sawa

SAWA is a Japanese singer-songwriter and DJ. In 2009, she signed onto Sony Music Entertainment Japan and joined its sublabel, Epic Records. In 2012, she switched to Bellwood Records and released her 6th mini-album, ソプラノレイン (Soprano Rain).

View More On Wikipedia.org
  1. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je wajua kuwa wanawake wote si sawa?

    Tulifundishwa kuwa Kuna milango mitano ya fahamu.na Kila mlango una kazi maalum 1.macho : Kuna 2.sikio : kusikia 3.pua: kunusa 4.ukimi : kuonja 5.ngozi : kuhisi Linapokuja swala la tendo la ndoa ,hapa kinachofanya kazi ni ubongo ,uke na ume Uke na ume vina ngozi .viunge hivi havina uwezo wa...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Pesa ya nchi inatumbuliwa kisawa sawa kupitia ukarabati wa viwanja vya mpira

    Siku hizi mpaka hapa kuna watu wanakula pesa wakiona nyuzi inagusa wahusika wanafuta.tusijichoshe.
  3. S

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ya CCM itambue huu utitiri unaoongezeka kila siku wa magari ya ving'ora na taa za bluu unawaharibia sifa kuwa wanadamu kama Watanzania wote

    Hali inaongezeka kila siku nchini za viongozi wa Tanzania kutaka kujitutumua na kujitofautisha na Watanzania wengine, wananchi wa kawaida. Ile roho chafu ya "unanijua mimi ni nani" inawapa kiburi sana watu wanaojiona wao ni watawala nchini, pamoja na watu wa vyombo vyao vya dola. Angalia kwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Twende sawa

    Habari zenu na za mda huu,jumapili iliyojema na yenye kutulia kuna hoja ya msingi hapa. Vitabu vya dini vinasema kuwa MUNGU aliumba dunia kwa siku 6 na siku ya 7 akapumzika, 1. Msingi wa Hoja (Biblia) Katika Mwanzo 1, tunaambiwa Mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kwa siku 6, na siku ya...
  5. Dialogist

    JamiiForums Tanzania Video: Kuna Jambo Halipo Sawa Hapa, Either Tumekosa Uelekeo Au Uelekeo Umetukosa Sisi. Hii Ni Dharau Kubwa Sana

    Kama Nipo Sahihi Hapo Mbele Ni Gari Ya Polisi... Je Polisi Wanafanya Biashara Ya Kukodisha Hizo Gari Za Ving'ora? Au Kuna Vigezo Gani Vimetumika Kumpa Huyo Dogo Msafara Wa Polisi? Kabla Hatujalaumu Tunaomba Jeshi litoe ufafanuzi, ili tujue ni money talks kama anavyosema au lah... Maana siku...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi mafunzo ya maadili kuratibiwa na kiongozi asiye na maadili?

    Asalaam, Hopefully wote mpo salama na mnaendelea vizuri kabisa na shughuli zenu nzito za ujenzi wa taifa letu pendwa la Tanzania. Well, This week niliona Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kupitia kwa kitengo chake cha sekretarieti ya maadili ya...
  7. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Samia asitulazimishe uchaguzi wowote kama utakuwa wa haki basi tufanye mabadiliko kama hataki ni wazi uchaguzi ni wakitapeli

    Samia asitulazimishe uchaguzi wowote kama utakuwa wa haki basi tufanye mabadiliko kama hataki ni wazi uchaguzi ni wakitapeli. Hatuwezi kushiriki uchaguzi ukawa wa haki ikiwa hata maamuzi ya uchaguzi ufanyike vipi umeegemea tu upande mmoja, kama ni haki na huru twende tukafanye mabadiliko kwa...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta Stethoscope ya daktari used ya kununua, hata ikiwa mbovu sawa tu. Doctors mwenye Stethoscope mbovu atucheki

    Habari wadau. Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia. Tunaitumia kushutia igizo la sanaa. Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715
  9. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Kliniki za Matibabu ya kibingwa wilayani kutokujumisha Wafamasia Bingwa na Wateknolojia Bingwa wa Maabara za Afya kwenye jopo, Haijakaa sawa

    Salaam, mimi nilie mdogo kati yenu nawasalimu. Kwanza kabisa napenda kutambua mchango mkubwa na matokeo chanya yatokanayo na kampeni ya huduma za kibingwa katika Hospitali za wilaya na baadhi ya Vituo vya Afya zinazoendelea nchini kote. Mwezi May mwaka huu, kampeni hizo nadhani zimeanza awamu...
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Syllabus ya shule za msingi za serikali na private inatakiwa iwe sawa na mtihani uwe mmoja kama ilivyo form four

    Nikiwa Rais shule zote ambazo zinafanya mitihani inayosimamiwa na baraza la mtihani necta kuanzia primary mtihani utakuwa ni wa lugha moja kama ni English wote ni English Sio sawa hata kidogo mtoto wa maskini anamaliza shule ya msingi hana msingi wa lugha ya kingereza ilihali watoto wa wenye...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mtaturu: Wanaosema 'hatuchezi' nao ni sawa na wanaosema 'No Reforms No Election'

    Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Mheshimiwa Miraji Mtaturu, amesema kuwa wapo baadhi ya watu wanaojaribu kuonesha tofauti na kutoshirikiana kisiasa, lakini ukweli ni kwamba wengi wao wanafanana kwa kauli na matendo. Akichangia Bajeti ya Wizara ya Ujenzi, Mtaturu alisema: "Mheshimiwa...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Alichokifanya Msajili wa Vyama vya Siasa kwa CHADEMA ni sawa na mtu muoga kukupiga Konzi alafu akakimbia baada ya wewe kumchoma panapouma

    Wakuu hata msiwaze Wala kuumiza Kichwa , na Ninaomba CHADEMA Msitafute kupoteza muda na huyo Mwendawazimu. Ipo hivi , Msajili na Jeshi la Polisi na Usalama mbumbumbu ambao Sasa wametapakaa Uwanja wa Ndege wa JN kwaajili ya kufatilia Wanachadema wanaosafiri, wanachofanya ni KUICHOKONOA CHADEMA...
  13. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kwanini Visiwani ambayo ni 1/383 ya JMT ina haki sawa na Bara?

    Tanzania Visiwani au Zanzibar ina ukubwa wa 2,462 km za maraba ikilinganishwa na Bara yenye ukubwa wa kilometa za mraba 944,841 ni sawa na 1/383. Je ni haki kwa sehemu hizi kuwa na haki sawa? Je nani anamnyonya au kumtumia nani? Je nini kifanyike kutenda haki kulingana na ukubwa na mchango wa...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Vita ya ushuru ya Trump ni sawa na mwizi kupiga mayowe ya mwizi

    Wakati dunia inaendelea kutafakari mantiki ya hatua zinazochukuliwa na serikali ya Marekani kuongeza ushuru wa bidhaa kutoka nje, kauli zinazotolewa na Rais Trump kuwa Marekani “imeibiwa, imeporwa na kudhulumiwa” na maadui na marafiki, inakumbusha historia iliyopitia Afrika ya kuibiwa, kuporwa...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Hivi kuwapigia kura CCM sio sawa na kulikumbatia na kuliunga mkono genge la wasiojulikana?

    Genge la "wasiojulikana" limekuwa likitamba tangu mwaka 2016 mpaka hivi tunavyozungumza. Na waathirika wa genge hilo ni upande mmoja tu wa siasa zetu. CCM ambao wameshika dola ni kama vile hawataki kuwashughulikia genge la "wasiojulikana." Katika historia ya ulinzi na usalama ya Tanzania...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Nahisi kuna kitu hakipo sawa kwa sisi Watanzania

    1. Inawezekanaje watu wanatekwa na watekaji pengine tunawafahamu lakini tuna kigugumizi cha kuchukua ngumu na za haraka dhidi ya hao watekaji? 2. Inawezekanaje wakati mwingine mtu anatekwa hadharani mchana kweupe na mbele ya umati wa watu lakini waliopo hawachukui hatua kuwadhibiti na...
  17. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Kumbe Hayati Mwalimu Nyerere na Mzee Mwinyi tofauti ya umri ni ndogo sana

    Sijui ni kwanini lkn siku zote niliamini kabisa kwamba Mwalimu Nyerere alikuwa kiumri mkubwa sana umkilinganisha na Mzee Mwinyi, kumbe tofauti ya umri wao ilikuwa ni ndogo sana, Mwalimu mwaka wa kuzaliwa 1922 vs Mwinyi 1925
  18. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Yanga tayari ameshawekwa sawa alipokwenda Dodoma

    Alipokuwa Dodoma na kufika Bungeni inasemekana mamlaka zilimuweka kitimoto na kukubali Yanga kucheza. Tatizo ni namna ya kuwalainisha Mashabiki wa Yanga. Ila tayari kuna mbinu imeshaanza kutumiwa na Ali Kamwe kuanzisha propaganda za majigambo kuwa SIMBA WASIFIKIRI KUWA YANGA INAWAOGOPA. Kwa...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kumuona Xi Jinping akizungumza tofauti na kuhutubia ni sawa na jogoo kutaga

    Huyu mtawala wa China huwa ni kama roboti fulani, sijawahi kumuona akizungumza na viongozi wenzake au akifanya mazungumzo na waandishi wa habari. Huko Kremlin, Moscow ameonekana kama anazungumza na Putin japo camera bado imeficha kiupande na sauti yake kufigishwa
  20. M

    JamiiForums Tanzania KMC kusema wanacheze Dar ili kuwasaidia Simba ni sawa na kutoa penzi kwa Simba kama Zawadi ya kuingia fainali

    Kiongozi mkubwa wa KMC amedai kuwa wameamua kucheza mechi yao na simba Dar es salaaam katika uwanja wa KMC tofauti na walivyopanga awali kucheza mechi hiyo tabora kwakuwa simba wameingia fainali na wanataka wasiwachoshe simba ili wapate muda mzuri wa Kujiandaa na mechi ya Fainali. Kitendo hicho...
Back
Top Bottom