samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bwana Nchimbi, Usijiuzuru Umakamo, Wacha Samia aongoze Kikao cha Kukuondóa kwa Lazima ndivo atakavyozidi Kuchafuka ... Ukijuzulu wewe ,utaonekana....

    Mzee Nchimbi, sio lazima utafute Mawazo kwa Wazeee katika suala dogo kama hili.. Kimàhesabh, Ukijiuzulu wewe mwenyewe kama Alivyofanya Lowassa, Utaonekana wewe ndio Snitch, Mkorofi, uliyekua unamfitinisha Samia , na Genge la Samia wanaweza kutengeneza Picha ya Wananchi kuamin kua "Wewe ni mmoja...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Sambazeni huu Ujumbe wa Uhakika : LISSU hatokaa kufungwa Wala Kunyongwa Wala Kuzuiwa Haki zake za Kisiasa !!! Samia anajitekenya!

    Wakuuu, Yaan Samia na Genge lake , wanachofanya ni Kujaribu Kumuumiza Lissu kiakili ...….... Huuu ni Ujinga kwa kwa sababu Lissu sio wa kupiga Magoti . Lissu ni Mtanzania aliyetayari Kufa so long as anakufa kwa ajili ya Anachokisimamia. Nilisema majuzi humu "MAFANIKIO YA LISSU, HAYAPO KATIKA...
  3. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano wanayomaanisha CCM ni yale ya Mbowe na Samia

    1. Kwanza kutumika na CCM kupoteza watu wenye maono wanaochipukia ndani ya chama. Yani Mbowe alimtoa kafara Ben saanane yeye anajua, Mungu anajua na Atalipia yeye na kizazi chake. Hasa watoto wake. 2. Kukaa kimya kuchaguliwa cha kusema na kufanya. Sasa wanampeleka wanavyotaka. 3. Kupambana na...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo moja kubwa: Woga mkubwa wa Samia kwa Lissu sio mzuri !

    Uoga mkubwa ambao anaonyesha Samia kwa Lissu hauna tija kwa jamii. Lissu anahitaji kuheshimiwa sio kuogopewa. Ukiwa Raisi hata kama fake ni vibaya kuogopa mtu kwa kiasi hiki maana usipokuwa makini kama sasa Samia atabomoa kila sheria za bunge na mahakama kwasababu tu ya uoga. Sasa Watanzania...
  5. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Msaada naomba kujua je, mashahidi walioitwa na Tundu Lissu akina Samia, Majaliwa, Mpango wanaenda kutoka ushahidi upi mahakamani?

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kesi bado Iko mahakaman na big brain tundulisu kaita mashahidi wake mahakaman Mashahidi hao ni Samia, mpango, majaliwa na wakuu wa Majeshi Sasa basi naomba kujua hawa mashahidi wanaenda kutoa ushahidi upi mahakaman? Kutetea au...
  6. K

    JamiiForums Tanzania AMBUZI: Kauli ya Ndlozi na Msimamo wa Botswana Dhidi ya Rais Samia SADC: Je, Klabu ya Kulindana Inavunjika?

    Ndugu wana-Jamii Forums, Katika hali iliyoleta taharuki na mjadala mpana kwenye anga za kisiasa za ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC), mwanasiasa machachari na msomi kutoka Afrika Kusini, Dkt. Mbuyiseni Ndlozi, ametoa kauli nzito inayomgusa moja kwa moja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  7. Msanii

    JamiiForums Tanzania Siyo Samia pekee, hata mahakama imejipanga kushughulikia wakosoaji

    Tusikwepe kuiona picha kubwa inayochezwa na mihimili ya serikali haramu ya Tanzania dhidi ya raia, wakosoaji na wanaharakati wa Haki na Demokrasia nchini Mahakama inapopokea kuendesha kesi za kisiasa dhidi ya wapinzani ni ushahidi kuwa mahakama imekubaliana na Executives kubaka Katiba, Haki na...
  8. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Katika hali ya kawaida kwa hatua aliyofika samia hawezi kurudi nyuma

    Tupunguze matarajio tu,
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tabiri, kipi kichwa cha habari kitaandikwa na VYOMBO VYA habari ya Tanzania, 29/10? Siku 365 za Samia ikulu, au siku 365 za mauaji Tanzania?CHAGUA.

    Ningeomba MWA jf utabiri kipi kichwa cha habari kitaandikwa na VYOMBO VYA habari vya Tanzania? Siku 365 za Samia ndani ya ikulu au Siku 365 za mauaji makubwa ya vijana, Wamama, wababa na wazee ndani ya Tanganyika? Wewe ungekuwa mwariri wa VYOMBO VYA habari ungeandika kipi? Ukichagua cha...
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Lipo MUHIMU? Lissu anyongwe au Samia afike mahakamani kumtetea?

