samaki

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kamusi ya majina ya samaki na picha zao

    Majina ya Samaki , Maelezo na Picha (SAMAKIPEDIA) Blobfish Blobfish ni samaki anayetajwa kwamba ni kiumbe mwenye sura mbaya na muonekano usio vutia kuliko kiumbe chochote. Blobfish Ni samaki wa kawaida anayepatikana kwenye kina kirefu Sana cha bahari kati ya futi 2,000 hadi 4,000. Presha...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Unawajua samaki wenye mbawa wanaoweza kupaa angani? angalia kideo

    Exocoetidae ni familia yenye aina 64 za samaki ambao wana mbaywa na wanaweza kupaa angani. Uppaji wao huwa unafanyika baharini ili akichoka anarudi kwenye maji Samaki hawa wanaweza kupaa mita 6 juu ya uso wa bahari na huwa na mwendo kasi wa hadi kilometa 70 kwa saa, na anaweza kupaa hadi mita...
  3. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Imekaaje hii, hotelini mzungu kampa paka samaki mkubwa

    Wazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi. wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini...
  4. East Wind

    JamiiForums Tanzania Tuliopo samaki samaki mlimani city tujumuike

    Tuliopo samaki samaki mlimani city tujumuike.. Uchumi wa kati ndio huu tusherekehe kidogo kidogo
  5. Majigo

    JamiiForums Tanzania Biashara ya samaki

    Wakuu kwa mtu yeyote mwenye ujuzi kuhusu biashara hii hasa samaki wa maji baridi huko Dodoma. Soko lake vipi lina upinzani mkubwa? Mimi niko Mbeya. Nawasilisha kwa salamu na shukrani kwenu! WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUJUA KUHUSU BIASHARA HII MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA YA SAMAKI...
  6. Wang Shu

    JamiiForums Tanzania Mchuzi rahisi wa samaki na ugali

    Inafaa kwa mabachela kama mimi nimejipikia haraka sana bila kuchelewa nikala nikashiba mchana ukapita. Mahitaji. Chumvi Mafuta Kitunguu kimoja Samaki wa kukaanga. Nyanya (idadi uipendayo) Jinsi ya kupika. 1.Katakata nyanya na vitunguu sehemu tofauti 2.Injika sufuria weka mafuta kiasi yaache...
  7. Chakorii

    JamiiForums Tanzania Kwenye samaki unapenda kula nini?

    Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Ninaweza nisile ugali aloo🤪🤪..ninakisosomola ni kinouma🤸‍♀️🤸‍♀️🤸💃💃💃💃🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️ Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa😅😅namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona😅😅 👉🐠🐟🐠🐟🐠🐟 Akili za kuumwa na njaa hizi😅😅😅😅 Maisha...
  8. Savimbi Jr

    JamiiForums Tanzania Samaki Samaki wafungua migahawa mingine inayojulikana kama KUKU KUKU

    Habari wadau wa JF, Wamiliki wa Samaki samaki waja na brand nyingine ya migahawa yao inayojulikana kama KUKU KUKU,mainly chakula chake kitakuwa Kuku Choma,Kuku Mchemsho etc Nawasilisha.
  9. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Bangi Meru yawaponza OCD, OCCID, DSO. Rais Magufuli awaondoa | Amthibitisha James Kaji kuwa Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya

    Rais Magufuli wakati wa hafla ya kuwaapisha viongozi wateule amewaagiza wakuu wa vyombo vya usalama nchini kuwaondoa Mkuu wa Polisi wilaya ya Meru na Mkuu wa Usalama wa Wilaya Meru kuondolewa maeneo yao ya kazi kutokana na kukithiri kwa zao la bangi bila kuchukuliwa hatua madhubuti. Rais...
  10. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi tulivyo na Dreamliners na Bombardiers za kutosha hadi zinabeba Samaki badala ya Abiria, kwa Tanzania nahisi ATCL imepata Faida Kubwa sana

    Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limekadiria kupata Hasara ya Dola Milioni 100 katika Kipindi hiki cha janga la CORONA. Kwa jinsi Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilivyo na Ndege zake nyingi tu na zikibeba Sato na Sangara wakikaa Vitini nadhani Wamepata Faida. ======== Kenya Airways...
  11. East Wind

    JamiiForums Tanzania Mwana JF aliyepo hapa Samaki Samaki ya Mlimani City tupeane company mie nipo fresh mfukoni

