangwa na kusemwa vilivyo na kupewa mipasho na kuambiwa tupishe.
Leo kiongozi yule yule anarudi...
Watu wanalewa
Wengine nusu uchi
Dj anapoga nyimbo za dini sio sawa
Imagine sehemu Kama kidimbwi zinapigwa nyimbo za dini duh!!
Halafu leo ijumaa inachomwa kitimoto sio poa
Yawezekana amekosea, Yawezekana hayuko Sawa,Yawezekana kuna mahali kamkasirisha Yeyote katika Watawala
INapaswa atafutwe yeye,muhojiane nae mkitaka Mfanyeni mtakavyo
Lakini kulifunga Kanisa/Nyumba ya IBADA si sawa
Lile si KANISA tu ile ni sehemu watu wanaenda kukusanyika kuongea na Mungu...
Naomba uongozi wa Yanga , wafanye juu chini mechi ya Derby tusicheze Kwa mkapa kwakuwa uwanja ule unamatatizo ya pitch lakini pia ,inasemekana Simba Kuna vidubwana wameweka chini Ya Ardhi.
Pia na sisi mechi hii kwakuwa sisi ni wenyeji ,lazima tufanye ubaya ubwela kweli kweli, kwanza Simba kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.