    Rais ni amiri jeshi mkuu anae WAJIBIKA raia wake wanaidhi vyema na hawafai kijinga jinga. Leo hii Lissu anakesi ya kujibu, Rais wake anatakiwa aje adhibitidhe km ni kweli au la, mawakili wa UMMA mnaweka vikwazo Je LIPI MUHIMU? Lissu kunyongwa au Samia kuja mahamakani?
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania WANANCHI WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUKAMILIKA KWA MRADI WA JNHPP

    Wananchi mbalimbali wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kufuatia kukamilika kwa mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere Hydropower Project, mradi ni miongoni mwa miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ya nishati nchini ikiwa na uwezo wa MW 2,115...
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dr. Mbuyiseni Ndlozi: Who Gave You Power Mama Samia?

    - Dr. Mbuyiseni Ndlozi. He raises concerns about Tanzania's recent disputed elections that claimed many youthful lives. He asks why Tanzania President Suluhu Hassan was invited to the recent SADC summit in spite of the events in Tanzania. Ndlozi argues that democratic principles must apply...
  13. Isenye

    JamiiForums Tanzania Nadhani ni kweli Rais Samia na makamu wake hawaivi

    Kwa sisi wataalamu wa ramli chonganishi,iko hivi leo kwenye uzinduzi wa bwawa la kufua umene lililojengwa na Hayati Magufuli, high table walikua wamekaa Samia na Nchimbi..Nchimbi akawa anajifanya kumchekesha Samia kinafiki ila Samia akawa hana muda nae kivile.. So naamini ni kweli hawa viongozi...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Sasa Dodoma umeme ni ware ware hakuna tena kukatika, Uhakika 24/7

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia Watanzania kuimarika kwa huduma ya nishati ya umeme nchini kufuatia kukamilika kwa miradi mikubwa ya miundombinu na usambazaji wa umeme. Akizungumza tarehe 22 Agosti 2026 wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kituo cha...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia azindua Rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Bwawa la Julius Nyerere, Agosti 22, 2026

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22 Agosti 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani. Viongozi mbalimbali wameungana na Rais...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Kosa la rais Samia ni nini?

    Hakika watu wa kale walipata kunena kwamba "Mti mrefu haukosi upepo" - ikiwa na maana kwamba, mtu anayefanya vizuri hukutana na maneno mengi ya ukinzani na nongwa. Mfano huo naweza kuutumia kwa namna ambavyo baadha ya vikundi maalumu vya watu waliojipanga katika kudogodosha,kuchafua...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Kikwete , Magufuli na Samia wamepunguza maendeleo sana ya jamii Tanzania

    Kikwete , Magufuli na Samia wamepunguza maendeleo sana ya jamii Tanzania. Katiba Mapya Ubinafsi Ukabila udini Ubara na Unzanzibari Uchawa Utekaji Rushwa Kutengeneza undugu kufanya vyombo vya usalama viwe vya kichawa Kuingiza ufalme na umalikia Nchi jirani za Zambia , Kenya, na wengine...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Hii vita tumejiandaa kuipigana Samia anachotaka kufanya na serikali yake, Hatuko tayari kupiga magoti

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, John Heche, leo Agosti 21, 2026, amezungumza na waandishi wa habari na kutoa msimamo mkali wa chama hicho kufuatia hatua ya kuzuiliwa na kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chama Taifa, Tundu Lissu. Heche amesisitiza...
  19. Ritz

    JamiiForums Tanzania Mahakama haina mamlaka ya kumwita Rais Samia kutoa ushahidi – Mwinuka

    Wanaukumbi. Wakili wa Mahakama Kuu Tanzania, Henry Mwinuka, amesema katika kesi ya Tundu Lissu kuna shahidi mmoja ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na masuala yanayomhusu Rais yanasimamiwa na Presidential Affairs Act, Sura ya 19. Mwinuka amesema kuwa, kwa mujibu wa sheria...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Bora LISSU anyongwe kuliko samia Kuitwa Mahakamani

    Hilo ndio tafsiri ya Mawakili wa serikali. Na kwasababu pia ni serikali ndio imeajili Majaji na kuwalipa mshahara hawataweza kumwita. Tunajiuliza mkapa alipanda Mahakamani kutoa ushaidi wake waziwazi kwenye kesi ya balozi wake. Ata hakusita. Unajua kwanini? Raisi anasubiri hukumu atie saini...
Back
Top Bottom