    Mwana Jf aliepo hapa samaki samaki ya mlimani city tupeana company mie nipo fresh mfukoni .
  12. pingli-nywee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mlipuko mpya wa virusi vya Corona waibuka jijini Beijing, China kutoka kwa samaki kwenye soko la vyakula la Xianfadi

    Wakazi wa Beijing wamerudi kwenye hali ya taharuki ya hapo awali janga la Corona lilipoibuka baada ya serikali yao kuweka sehemu za jiji lao kwenye total lockdown na kuwashurutisha maelfu ya watu kupimwa. Hii inafatia mkurupuko mpya wa COVID-19 ulioibuka kutoka kwa samaki aina ya 'Salmon' ndani...
  13. Kibanga Ampiga Mkoloni

    JamiiForums Tanzania Ufuaji wa mseto wa samaki, wanyama na kilimo cha mazao ili kuongeza tija

    UTANGULIZI Ufugaji mseto wa samaki ni ufugaji ambao bwawa la samaki linakuwa ndani ya shamba pamoja na shughuli nyingine za shamba aidha hapo hapo shambani au katika eneo lililo mbali kidogo na shamba. Shughuli za shamba zinazoenda sambamba na ufugaji wa samaki ni pamoja na kilimo cha mazao...
  14. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje samaki na wanyama hawahesabiwi tena?

    Wakati John Pombe Magufuli alipokuwa Waziri wa uvuvi na mifugo alikuwa na utaratibu wa kutoa idadi ya samaki waliomo kwenye maji yanayozunguka nchi yetu na wanyama mbali mbali wa kufugwa. Ilikuwa ni kawaida kwenye Hotuba zake kutoa idadi ya wanyama na samaki mbali mbali ambao wamo nchini mwetu...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Serikali ipige marufuku biashara ya minofu ya samaki kwenda Ulaya

    Hivi karibuni hii biashara ya kusafirisha minofu kutoka kanda ya ziwa kwa kutumia mashirika kama Rwanda Air na leo tena nimesikia Ethiopian airways imerudi kwa kasi na kimekuwa kama kitu cha kujivunia hadi waziri anaenda kushuhudia. Wengi humu tunajua watoto wetu wamedumaa kwa zaidi ya asilimia...
  16. T

    JamiiForums Tanzania Teknolojia ya Vijidudu Vidogo Vidogo (Effective Microorganisms) Kwenye Kilimo, Ufugaji na Samaki

    Utangulizi EM.1®️ ni teknolojia iliyogunduliwa nchini Japan miaka ya 80. Imesajiliwa Tanzania na Kampuni ya Feedpro EMAx Limited mwaka 2018. EM ni kifupisho cha Effective microorganisms ambao ni mfumo wa vijidudu hai, salama kwa binadamu. Hii teknolojia inatumika kwenye nchi zaidi ya 110...
  17. Removers

    JamiiForums Tanzania Tukutane hapa wenye Majina ya asili

    Habarini za asubuhi wakuu. Ni desturi iliyopo kwa baadhi ya makabila na hata wazazi kuwapa wanao majina ya asili ,naweza kuita majina ya kiukoo.. Wale wote wenye majina ya asili naomba mtupe pamoja na Maana ya Hilo jina uliloitwa au ulilompa mtoto wako..japo baadhi huwa yanaleta ukakasii...
  18. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza bidhaa mbalimbali, Tunapatikana Kariakoo Ndanda st

    Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa Ni imara na haikati misumeno Ina watts 550 Ina sehemu ya kusagia nyama Ina warranty mwaka mmoja Bei 1,350,000 tu Tunapatikana kariakoo ndanda st Tunadeliver free kwa dar pia. Call/text/WhatsApp 0656666662.
  19. hp4510

    JamiiForums Tanzania Nahitaji connection ya mtu ambae anafanya biashara ya samaki Mwanza

    Naitaji mtu ambae yuko Mwanza ambae anafanya biashara za samaki kwa maana ya uchuuzi na usafirishaji mpaka Dar es Salaam. Au kwa yoyote ambae anajua A to Z ya kununua samaki mpaka usafiri to Dar es Salaam
  20. Mshumaa_Tz

    JamiiForums Tanzania Sitosahau Siku niliyobeba gunia la maiti, nikizani ni samaki

    Sitokuja kusahau Mwaka, 2017 baada yakuwa nimehitimu chuo. Nililiamua kutafta kibarua chochote ....hill kujiingizia kipato...lakini ....mipango yote ikabuma kama sio kufifia. Baadae nikaona kwakuwa nina Umbo fulani, mwili nyumba....nikajua hapa, nikiomba Kibarua cha kulinda sikosi...
Back
Top Bottom