Unawajua samaki wenye mbawa wanaoweza kupaa angani? angalia kideo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Exocoetidae ni familia yenye aina 64 za samaki ambao wana mbaywa na wanaweza kupaa angani. Uppaji wao huwa unafanyika baharini ili akichoka anarudi kwenye maji

Samaki hawa wanaweza kupaa mita 6 juu ya uso wa bahari na huwa na mwendo kasi wa hadi kilometa 70 kwa saa, na anaweza kupaa hadi mita 200 kaba ya kuchoka

Samaki hawa akichoka huwa anarudi na kugusisha mkia kwenye maji na kuendelea kupaa. Huwa wanafanya hivyo mara nyingi wakiepuka samaki wakubwa ambao wanawakimbiza wakiwa ndani ya maji

Samaki hawa huwa na hatari nyingine kwani wanapokuwa angani hukamatika kirahisi na ndege wanaozulura baharini kutafuta samaki

 
Pamoja na yooote hayo, tunaambiwa mpaka sasa binadamu keshaichunguza bahari kwa asilimia zisizozidi 10. Siku akifika 50 je!?
 
Exocoetidae ni familia yenye aina 64 za samaki ambao wana mbaywa na wanaweza kupaa angani. Uppaji wao huwa unafanyika baharini ili akichoka anarudi kwenye maji

Samaki hawa wanaweza kupaa mita 6 juu ya uso wa bahari na huwa na mwendo kasi wa hadi kilometa 70 kwa saa, na anaweza kupaa hadi mita 200 kaba ya kuchoka

Samaki hawa akichoka huwa anarudi na kugusisha mkia kwenye maji na kuendelea kupaa. Huwa wanafanya hivyo mara nyingi wakiepuka samaki wakubwa ambao wanawakimbiza wakiwa ndani ya maji

Samaki hawa huwa na hatari nyingine kwani wanapokuwa angani hukamatika kirahisi na ndege wanaozulura baharini kutafuta samaki

View attachment 1544744
Unanikumbusha bia inaitwa flying fish mahali flani
 
1644168891660.jpg
1644168885903.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom